Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Ukimwi wa zamani unarudi, kazi tunayo...
 
Na sisi tujitoa AU pamoja na EAC
 
Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Wachina wana tiba zao za asili tangu kitambo tuliwashuhudia wakiwa wanajenga hii Mkapa Stadium na TAZARA
 
Unaandika ujinga sana
 
Tanzania tunahitaji kuwa na Rais mwenye akili kama za Donald Trump.

GOD BLESS ISRAEL
Mmeanza tena mambo yenu kama mlivyotaka Rais mwenye maamuzi magumu. Vyama vyote viwili vikatuletea watu wawili wa moto kwelikweli toka makabila ya wafugaji watata.
 
akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.

Nini kimekukimbiza kwa kutoandika kiasi sahihi? 😊
 
Ndio maana mkurugenzi was WHO kaja juzi hapo magogoni kumbe mambo ndio hayo!!

CCM badili mgombea haraka sana!huyo mama hawezi kuongoza nchi inayopitia wakati mgumu!!!
 
"Tuamke"! Unataka na sisi tujitoe kutokana na kuchangia kiasi kikubwa kuliko China!
Hapana mazee. Nasema Tuamke na kuanza kuyathamini madawa yetu ya Asili. Nasema tuamke, tuwe na mikakati itakayowezesha Serikali kuacha Utegemezi kwa hivi vyombo.

Na Uhakika hata hiyo Marekani itarudi tu.🙏
Twafwaa mayo!
Usiogope Mkubwa.
Sisi ugonjwa upo tusaidiwe tunasema haupo! Mara haupo ila ni mtu mmoja tu anaumwa! NHIF inatushinda kuiendesha kwa sababu za udokozi usiokuwa na maana, sasa tutakwisha kwani hatutakuwa na watu wa kudhibiti magonjwa yasisambae.
Mimi iko na konfidenai na NHF katika ufanisi, hatahivyo huo Udokozi ufuatiliwe na Unyongaji wa Wadokozi ama unaonaje?
 
Zile hazihusiani na hili. Ukiseikia PEPFAR na USAID zimeguswa hapo ndiyo ujue pamechangamka, by the way na wenyewe ameshawaambia wajiandae sababu haoni kwanini waendelee kutoa hiyo misaada.
Hapo atakua kakanyaga waya waafrika tutaisoma namba huku.
 
Kwa maelezo haya ni halali tu Marekani kujitoa WHO maana ni kama wanatoa misaada ya kiafya kwa wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…