Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Ninyi si mlibeza kikombe cha Babu? Mkatunga na uongo kwamba, waliokunya wamekufa... akati kuna watu wengi walokunywa wametoa ushuhuda wamepona...Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Hahahaha! Tena wakati mnamkashifu mliona siifa wenyewe... mmesimamisha vichwa juu kama nguchilo... na wazungu wakawapigia makofi mkasema yess.... sasa ndo mkome na mjue bure siku zote ni ghalama