Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkomunist wewe ulizoea vya bure, unaona kule china nao wamewastukiayule mzee aache kupaniki, mapema kabisa wakati hata maambukizi hayajafika kwake alikua na kejeli sana na alijua kila kitu.... sasa taarifa gani alitaka!? akanong'onezwe sikioni au? Stupid fat old man.
kwanini kubeza kwa Trump dhidi ya Corona unakupa nguvu sana kuliko kiongozi mwingine?.Trump alibeza mwenyewe huu ugonjwa na kusema ni "hoax" au chinese virus. Sasa mambo nchini kwake yameharibika kuliko hata kule shida ilipoanzia sasa anatafuta wa kumtupia lawama...
Hawa jamaa WHO ni wapuuzi sana, wanaelekea kuteketeza dunia kwa uoga wa kuiogopa china, wangestuka mapema na kutoa taarifa yote haya yasingetokea. Pia China anastahili adhabu kwa kuruhusu hii kirusi isambae duniani..
Kwasasa USA tunawaombe wache msaada uendelee tutakwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we sio mtanzania??Trust me hata WHO wangetoa taarifa Bado Kuna viongozi wangepuuzia tu.
Kwani saivi hamna taarifa kwamba ugonjwa unasambaa kwa njia gani?
Tanzania mmechukua hatua gani zaidi ya kufunga shule?
Kosa sio la who. Alizingua mwenyewe. Alidhrau ugonjwa wkt mataifa mengine yanaendelea kujikinga yeye akawa anapiga siasa.yule mzee aache kupaniki, mapema kabisa wakati hata maambukizi hayajafika kwake alikua na kejeli sana na alijua kila kitu.... sasa taarifa gani alitaka!? akanong'onezwe sikioni au? Stupid fat old man.
WHO imeangushiwa jumba bovu kama njia ya Trump kukwepa lawama kwa kuzembea kuchukua hatua mapema.Trimp ameshindwa kuwa Tinu wananchi wake kwa chloroquine wakati yeye ndiye mvumbuzi wa tiba hii?
Unahisi kuwa RAIS Wa US Ndio Kua Na Akili ?!kazee hakana akili? angekuwa Rais wa marekani? Wewe huoni kama vile anafanya muwe mnawajibika? Yee atoe Millon 460 dollar ati mchina 30 millon halafu mnampigia kura Mchina. haaa, na dawa za Ukimwi anatoa yeye Trump, sasa kula kwa Trump, mnampigia kura mchina. Wapi na wapi??
Ayatollah mwenye akili si angekuwa namba moja duniani.Haka kazee hakajawahi kujaaliwa akili haka[emoji3][emoji3][emoji16]
Atazivunja Taasisi zote ambazo anahisi hazikubaliani nao kwa upuuzi wahaka kazee
Ila sio mbaya anaifunza dunia namna yakutembea kwamiguu yao bila ya msaasa wa US.
Sent using My COVID-19