Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.More than your president?
Sent using My COVID-19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.More than your president?
suck it in!No need of insults here! Mr bum
Lol! Nitajie mambo mazuri ambayo kuna kiongozi yoyote kayafanya kwa ajili ya wananchi wake Trump kafanya kiwango cha chini au hajafanya kabisa?Najua unateseka ila huko ulipo hatakama sio kwenu nikwambie tu mnaendeshwa na kiongozi mpuuzi wao wenyewe wanajua sio wewe mvamizi.
Sent using My COVID-19
Nyinyi wenye akili mmemzidi nini Trump na familia yake?Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.
Sent using My COVID-19
delusional. You're just delusional.suck it in!
Mzee Fala sana yule,alishawahi kusema binti yake(Ivanka) ni mrembo sana na kama asingekua ni binti yake angekua ameshamuoa.Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.
Sent using My COVID-19
cute, huh?delusional. You're just delusional.
Obama care ilikua moja ya utahira wahuyu mzee nakujitoa katika mikataba yakimataifa kwasababu zakitaahira niutahira wake wengineLol! Nitajie mambo mazuri ambayo kuna kiongozi yoyote kayafanya kwa ajili ya wananchi wake Trump kafanya kiwango cha chini au hajafanya kabisa?
Hahah huyo Bwn mdogo yuko zake Bariadi huko mkuu,hayo mambo ya kuishi kwa Trump hua ni wishfull thinkings zake tu mkuu.Najua unateseka ila huko ulipo hatakama sio kwenu nikwambie tu mnaendeshwa na kiongozi mpuuzi wao wenyewe wanajua sio wewe mvamizi.
Sent using My COVID-19
wengne wapo tayari kuuwa wapate mali na utajiri wengine wapo tayari kufanya biashara haramu wapte mali na utajiriNyinyi wenye akili mmemzidi nini Trump na familia yake?
Nikuonyeshe utajiri wa mwanae ubaki umekodoa macho?
Nakubaliana na hoja mia kwa mia. Hili gonjwa linatesa dunia kutokana na uzembe wa WHO na tabia ya china ya kuficha ukweli. China haikwepi lawama kwa kutochukua hatua za haraka baada ya daktari whistle blower kutoa taarifa za kirusi cha corona. Janga lote hili lingeepushwa kwa china kutekeleza lockdown punde baada ya daktari ambaye sadly marehemu alipotoa taarifa.Kuondoa msada huo ni janga jingine. Lakini nakubaliana na Marekani kwa 100% kuwa WHO haikutekeleza wajibu wake.
Kwanza ilitakiwa ifanye uchunguzi wa kutosha huko China mapema ilivyowezekana. Na baada ya kugundua hatari iliyokuwepo, kulikuwa na ulazima wa kuiweka kwenye karantini China yote mpaka ugonjwa udhibitiwe.
WHO ilitakiwa kutoa mwongozo wa kuzuia mtu yeyote toka mataifa mengine kwenda na kutoka China. Kama Dunia, ilikuwa rahisi zaidi kuidhibiti cirona ndani ya Taifa moja kuliko ilivyo sasa ambapo mataifa yote yanahangaika, na hakuna wa kumsaidia mwingine.
Na hapa kwetu, tukisrma tusikilize uropokaji wa akina Makonda na wenzake kama hao akina Mwigulu, tutakuja kujuta.
Halafu kuna raia hapa ukiwaambia hana akili wanatamani watokee kwenye screen yang ya itel wamipasue[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee Fala sana yule,alishawahi kusema binti yake(Ivanka) ni mrembo sana na kama asingekua ni binti yake angekua ameshamuoa.
Bac nlijua walau yuko pale kwa madiba asee[emoji16]Hahah huyo Bwn mdogo yuko zake Bariadi huko mkuu,hayo mambo ya kuishi kwa Trump hua ni wishfull thinkings zake tu mkuu.
Huoni kila uzi hua analazimisha aonekane anaishi huko unyamwezini.
Ngoja kwanza nimsalimie Mwadela Mayo.
Yaani ukute unaishi Buza kwenye chumba kimoja chenye ndoo , jiko na vyombo vya kupikia humo humo unamuita US president ni taahiraTrump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.
Sent using My COVID-19
Trump ameshindwa kuwatibu wananchi wake kwa chloroquine wakati yeye ndiye mvumbuzi wa tiba hii?
Tufanye sawa CHINA Analaumika sana na anastahili lawama lakini donald baada yakuona wenzake wanaumia na wanateseka kwa CORONA Alichukua hatua gani zaidi ya kuudogosha ule ugonjwa na kuuona kama wao hautawapata ?!.Nakubaliana na hoja mia kwa mia. Hili gonjwa linatesa dunia kutokana na uzembe wa WHO na tabia ya china ya kuficha ukweli. China haikwepi lawama kwa kutochukua hatua za haraka baada ya daktari whistle blower kutoa taarifa za kirusi cha corona. Janga lote hili lingeepushwa kwa china kutekeleza lockdown punde baada ya daktari ambaye sadly marehemu alipotoa taarifa.
Pole sana kijana ila kwamfano tujaalie naishi kwenye chumba kimoja nakila kitu ndani ila ndio kwamba ukweli kama Turampet hana akili utafutikaYaani ukute unaishi Buza kwenye chumba kimoja chenye ndoo , jiko na vyombo vya kupikia humo humo unamuita US president ni taahira
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa klorokwin turampet kasema inatibu COVID [emoji12][emoji14]delusional. You're just delusional.
Lmao! Stop calling Trump Tahira muite Rais wako hivyo tuone kama uta survive huku we're free to call him any name.Obama care ilikua moja ya utahira wahuyu mzee nakujitoa katika mikataba yakimataifa kwasababu zakitaahira niutahira wake wengine
Kwan watangulizi wake wote walikua hawana akili kuwepo katika mikataba waliopo mbna hawakuwahi kujitoa ila yeye kwaukurupakaji wake ndio anaona ajinyofoe
All is Well Turampet Hajawahi Kujaaliwa Akili Ila Kajaaliwa Pesa Zakushato.
Sent using My COVID-19
What's your shia country doing to get a vaccine or cure?Kunywa klorokwin turampet kasema inatibu COVID [emoji12][emoji14]
Sent using My COVID-19