Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

View attachment 3208429
Rais wa Marekani Donald Trump leo amesaini executive order ya kuindoa US kwenye uanachama wa Shirika La Afya Duniani (WHO).
Trump aliwahi kutoa shutuma nyingi dhidi ya WHO wakati wa kipindi cha Covid na alihashiriankujitoa.
US inakuchangia karibia asilimia 18 ya bajeti ya WHO.
Soma zaidi hapa: Donald Trump signs order to withdraw US from World Health Organization
Hii inatoa ishara kubwa miradi mingi ya afya hapa Tanzania huenda ikadorora, hususani HIV, Malaria, uzazi salama, TB na tafiti za afya.
 
Hii inatoa ishara kubwa miradi mingi ya afya hapa Tanzania huenda ikadorora, hususani HIV, Malaria, uzazi salama, TB na tafiti za afya.
Hapana sasa tuzitumie dawa zetu
Dawa nyingi zinatoka kwenye miti majani vitunguu nk sisi wavivu na mengine sisemi
 
View attachment 3208429
Rais wa Marekani Donald Trump leo amesaini executive order ya kuindoa US kwenye uanachama wa Shirika La Afya Duniani (WHO).
Trump aliwahi kutoa shutuma nyingi dhidi ya WHO wakati wa kipindi cha Covid na alihashiriankujitoa.
US inakuchangia karibia asilimia 18 ya bajeti ya WHO.
Soma zaidi hapa: Donald Trump signs order to withdraw US from World Health Organization
Sababu ni kwamba WHO inaficha kusema ukweli kwamba uviko 19 ilisababishwa na harakati za Maabara za China hivyo wanalinda Wachina wasilipe fidia wakati hawana wanachochangia hapo WHO.

Naunga mkono hoja japo balaa litazikita Nchi za ulimwengu wa 3👇👇

View: https://x.com/Africa_newsday/status/1881556015860359629?t=xK3p5HucHuLBgBg6_EOdCQ&s=19
 
Hivi kwa nini Director wa WHO ameamua kuja Tanzania na kutoa msaada wakati wa kuapishwa kwa Trump ambaye alishaashiria kujitoa?
Kwanza USA Huwa hawamkubali wanamkosoaga kwamba anaependelea China lakini amekuja kimajukumu zaidi hana wajibu wa kuhudhuria huko uapisho wake.
 
Hii inatoa ishara kubwa miradi mingi ya afya hapa Tanzania huenda ikadorora, hususani HIV, Malaria, uzazi salama, TB na tafiti za afya.
Halafu huku BIMA ikitufinya vilivyo.
I cant breath...
 
View attachment 3208429
Rais wa Marekani Donald Trump leo amesaini executive order ya kuindoa US kwenye uanachama wa Shirika La Afya Duniani (WHO).
Trump aliwahi kutoa shutuma nyingi dhidi ya WHO wakati wa kipindi cha Covid na alihashiriankujitoa.
US inakuchangia karibia asilimia 18 ya bajeti ya WHO.
Soma zaidi hapa: Donald Trump signs order to withdraw US from World Health Organization
Tukiwaambia watu kwamba Ukiwa Rais unakuwa na Nguvu kuliko kawaida machadomo Huwa yanabisha.

Hakuna Cha Katiba Mpya Wala biashara za Demokrasia sijui kushirikisha and such blaa blaa.

Amri za Rais zinaendelea 👇 👇

View: https://x.com/ReutersBiz/status/1881560142044409988?t=EBf8HYnMEDX3buxQuG2Z4g&s=19

Hata Leo hii Samia akisema marufuku mikutano ya siasa Kuna Marburg hakuna wa kupiga makelele ya kijinga jinga.
 
Hapana sasa tuzitumie dawa zetu
Dawa nyingi zinatoka kwenye miti majani vitunguu nk sisi wavivu na mengine sisemi
Na operesheni za matumbo mtafanya kwa mapanga na mindu bila ganzi kwa waganga wa kienyeji?
 
sasa ni muda na wao staff madokezo yao yakwame. 400m$ zikitolewa kwenye bajet parefu sana. sasa lazim na wao wakose mikate kama sisi na posho
 
Athari ipo ukizingatia ya kuwa Marekani anamwaga mpunga mrefu kwenye hiyo WHO.
HIvi hizi BASKET FUNDS zinazo pelekwa kada ya Afya,zinatoka mfuko upi?? Ni hao hao WHO ama USAID
 
Back
Top Bottom