Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Weka takwimu.

Usibwabwaje tu kisa ulikosa ajira za ualimu
20211229_190124.jpg
 
Official data please. Sasa hayupo na kama kweli aliongeza deni la taifa exponentially, bila shaka data zitaonyesha hivyo.

➡️ 1. Alilikuta deni la taifa likiwa trilioni ngapi?

➡️ 2. Kwa miaka 6 aliyokaa madarakani aliongeza trilioni ngapi katika deni la taifa i.e. aliacha deni la taifa likiwa trilioni ngapi?

➡️ 3. Kwa sasa deni la taifa ni trilioni ngapi? i.e. limeongezeka kwa trilioni ngapi

Mengine yote uko sahihi maana kila mtu is entitled to his opinions. Na jamaa alijijengea maadui wengi sana - wenye vyeti feki, wahujumu uchumi, mafisadi na majizi ya mali za taifa, maajenti wa mabeberu, wakwepa kodi, wababaishaji...and the list goes on and on....
20211229_190124.jpg
 
JPM amekopa pesa nyingi sana, deni la taifa limeongezeka exponentially wakati wa jpm. Hili halifahamiki sababu ukopaji wakati wa jpm ulikuwa wa kihuni anakopa bila kulihusisha bunge. Rais wa hovyo kuwai kutokea ulimwenguni
Ni ngumu sana kuhojiana na mtu anayeamini katika conspiracies zisizo na kichwa wala miguu; na anayejiropokea tu bila ushahidi wala uthibitisho wo wote. Maana kila mtu anaweza tu kuropoka cho chote!

Kwa jinsi anavyochukiwa na wanavyojaribu kufuta kila kitu alichofanya na kubebeshwa kila lililo baya angekuwa kweli kakopa matrilioni kimya kimya kama unavyodai mbona yangekuwa yameshawekwa wazi? Na kama aliyatumia hayo matrilioni kutujengea miundombinu na amenities zote alizotuachia kuna ubaya gani? Hawa wanaokopa kila leo na wako bize kula kulingana na urefu wa kamba zao ndiyo mashujaa kwako?

Tuishie hapa mkuu.
 
Weka takwimu hapa. Kwa miaka sita aliyokaa madarakani JPM alikopa trilioni ngapi; na kuliacha deni la taifa likiwa trilioni ngapi? Na mama kwa hii miaka michache tu aliyokaa madarakani amekopa trilioni ngapi; na kulipaisha deni la taifa mpaka trilioni ngapi? Ukizipata hizo takwimu utarudi ufute comment yako kama wewe ni mkweli na mwenye dhamira safi isiyotawaliwa na chuki binafsi.

Iko hivi: Kwa nchi zetu hizi huwezi kuziendesha bila kukopa maana uchumi wetu ni legelege sana. Suala ni kwamba unakopa ili ufanyie nini? Kama hukuona hizo trilioni chache alizokopa JPM zilitumika kufanyia nini basi tena....

➡️➡️➡️ Pamoja na kukopa kwake jambo kubwa ambalo alilifanya JPM ni zile jitihada zake za kujaribu kubadili fikra za watu polepole na kuona kuwa wana raslimali za kutosha kujiletea maendeleo kama wakizitumia vizuri. Wengi mnataka mabadiliko ya fikra - Kuwa na umma wenye falsafa ya ukombozi na kujitambua. Oooh miafrika mijinga haijitambui ndiyo maana bara tajiri sana lakini myenyewe ni masikini ya kutupwa. Mnafikiri kwamba kubadilisha fikra za watu, mitazamo na falsafa zao ni jambo rahisi kama kupiga kope kumbe ni kazi ngumu na yenye kuhitaji hata vizazi kadhaa. Na kweli Watanzania walikuwa wameanza kuona mwanga - wa kifikra na kimtazamo tu.

Angalau kwa hilo tu anastahili kupewa maua yake na wachache waliojaribu kumwelewa!

Pole kwa kukosa ajira za ualimu wakati wa JPM. Mama anaajiri walimu 14K mwaka huu. Nakuombea uwe mmoja utakayebahatika kupata kati ya waombaji 250K walioomba.

➡️➡️➡️ Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni
Umeandka pumba tu ninachojua magu hakuwa kiongoz kbs alitanguliza uccm wake mbele kuliko maslahi ya taifa hli, ndiye chanzo cha bunge la chama kimoja bunge takataka kbs yule hakuwa kiongoz alikuwa anakopa mamikopo kwa alokuwa akiwaita mabeberu halafu anadanganya watz eti pesa ya ndani, kila aliyemkosoa alimpakazia kukosa uzalendo au kutumiwa taifa hili chn ya ccm hakuna jipya
 
Ni ngumu sana kuhojiana na mtu anayeamini katika conspiracies zisizo na kichwa wala miguu; na anayejiropokea tu bila ushahidi wala uthibitisho wo wote. Maana kila mtu anaweza tu kuropoka cho chote!

Kwa jinsi anavyochukiwa na wanavyojaribu kufuta kila kitu alichofanya na kubebeshwa kila lililo baya angekuwa kweli kakopa matrilioni kimya kimya kama unavyodai mbona yangekuwa yameshawekwa wazi? Na kama aliyatumia hayo matrilioni kutujengea miundombinu na amenities zote alizotuachia kuna ubaya gani? Hawa wanaokopa kila leo na wako bize kula kulingana na urefu wa kamba zao ndiyo mashujaa kwako?

Tuishie hapa mkuu.
Tatzo ww unamtetea magu kwa maslahi ya ukabila si maslahi ya tz na watz
 
Umeandka pumba tu ninachojua magu hakuwa kiongoz kbs alitanguliza uccm wake mbele kuliko maslahi ya taifa hli, ndiye chanzo cha bunge la chama kimoja bunge takataka kbs yule hakuwa kiongoz alikuwa anakopa mamikopo kwa alokuwa akiwaita mabeberu halafu anadanganya watz eti pesa ya ndani, kila aliyemkosoa alimpakazia kukosa uzalendo au kutumiwa taifa hili chn ya ccm hakuna jipya
Siyo kwamba zako hizi ndiyo pumba sikweadi mkuu? Hata kama alikopa hizo pesa huoni zilivyotumika mpaka kuanza kuibadilisha nchi yetu?

Watu mlioguswa na hekaheka zake ni sawa kuwa na chuki hizi. Mnafikiri maendeleo huwa yanakuja tu kama upepo. Maendeleo - hata ya kwako peke yako yatakuja na maumivu; na hakuna kubembelezana. Unafikiri hata huko walikoendelea waliendelea wakiwa na demokrasia hii (uchwara)? Waliendelea wakati wa tawala za kisultani, kifalme na kimalkia. Na kutawala dunia nzima, plundering na kuua. Mmeletewa hii demokrasia uchwara ya Kimagharibi hii na bila kutambua kuwa ni mtego mwingine, mmeingia mkenge.

➡️➡️➡️ Afrika inahitaji viongozi angalau 30 tu dizaini ya Magufuli, Kagame na yule dogo wa Burkina. Wape miaka 30 wafanye wanachotaka halafu waondoke. Watakuachia bara lililovuvumka kimaendeleo, jeuri na lenye kujitambua na ambalo halitanyonywa tena kiboya
 
Tatzo ww unamtetea magu kwa maslahi ya ukabila si maslahi ya tz na watz
Usiende huko kwenye ad hominem attacks na vitu ambavyo havina hata mantiki mkuu. Ukabila unaingiaje hapa? Yaani katika hoja yangu yote wewe ume-infer ukabila tu?

➡️➡️➡️ Ni kweli Magufuli hakujali maslahi ya Tanzania na Watanzania?😳😳😳

Sad!
 
SAhihi kavisa.
Nipo D.C sa huu, nimekutana na MAGA operatives, banasema hivyo hivyo.

Wanasema, miaka mia moja tu iliyopita tulikuwa tukitumia dawa asili ama mitishamba, ila kwa sababu hawa "Pharmaceuticals Industrial Complex" Magonjwa yameongezeka kutokana na kemikali zilizomo ndani za madawa.

Alinichekesha aliposema, his words
' they have been shaming us' akimaanisha hawa PIC kwa kusema ' stop using natural ingredients from sharmans' wakidai zinaua lol, wakati dawa zao ndizo zinazofanya watu wafe.

Alisema, wanatengeneza madawa yasiyotibu ili urudi kununua. In short, Imekuwa Biashara.
Naam
 
Rais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake

Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.

Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 millioni wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400 millioni.

Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.
Ila Trump anaipenda sana Marekani.

😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Endeleeni kubwabwaja tu ila JPM kumsema vibaya mnatukosea sana sisi wazalendo. sasa ipo siku ntaunda chama binafsi na ntachukua form ya urais then ntatumia picha tu ya JPM tuone mgombea gani anaweze kushinda mbele ya picha ya JPM. muwe mnaacha uwendawazimu bhn. ukiachana na father of nation Tanzania haijawahi pata raisi kama JPM. Tena msituvuruge kbsa kazi kuamshiana machungu tu...Hamuoni watu wanavokuwa wakali mkimsema vibaya jaribu kupitia hata comments tu, mtakuja muuwawe...
R.I.P JOHN POMBE MAGUFULI.
WE MISSED YOU DADDY.
 
Likija swala la uchangiaji kwenye mashirika ya kimataifa, China huwa inajiweka kwenye kundi la nchi zinazoendelewa sawa na Tanzania. Hata mchango inaotoa mara nyingi huwa specifica kwa mambo yanayoihusu yenyewe, haingizi hela kwenye pool.
Pamoja na yote hayo, bado China ndiyo imeteka influence ya WHO, viongozi wa WHO huwa na wepesi kwenye mapendekezo or interests za China na kupuuza wengine.
Katika awamu yake ya kwanza Trump aliwahi kuinya kuhusu hili, lakini hakueleweka.
China anatumia sana rushwa kwa viongozi na bodies za haya mashirika.
 
Likija swala la uchangiaji kwenye mashirika ya kimataifa, China huwa inajiweka kwenye kundi la nchi zinazoendelewa sawa na Tanzania. Hata mchango inaotoa mara nyingi huwa specifica kwa mambo yanayoihusu yenyewe, haingizi hela kwenye pool.
Pamoja na yote hayo, bado China ndiyo imeteka influence ya WHO, viongozi wa WHO huwa na wepesi kwenye mapendekezo or interests za China na kupuuza wengine.
Katika awamu yake ya kwanza Trump aliwahi kuinya kuhusu hili, lakini hakueleweka.
Kila mtu ababe zigo lake.

Watu watombane hovyo hovyo halafu zigo abebeshwe China na Marekani huu ni upuuzi.

NATO jiwe lao linakuja wajiandae Trump hataki kuona Marekani ikijibebesha mizigo ya kulea wengine nchi za ulaya nazo zijiandae kisaikolojia
 
Usiende huko kwenye ad hominem attacks na vitu ambavyo havina hata mantiki mkuu. Ukabila unaingiaje hapa? Yaani katika hoja yangu yote wewe ume-infer ukabila tu?

➡️➡️➡️ Ni kweli Magufuli hakujali maslahi ya Tanzania na Watanzania?😳😳😳

Sad!
Angekuwa anajari asingeweka mbele uccm wake akawa anadanganya watz kwmb wapnzan ndo wanaomchelewesha sjui kwa lipi hasa kumbe jtu ni liongo tu alijari mavitu tu si maisha ya watz muongo mkubwa yule
 
Angekuwa anajari asingeweka mbele uccm wake akawa anadanganya watz kwmb wapnzan ndo wanaomchelewesha sjui kwa lipi hasa kumbe jtu ni liongo tu alijari mavitu tu si maisha ya watz muongo mkubwa yule
Anajifanya anapigania wanyonge wakati ndiye alikuwa Mnyongaji mkuu wa Mifumo ya nchi, anajifanya kupinga Rushwa wakati ndiye alikuwa mhongaji mkuu hadi wapinzani aliwahonga na kuwanunua, rushwa za matrafiki aliita ni hela ya brash.
Alipinga wapinzani na kudai wanamchelewesha wakati alitenga kabisa fungu la kuwanunua na kuwapa nafasi serikalini kwake.
 
Back
Top Bottom