Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani aondolewe kwa sababu ya Simba na YangaKwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza.
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide
Acha kukurupuka, mkuu wa mkoa wa mwaza, anatumikia wananchi wote wa mkoa wa mwanza, kuna wengine sio washabiki wa mipira! Mimi sijaona kosa la huyo RC! Acha ushabiki usio na tija! Kwa sababu ni mipira ndo sheria zisifuatwe???
Mikataba mibovu inaingia huko ninyi mpo busy na mamipira yaani mtu aondolewe kisa Simba/Yanga ugali ulishawadumaza Watanzania
Mtoa mada The way alivyoandika, unaweza kufikiri labda ana haki ya kumshauri huyo Rais, mtu wa kumteua!Mikataba mibovu inaingia huko ninyi mpo busy na mamipira yaani mtu aondolewe kisa Simba/Yanga ugali ulishawadumaza Watanzania
Kwa hiyo wapenzi wa Simba watamchukia Mama kis huyu RC shabiki wa Yanga? Leta sababu za msingi huu ni upuuzi umeandikaKwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza.
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide
Hahahhahaa unafikiri ni kazi nyepes kumtoa angalia hizo pete mbili Kwenye vidole vyake nakukumbusha sio za ndoa,Hii ni mara ya tatu anatoa boko.. Nadhani imetosha sadaView attachment 3159271
Acha upumbavu,unawezaje kulinfanisha mchango wa umoja na amani katika mpira na wapinzani walioenguliwa?Ni mambo ya ajabu sana! Wapinzani wameenguliwa sijaona mtu anasema mchengerwa aliwe kichwa ila mipira ndo watu wanaleta mambo ya ajabu hapa! Mipira mimi inanisaidia nini??? Hawa watu wamerogwa ndo maana tz vijana wengi wataendelea kulia lia ajira maana hawajitambui
Muda mwingi nabaki kuwasoma tu na hoja zao za kidumavu yaani wiki nzima wanajadili aliingia uwanjani au laa..halafu wanataka Nci iwe na maendeleo wanakuja Wageni wanafanikiwa kwenye ardhi yao wao wapo busy na Mkuu wa Mkoa kesho mkeka wa Rais kesho kutwa mkuu wa wilaya aisee na unakuta ni mtu mzima kabisa ana zaidi ya miaka 40 anaandika hivi vitu..Mtoa mada The way alivyoandika, unaweza kufikiri labda ana haki ya kumshauri huyo Rais, mtu wa kumteua!
Yaani badala ya kufikiri namna ya kuipambania Katiba mpya ili tuondokane na hii Katiba mbovu ya mwaka 1977! Kwake yeye huyo RC akiondolewa, ndiyo faraja yake! Na yote hayo ni kwa sababu tu huyo RC ni shabiki wa Yanga, kwa bahati mbaya alienda kwenye eneo ambalo timu yake ya Simba inafanya mazoezi!!
Kuzishabikia hizi timu mbili kongwe nchini, kumewapumbaza watu wengi.
Ujinga wa mkubwa huu, hivi hizi team wameanza kujiona wanaweza kuamua siasa nchi hii? Rais akifanya lolote sababu ya huu upuuzi basi atakuwa katika viongozi dhaifu sana nchi hii. Mkuu wa mkoa kishasema kama kuna clip yoyote anaingia uwanjani basi yuko tayari kuwajibika. Yule ni mkuu wa mkoa kuwe na heshima kidogo afukuzwe kazi kwa mambo mengine lakini sio ya mpira. acheni ujinga mtafukuza wangapi? kesho mtasema Nchemba afukuzwe sababu Yanga, Waziri wa michezo afukuzwe sababu Simba. ondoeni upuuzi huu. mpira umeisha basi.Kwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza.
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide
Tunaangaliana sura na mahusiano sio weledi na utendaji kaziTatizo la vyeo kwenda kwa wasiostahili ni kubwa sana katika nchi yetu.
Mama yako na huyo RC wote kwangu hawapati kura yangu,Kwa afya ya nchi yetu na chama chetu hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi, alichofanya huyu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ni kama anataka kukuharibia. Ikikupendeza mpumzishe kwanza.
Kwa sasa, mpira unaleta mchango mkubwa sana kwenye amani, furaha na ustawi wa maisha yetu na kwa bahati wewe umekuwa mstari wa mbele kuhakikisha hilo lina
tokea ila inaonekana kuna wachache wanata kukuchania mkeka wako.
Please ikikupendeza, weekend ndio hii.
Daniel Zwangendaba, Adelaide
Mama anaupiga mwingi sana usipompa kura yako ni kujidhulumu mwenyewe.Mama yako na huyo RC wote kwangu hawapati kura yangu,
Kulikuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani bila kujali nani aliyesababisha hivyo lazima polisi waende kufanya kazi yao. Mfano watu walifungiana ndani ya vyumba.Kama hujaona kosa ni wewe, acha waliona kosa waongee. Tangu lini polisi wanatumwa kuvamia mazoezi ya timu.
Kwani tafsiri ya maendeleo kwako ni ipi? Kuna sekta yenye mzunguko mzuri wa pesa kuizidi mpira kwa sasa duniani? Kuna sekta yenye mishahara minono kuizidi ya mpira duniani? Kwanini unaona mpira bado ni kitu cha ziada kwenye maendeleo?Mpira hauleti amani, ila UNAPUMBAZA WAJINGA waelekeze akili kwenye mpira nakuacha kujadili na kuangalia mambo hovyo yanayofanywa na Serikali kupitia frog 🐸 CHURA KIZIWI
Mkuu Mshana Umenifuraisha Sana kabisa, Kwa Mara ya 3 Anatoa Boko hii Kweli Sasa inatosha, inafaa Afurumushwe Sasa Pimbi huyu wa UtopoloHii ni mara ya tatu anatoa boko.. Ya pili ni ile kutoka kumtetea mfiraji.. Nadhani imetosha sadaView attachment 3159271