Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lmao! Stop calling Trump Tahira muite Rais wako hivyo tuone kama uta survive huku we're free to call him any name.
.
Yani unauliza mambo ambayo Trump anayafanya kisa Obama wa Dems AkA DEMORAT au Bush Jr hawakuyafanya? Can't you notice Trump ni mtu mwingine na marengo yake ni tofauti na waliopita?
.
Black-Americans kwenye utawala hui wa Trump tumekuwa employed kuliko utawala wowote uliopita.
Kauli mbiu ya Trump ni Make America Great Again unahisi anabahatisha?
Yani uchumi wakati wa Obama ulidorora sana hadi China ikafikia hapo ilipo.
.
Trump is doing loveable job to a lot of Americans
Unataka nimwite tahira mtu ambae sio tahira ?!

Kama angekua tahira ningemwita ila kwakua sio tahira siwezi kumwita

Kwan unahisi UCHINA Kufikia hapa alipo kafikia kwabahati mbaya na kafikia wakati wa OBAMA[emoji23][emoji23][emoji23]

CHINA Kaanza Kukua Kiuchumi Miaka Na Miaka

Make US GREAT AGAIN[emoji23] kwa hizi akili za haka kababu watangojea sanaaa ndio kwanza wana agiza mask kutoka UCHINA Wanampiga teke chura hapa kama hujui


Trumpet siku akilala akiamka anaweza akasema UN Ivunjwe Inaionea US Hana Akili Babu Yule.

Sent using My COVID-19
 
What's your shia country doing to get a vaccine or cure?
Kama wanavofanya super power [emoji23][emoji23][emoji23] super power waliona wao wanaweza kila kitu sasa hv wanalalamika tu shunakenge miti zao[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
Obama care ilikua moja ya utahira wahuyu mzee nakujitoa katika mikataba yakimataifa kwasababu zakitaahira niutahira wake wengine

Kwan watangulizi wake wote walikua hawana akili kuwepo katika mikataba waliopo mbna hawakuwahi kujitoa ila yeye kwaukurupakaji wake ndio anaona ajinyofoe


All is Well Turampet Hajawahi Kujaaliwa Akili Ila Kajaaliwa Pesa Zakushato.

Sent using My COVID-19
Hela zenyewe za kuachiwa na dingi ake la sivyo angekua bonge la fala,ushawahi kuona raisi anagoma kutoa tax records zake?ndio yeye sasa na inshort US inaongozwa na muhuni kwa sasa.

Kwa pesa alizoachiwa 1980'shata angeziweka tu huko kwny Index Fund angekua tajiri mara 5 ya sasa hivi,jamaa ni kilaza biashara zote hizi alizoanzisha zimefeli from:

Trump University
Trump Airlines
Trump Vodka
Trump Magazine
Trump World
Trump Steaks
Trump’s Vegas steak house
Trump Mortgage
Trump Casinos
Trump charity ventures
Trump game ventures
Trump luxury travel
Trump Ice bottled water
Trump Fire carbonated fruit drinks
Trump America
Trumpnet Corporate telephone service
Trump Tower Tampa
Trump Serta Mattresses
Trump Colognes
Trump Shirts

Inshort jamaa ni looser tu na utajiri wake huko states uko debatable sana, he's not that rich.

Financial Times wanakwambia 'he may have few billion based on the total gross value of the properties Trump companies own, but as for the net values probably far less than a billion.'
 
Masaki ndio wap
Sio Buza tu hata kama anaishi Masaki huwezi kulinganisha na mtaa wowote wa US hata vijijini.
Hata kama ningekua naishi mogadishu haiondoi ukwel kama kale kazew hakana akili ama kashazeeka mpaka akili imeruka


Mzee atajitoa mpaka kwenye familia yake yule alvyokua hana akili sawa sawa.

Sent using My COVID-19
 
Hela zenyewe za kuachiwa na dingi ake la sivyo angekua bonge la fala,ushawahi kuona raisi anagoma kutoa tax records zake?ndio yeye sasa na inshort US inaongozwa na muhuni kwa sasa.

Kwa pesa alizoachiwa 1980'shata angeziweka tu huko kwny Index Fund angekua tajiri mara 5 ya sasa hivi,jamaa ni kilaza biashara zote hizi alizoanzisha zimefeli from:

Trump University
Trump Airlines
Trump Vodka
Trump Magazine
Trump World
Trump Steaks
Trump’s Vegas steak house
Trump Mortgage
Trump Casinos
Trump charity ventures
Trump game ventures
Trump luxury travel
Trump Ice bottled water
Trump Fire carbonated fruit drinks
Trump America
Trumpnet Corporate telephone service
Trump Tower Tampa
Trump Serta Mattresses
Trump Colognes
Trump Shirts

Inshort jamaa ni looser tu na utajiri wake huko states uko debatable sana, he's not that rich.

Financial Times wanakwambia 'he may have few billion based on the total gross value of the properties Trump companies own, but as for the net values probably far less than a billion.'
Kazee chenga kale aseee.

Sent using My COVID-19
 
Hahah aarh wapi mzee baba,ngosha yuko zake huko kanda ya ziwa anajaza threads tu hapa mkuu.
Hahaha ila anagonga kiswanglish chakushato ama ndio english koz[emoji14][emoji4][emoji16][emoji23][emoji3]

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu kuna raia hapa ukiwaambia hana akili wanatamani watokee kwenye screen yang ya itel wamipasue[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19

Hahah hana akili huyo Trump,cheki hapo chini maoni ya watu mbalimbali aliowahi kufanya nao kazi yeye akiwa ni rais wakieleezea khs uwezo wake wa akili/kufanya maamuzi:

“A fucking moron” — former Secretary of State Rex Tillerson.

“An idiot with the intelligence of a kindergartener—former National Security Advisor HR McMaster

“Like an 11-year old child” — former advisor Steve Bannon

“sick of being a wet nurse to a 71-year-old man.”— Steve Bannon

“like trying to figure out what a child wants” — former White House deputy chief of staff Katie Walsh.

”The White House has become an adult day care center”—Republican Senator Bob Corker

“Dumb as shit” — former economic advisor Gary Cohn

“A dope” — former National Security Advisor HR McMaster

“Less a person than a collection of terrible traits”—Trump’sformer chief economic adviser Gary Cohn

“He’s an idiot” — former advisor Sam Nunn

“an idiot” — former Chief of Staff John Kelly

“an idiot” — Treasury Secretary Steve Mnuchin

“an idiot” — former chief of staff Reince Preibus

“an idiot surrounded by clowns” — Gary Cohn

“someone who sucks up and shits down” — former Fox News chief Roger Aisles

“unhinged” — John Kelly
 
hahaha uko mamtoni ya manzese..third world ambayo wazaz wako ndio walikutana wakatombana na ukatokea wewe , tena hospital mojawapo ya tanzania, leo hii unadharau unaiita nchi uliyozaliwa third world...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah hamna kitu hapo mzee,bwn mdogo wa Bariadi huyo hata huko US hapajui wala nini.
 
Kaduguda, Hawa jamaa WHO ni wapuuzi sana, wanaelekea kuteketeza dunia kwa uoga wa kuiogopa china, wangestuka mapema na kutoa taarifa yote haya yasingetokea. Pia China anastahili adhabu kwa kuruhusu hii kirusi isambae duniani..

Kwasasa USA tunawaombe wache msaada uendelee tutakwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Check Ebola ilivyoshughulikiwa vilivyo Congo. Ilishia tu Uganda. Ila hili li corona lomesambaa dunia nzima na kuuwa watu sio fair kabisa. Nadhani kama Trump anaweza asisitishe masaada bali wafungue mashtaka kwa china na huyu kiongizi wa WHO aondolewe madarakani na achungunzwe ikibainika alifanya uzembe kitanzi kihusike kwake na familia yake yote iwe fundisho. Sijui maoni haya yatamfikia Trump?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunawatu watakuja kukwambia yakwamba eti CNN Hawampendi nandio wameandika haya [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah hana akili huyo Trump,cheki hapo chini maoni ya watu mbalimbali aliowahi kufanya nao kazi yeye akiwa ni rais wakieleezea khs uwezo wake wa akili/kufanya maamuzi:

“A fucking moron” — former Secretary of State Rex Tillerson.

“An idiot with the intelligence of a kindergartener—former National Security Advisor HR McMaster

“Like an 11-year old child” — former advisor Steve Bannon

“sick of being a wet nurse to a 71-year-old man.”— Steve Bannon

“like trying to figure out what a child wants” — former White House deputy chief of staff Katie Walsh.

”The White House has become an adult day care center”—Republican Senator Bob Corker

“Dumb as shit” — former economic advisor Gary Cohn

“A dope” — former National Security Advisor HR McMaster

“Less a person than a collection of terrible traits”—Trump’sformer chief economic adviser Gary Cohn

“He’s an idiot” — former advisor Sam Nunn

“an idiot” — former Chief of Staff John Kelly

“an idiot” — Treasury Secretary Steve Mnuchin

“an idiot” — former chief of staff Reince Preibus

“an idiot surrounded by clowns” — Gary Cohn

“someone who sucks up and shits down” — former Fox News chief Roger Aisles

“unhinged” — John Kelly

Sent using My COVID-19
 
Kunawatu watakuja kukwambia yakwamba eti CNN Hawampendi nandio wameandika haya [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
Hahah CNN hua wanamuelezea ujinga wake wazi wazi hahah,
 
Asitishe tu Kwanza hao WHO hawana msaada wowote.
Usishangilie mkuu,kwa Marekani kusitisha mchango kwa WHO ni pigo kwa dunia nzima hasa nchi changa,ukijua kazi ya hii organization kwa dunia hilo sio swala la kushangilia,na hasa ukichukulia kuwa marekani ndio wanaotoa mchango mkubwa zaidi ya nchi zote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usishangilie mkuu,kwa Marekani kusitisha mchango kwa WHO ni pigo kwa dunia nzima hasa nchi changa,ukijua kazi ya hii organization kwa dunia hilo sio swala la kushangilia,na hasa ukichukulia kuwa marekani ndio wanaotoa mchango mkubwa zaidi ya nchi zote...

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya ni kwamba kama watu wa nchi nyingine duniani hawako salama(Ki-Afya) hata US na wananchi wake hawako Salama.

Ngoja nikuulize Swali mkuu, kwanini unadhani US hua inatoa pesa zake/misaada ya kijeshi kwa nchi zinazopambana na Ugaidi kama vile Kenya,Uganda,Nigeria etc
 
Check Ebola ilivyoshughulikiwa vilivyo Congo. Ilishia tu Uganda. Ila hili li corona lomesambaa dunia nzima na kuuwa watu sio fair kabisa. Nadhani kama Trump anaweza asisitishe masaada bali wafungue mashtaka kwa china na huyu kiongizi wa WHO aondolewe madarakani na achungunzwe ikibainika alifanya uzembe kitanzi kihusike kwake na familia yake yote iwe fundisho. Sijui maoni haya yatamfikia Trump?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni nani alisema ile ni WUHAN/CHINESE ViRUS?
 
Back
Top Bottom