much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kutona ndo Nini wewe mnyia?Unaongea msafwa kutona donor country over.......................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutona ndo Nini wewe mnyia?Unaongea msafwa kutona donor country over.......................
PEPFAR n USAID wanaguswa muda si mrefuDuh wakigusa kwenye network ya Njugumawe tumeisha😁
Ukimwi wa zamani unarudi, kazi tunayo...Kujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kunaweza pia kuwa na athari kubwa kwa upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya VVU (ARVs) barani Afrika, kwani Marekani imekuwa mdau muhimu katika ufadhili wa mipango ya VVU/UKIMWI. Athari kuu zinazowezekana ni:
1. Kupungua kwa Upatikanaji wa ARVs
Marekani kupitia programu kama PEPFAR (President’s Emergency Plan for AIDS Relief) imekuwa chanzo kikuu cha rasilimali kwa ununuzi wa ARVs na miradi ya matibabu ya VVU/UKIMWI. Ikiwa msaada huu utapunguzwa kutokana na kujitoa WHO, mamilioni ya watu wanaotegemea dawa hizi barani Afrika wanaweza kuathirika.
2. Kuzorota kwa Huduma za Matibabu
WHO inasaidia nchi za Afrika kupitia uratibu wa miradi ya afya, mafunzo ya watoa huduma, na usambazaji wa dawa. Kupungua kwa msaada wa Marekani kunaweza kuathiri utoaji wa huduma muhimu, kama vile:
- Vipimo vya mara kwa mara kwa wagonjwa wa VVU.
- Ufuatiliaji wa maendeleo ya matibabu.
- Huduma za kinga na elimu ya afya.
3. Ongezeko la Maambukizi Mapya ya VVU
Kupungua kwa upatikanaji wa ARVs kunamaanisha wagonjwa wengi wanaweza kushindwa kudhibiti kiwango cha virusi mwilini. Hii inaweza kusababisha maambukizi mapya kwa kasi zaidi, hasa kwa watoto wachanga na wenza wa wagonjwa.
4. Athari kwa Watoto na Wajawazito
WHO, kwa msaada wa Marekani, imekuwa ikiratibu upatikanaji wa ARVs kwa wajawazito ili kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto. Kujitoa kwa Marekani kunaweza kudhoofisha juhudi hizi, na kusababisha ongezeko la watoto wanaozaliwa na maambukizi ya VVU.
5. Gharama za Dawa Kupanda
Kupungua kwa rasilimali za kimataifa kupitia WHO kunaweza kulazimisha nchi za Afrika kutafuta suluhisho mbadala, ambazo mara nyingi ni ghali zaidi. Hili linaweza kufanya dawa za ARVs kuwa ghali na hivyo zisifikiwe na walio wengi.
Kwa ujumla, kujitoa kwa Marekani kunaweza kurudisha nyuma maendeleo makubwa yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI barani Afrika, na kuathiri maisha ya mamilioni ya wagonjwa wanaotegemea ARVs kwa matibabu.
Walidunga watu chanjo yenye utata aliyoishitukia MwendazakeWHO haina manufaa yoyoye kwa Wamarekani!
Na sisi tujitoa AU pamoja na EACRais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.
Hii ni Vicious puzzle, Hatatoka mtu!!Ukimwi wa zamani unarudi, kazi tunayo...
Huyu aliyeachia watu wale kwa urefu wa kamba sijui atastahimili hii?JPM ???????
Angalau kwa hili alikuwa sawa?
Kuanza kujaribu kutubadilisha fikra zetu kwamba hakuna mjomba wala shangazi wa kutusaidia bali inabidi tukomae sisi wenyewe na makinikia zetu?
TujifukizeMy take
Tuamke
Wachina wana tiba zao za asili tangu kitambo tuliwashuhudia wakiwa wanajenga hii Mkapa Stadium na TAZARAMoja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Unaandika ujinga sanaHapa ndio utajua china sio taifa tajili kabisaa...........utajili wa china uko kwa uwingi wa watu tu na sio pesa...............labda na kutuuzia yale makoro koro yao fake........na kuchukua mitonyo yetu original...........ndio maana mi niliwapenda waliokuwa wanawatandika makontena ya michanga na kuwaambia hizo ni korosho
Mmeanza tena mambo yenu kama mlivyotaka Rais mwenye maamuzi magumu. Vyama vyote viwili vikatuletea watu wawili wa moto kwelikweli toka makabila ya wafugaji watata.Tanzania tunahitaji kuwa na Rais mwenye akili kama za Donald Trump.
GOD BLESS ISRAEL
Halafu tunachwa nalo tulicheze, wao kimyaaaKwamba sasa hii ni dalili litazuka gonjwa la ajabu muda si mrefu...
Zile hazihusiani na hili. Ukiseikia PEPFAR na USAID zimeguswa hapo ndiyo ujue pamechangamka, by the way na wenyewe ameshawaambia wajiandae sababu haoni kwanini waendelee kutoa hiyo misaada.NGO zingi zinazohusika na masuala ya Afya zitapata ukata Sana? Ama hili halihusiani ?
akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Zitakwepaje kuguswa?Zile hazihusiani na hili. Ukiseikia PEPFAR na USAID zimeguswa hapo ndiyo ujue pamechangamka, by the way na wenyewe ameshawaambia wajiandae sababu haoni kwanini waendelee kutoa hiyo misaada.
Hapana mazee. Nasema Tuamke na kuanza kuyathamini madawa yetu ya Asili. Nasema tuamke, tuwe na mikakati itakayowezesha Serikali kuacha Utegemezi kwa hivi vyombo."Tuamke"! Unataka na sisi tujitoe kutokana na kuchangia kiasi kikubwa kuliko China!
Usiogope Mkubwa.Twafwaa mayo!
Mimi iko na konfidenai na NHF katika ufanisi, hatahivyo huo Udokozi ufuatiliwe na Unyongaji wa Wadokozi ama unaonaje?Sisi ugonjwa upo tusaidiwe tunasema haupo! Mara haupo ila ni mtu mmoja tu anaumwa! NHIF inatushinda kuiendesha kwa sababu za udokozi usiokuwa na maana, sasa tutakwisha kwani hatutakuwa na watu wa kudhibiti magonjwa yasisambae.
Hapo atakua kakanyaga waya waafrika tutaisoma namba huku.Zile hazihusiani na hili. Ukiseikia PEPFAR na USAID zimeguswa hapo ndiyo ujue pamechangamka, by the way na wenyewe ameshawaambia wajiandae sababu haoni kwanini waendelee kutoa hiyo misaada.
Kwa maelezo haya ni halali tu Marekani kujitoa WHO maana ni kama wanatoa misaada ya kiafya kwa wajinga.Hapa ndio utajua china sio taifa tajili kabisaa...........utajili wa china uko kwa uwingi wa watu tu na sio pesa...............labda na kutuuzia yale makoro koro yao fake........na kuchukua mitonyo yetu original...........ndio maana mi niliwapenda waliokuwa wanawatandika makontena ya michanga na kuwaambia hizo ni korosho