zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kichwa cha kuku kimeondolewasasa ni muda na wao staff madokezo yao yakwame. 400m$ zikitolewa kwenye bajet parefu sana. sasa lazim na wao wakose mikate kama sisi na posho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha kuku kimeondolewasasa ni muda na wao staff madokezo yao yakwame. 400m$ zikitolewa kwenye bajet parefu sana. sasa lazim na wao wakose mikate kama sisi na posho
Si wanasemma mchina super power. Na mrus watazbaa gap. et marekan si loloteWamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Hizi Basket fund zinazo letwa huku kada ya Afya kwa udhamini wa hao hao USA tunaweza kuguswa?? Maana ni pesa nono mnooo,PEPFAR n USAID wanaguswa muda si mrefu
Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Safiii Sana tujitegemee nw Sisi Kila kitu misada Tuu,, Barabarani Nzuri Ni zile za misada.. hospital misada,, Budget misada,, no tujitegemeeHii inatoa ishara kubwa miradi mingi ya afya hapa Tanzania huenda ikadorora, hususani HIV, Malaria, uzazi salama, TB na tafiti za afya.
Wakamuua wachawi,ooh akafa kichawi.JPM ???????
Angalau kwa hili alikuwa sawa?
Kuanza kujaribu kutubadilisha fikra zetu kwamba hakuna mjomba wala shangazi wa kutusaidia kuleta maendeleo bali inabidi tukomae sisi wenyewe na makinikia zetu?
Na hata dunia kwa ujumla,ni basi tu.WHO haina manufaa yoyoye kwa Wamarekani!
😂😂😂😂 Ndo utakapo jua wapumbav niwengi sana wanashabikia vitu bila kuchanganua.wenye akili za ki-ccm hesabu ndogo ya trump itawashinda......china ndo mudawake kuchukua hiyo nafasi alipe Dola Milion 400 marekani alipe Dola Milion 40
Wachawi noma sana wachawi sio watuWakamuua wachawi,ooh akafa kichawi.
China hajasema hivyo wewe zuzu nini😂😂😂😂 Ndo utakapo jua wapumbav niwengi sana wanashabikia vitu bila kuchanganua.
Tukiwaambia watu kwamba Ukiwa Rais unakuwa na Nguvu kuliko kawaida machadomo Huwa yanabisha.
Hakuna Cha Katiba Mpya Wala biashara za Demokrasia sijui kushirikisha and such blaa blaa.
Amri za Rais zinaendelea 👇 👇
View: https://x.com/ReutersBiz/status/1881560142044409988?t=EBf8HYnMEDX3buxQuG2Z4g&s=19
Hata Leo hii Samia akisema marufuku mikutano ya siasa Kuna Marburg hakuna wa kupiga makelele ya kijinga jinga.
Hakika wananyonya damu za watu,ukiwazuia wanakumaliza.Wachawi noma sana wachawi sio watu
Ndio maana kauli mbiu make America great againUmeongea ukweli kabisa, kwa ufupi tunaweza sema ni wabinafsi
Marekani itatummia Kila njia kuhakikisha pesa zilizokuwa zinatolewa kama misaada zinawezesha watu wao ndani kwanza
We punguan ujaelewa kitu nan kakwambia china kasema kwanza huo uwezi hana kenge maj weweChina hajasema hivyo wewe zuzu nini
Godwin Molel Waziri wa Afya kwenye kampeni za uchaguzi wa serikali za Mitaa alisema hatutumii Kodi zetu Bali Kuna watu wenye akili wanaozunguka huko duniani kutafuta hela! Sasa hatari ni kubwa sababu ya kuwa watu wenye ubongo ya aina ya watu Hawa!Safiii Sana tujitegemee nw Sisi Kila kitu misada Tuu,, Barabarani Nzuri Ni zile za misada.. hospital misada,, Budget misada,, no tujitegemee
Unakuja na hesabu zako za KKS hapaWe punguan ujaelewa kitu nan kakwambia china kasema kwanza huo uwezi hana kenge maj wewe
Kuhusu wenye ukimwi waachwe wafe siku hizi hakuna ukimwi wa bahati mbaya.Wakafe mbele kwa uasherati wao.Yaani hata mimi jambo la kwanza nimewaza ARV