binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Wizara ya Afya yetu bajeti ni donor funded kwa asilimia ngapi?
Tuanze kuumiza vichwa.
Tuanze kuumiza vichwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina watawasaidia.Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Kwanini usitafute elimu sahihi ya mitishamba badala ya mizizi feki? Kuua ili upate pesa si sahihi.Fursa hii mkuu na mimi ngoja nitafute mizizi feki, ndio muda wa kupiga pesa huu, usisahau na kina mwamposa sasa watajaza watu mara dufu
ARV za kichina siyo!Wachina watawasaidia.
Chat GPTKujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kunaweza kuwa na athari kubwa kwa Afrika, ikizingatiwa jinsi bara hili linavyotegemea msaada wa kimataifa katika sekta ya afya. Athari kuu ni pamoja na:
1. Upungufu wa Rasilimali za Fedha
Marekani imekuwa mmoja wa wafadhili wakubwa wa WHO, ikichangia takriban 15% ya bajeti ya shirika hilo. Kujitoa kwake kungepunguza rasilimali zinazopatikana kwa miradi ya afya barani Afrika, kama vile:
- Mapambano dhidi ya magonjwa kama malaria, kifua kikuu, na VVU/UKIMWI.
- Chanjo na udhibiti wa magonjwa ya mlipuko kama polio na surua.
2. Kupungua kwa Msaada wa Dharura
WHO ina jukumu muhimu katika kushughulikia dharura za kiafya, kama vile milipuko ya magonjwa na majanga ya asili. Kujitoa kwa Marekani kungeathiri uwezo wa WHO kusaidia nchi za Afrika wakati wa dharura za kiafya, kama ilivyoonekana wakati wa milipuko ya Ebola.
3. Kudhoofika kwa Miradi ya Kinga na Uzuiaji wa Magonjwa
Afrika inategemea sana mipango ya kinga inayoungwa mkono na WHO, kama vile Mpango wa Chanjo Duniani (Gavi). Bila msaada wa Marekani, miradi hii inaweza kukumbwa na changamoto za kifedha, na hivyo kuhatarisha afya ya mamilioni ya watu.
4. Athari kwa Ushirikiano wa Kimataifa
Kujitoa kwa Marekani kunapunguza mshikamano wa kimataifa katika kushughulikia changamoto za kiafya. Afrika inaweza kupata changamoto zaidi kushirikiana na WHO kutokana na upungufu wa rasilimali na ushawishi wa kisiasa.
5. Kuongezeka kwa Utegemezi kwa Mataifa Mengine
Nchi za Afrika zinaweza kulazimika kutegemea zaidi msaada kutoka kwa nchi kama China, Umoja wa Ulaya, au taasisi za kibinafsi, ambazo zinaweza kuwa na vipaumbele tofauti.
Kwa ujumla, kujitoa kwa Marekani kutoka WHO kunaweza kudhoofisha juhudi za kuboresha afya barani Afrika, hasa kwa wale walioko kwenye mazingira magumu zaidi.
MwafaUS Anajitoa Wakati Marburg Ipo Kagera Sasa Oops
Zile hela wanazopewa wake wa viongozi wastaafu zikanunue chanjofedha za kununua chanjo muhimu kama vile ile ya polio na kifua kikuu.
Hapo ni balaa tupu bado anaitaka greenland anasema kwa kuinunua hata kuivamia, bado anasema anaweza chukua ile canal kule america kusini ambayo anadai amerika iliwapatia bure wakati imechimbwa kwenye eneo lao wenyewe sasa huo ubure sijui unatoka wapi.Tayari pameshaanza kuchangamka..wale tuliozea dezo huu ndio mwisho
Kuna kitu gani tumeweza kukiendesha? Kupitishana bila kupingwa?NHIF inatushinda kuiendesha
Inabidi tujitambue, tuache matumizi mabovu kama;Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Sasa Tundu lissu akichukua nchi atakutana na wakati mgumu sana.
ARV siku zote zinauzwa. Wanachokifanya Serikali ya Marekani kupitia PEPFAR, ni kununua haya madawa kutoka kwenye kampuni kubwa za Madawa halafu wanatugaia kama Msaada as part of their "soft policy" bure. Offcourse baadae lazima upanue.Naona pia ARV zitaanza kuuzwa sasa maana WHO wamepungukiwa mchango wa marekani.
Athari ni ndogo sana. Almost none. Msaada wa ARV's kutoka marekani ni Direct Funding na hazipitii WHO. Nimehakikishiwa PEPFAR itakuwepo, anagalabu kwa sasa.Au mchango wa marekani wa hizo dola hauna athari?
Kuku wanakufaje?🤣Tutakufa kama kuku sasa
Yaani hata mimi jambo la kwanza nimewaza ARVWamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Wale wa kuzimu mtabakia kuzimu wale wanaoishi paradiso wataendelea kuishi paradisoInabidi tujitambue, tuache matumizi mabovu kama;
-Goli la mama
-Ununuzi wa magari holela ya viongozi
-Ununuzi wa MABASI YA CCM☹️
-N.K
Kinyume na hivyo tujiandae kuzika/kuzkwa.
Kipindi cha COVID19 aliwahi kuonya kuwa ata freez US$400 China akajitutumua kuwa kama US ita freez hela yake basi WHO wasiwe na wasiwasi, wao China wata inject US$ 50😅, halafu WHO wakafurahi.Wangemuambia tu China aongeze mchango Jamani 🤭