Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

typical "double standard" Trump...

yeye kuwasifu Wachina ni sawa lakini WHO si sawa..... pathetic president!


Make sure you libtards send your stimulus check back when you get it since he's not your President!!!!
.
You call him pathetic he call you man living in a Sithole country case closed
 
Make sure you libtards send your stimulus check back when you get it since he's not your President!!!!
.
You call him pathetic he call you man living in a Sithole country case closed
we're shithole, he's shit.
even!
 
Ayatollah mwenye akili si angekuwa namba moja duniani.
Au pastor Putin si angekuwa namba moja.
Huyo namba moja unaemuona ana akili kaisha kuelemewa anatua mzigo mmoja mmoja [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using My COVID-19
 
Unafikiri wanachagua watu wapumbavu pumbavu kama huko kwenu chama kikishampitisha zuzu ndio ameshakuwa Rais?


Yani wewe na mashia wenzako mnaota mchana saa sita jua kali.
Raia wa America ambao ni Liberal Dems pekee ndio hawamuelewi Trump.
.
Unapozungumza kuhusu ubabe wa America kwanza unachekesha Americans hata hawalijui hilo wanachojua wao ni wana uchumi mkubwa tu and they're fighting to keep it higher and higher.
.
Nchi ambayo wewe unaiona inaweza kuipiku America ni China kitu ambacho ni nadharia sana kwa sababu kadhaa.
1. China ni Taifa la kikomunisti akikupa mkopo hataki umrudishie fedha anataka resources zako.
2. China hawa invest katika Elimu kwa mataifa mengine kama anavyofanya America.

How did you knew pesa America imekuwa ngumu?
Your crazy like California governor
Kwan kujua kama US Ndio Nchi Yenye Deni Kubwa Inayo Daiwa Na UCHINA Nayo Inahitajia Kuwa Gavana [emoji16][emoji16][emoji16]


US Zama Zake Zinaelekea Ukingoni Apishe Wengine tena.

Sent using My COVID-19
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji56]
Yes kuwa Rais wa US ndiyo kuwa na akili, usifikiri watu smart kama akina Mark Zuckerberg, Bill gates, Elon Musk, Larry Page, nk wanaweza kuchagua kilaza kuwaongoza. Wewe kama unaona kukaa hapo Kariua na kuvuta tumbaku ndo una akili kuliko POTUS hizo tumbaku zako zinakudanganya.View attachment 1419525View attachment 1419526View attachment 1419527

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio kila asiokua na hayo uloyaorodhesha kama ww anakua hana akili[emoji23][emoji23]

Leo hii umekua unashindwa kutofautisha uwezo wamali na akili


Pole sana kijana.

Sent using My COVID-19
 
Huyo namba moja unaemuona ana akili kaisha kuelemewa anatua mzigo mmoja mmoja [emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using My COVID-19
You not having an education is your modis operandi.
 
Back
Top Bottom