Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Najua unateseka ila huko ulipo hatakama sio kwenu nikwambie tu mnaendeshwa na kiongozi mpuuzi wao wenyewe wanajua sio wewe mvamizi.

Sent using My COVID-19
Lol! Nitajie mambo mazuri ambayo kuna kiongozi yoyote kayafanya kwa ajili ya wananchi wake Trump kafanya kiwango cha chini au hajafanya kabisa?
 
Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.

Sent using My COVID-19
Nyinyi wenye akili mmemzidi nini Trump na familia yake?
Nikuonyeshe utajiri wa mwanae ubaki umekodoa macho?
 
Trump zaidi ya tahira yule babu hata familia yake cjui anaiongozaje aisee maana.

Sent using My COVID-19
Mzee Fala sana yule,alishawahi kusema binti yake(Ivanka) ni mrembo sana na kama asingekua ni binti yake angekua ameshamuoa.
 
Lol! Nitajie mambo mazuri ambayo kuna kiongozi yoyote kayafanya kwa ajili ya wananchi wake Trump kafanya kiwango cha chini au hajafanya kabisa?
Obama care ilikua moja ya utahira wahuyu mzee nakujitoa katika mikataba yakimataifa kwasababu zakitaahira niutahira wake wengine

Kwan watangulizi wake wote walikua hawana akili kuwepo katika mikataba waliopo mbna hawakuwahi kujitoa ila yeye kwaukurupakaji wake ndio anaona ajinyofoe


All is Well Turampet Hajawahi Kujaaliwa Akili Ila Kajaaliwa Pesa Zakushato.

Sent using My COVID-19
 
Najua unateseka ila huko ulipo hatakama sio kwenu nikwambie tu mnaendeshwa na kiongozi mpuuzi wao wenyewe wanajua sio wewe mvamizi.

Sent using My COVID-19
Hahah huyo Bwn mdogo yuko zake Bariadi huko mkuu,hayo mambo ya kuishi kwa Trump hua ni wishfull thinkings zake tu mkuu.

Huoni kila uzi hua analazimisha aonekane anaishi huko unyamwezini.

Ngoja kwanza nimsalimie Mwadela Mayo.
 
Nyinyi wenye akili mmemzidi nini Trump na familia yake?
Nikuonyeshe utajiri wa mwanae ubaki umekodoa macho?
wengne wapo tayari kuuwa wapate mali na utajiri wengine wapo tayari kufanya biashara haramu wapte mali na utajiri

Hata escobar ana mipesa yakushato ila bado sio kigezo chakumuona ana akili

Au ww pia huna pesa zakumfikia mwana wa trump ila unaweza ukawa una akili kuliko familia nzima ya yule mpuuzi.

Sent using My COVID-19
 
Kuondoa msada huo ni janga jingine. Lakini nakubaliana na Marekani kwa 100% kuwa WHO haikutekeleza wajibu wake.

Kwanza ilitakiwa ifanye uchunguzi wa kutosha huko China mapema ilivyowezekana. Na baada ya kugundua hatari iliyokuwepo, kulikuwa na ulazima wa kuiweka kwenye karantini China yote mpaka ugonjwa udhibitiwe.

WHO ilitakiwa kutoa mwongozo wa kuzuia mtu yeyote toka mataifa mengine kwenda na kutoka China. Kama Dunia, ilikuwa rahisi zaidi kuidhibiti cirona ndani ya Taifa moja kuliko ilivyo sasa ambapo mataifa yote yanahangaika, na hakuna wa kumsaidia mwingine.

Na hapa kwetu, tukisrma tusikilize uropokaji wa akina Makonda na wenzake kama hao akina Mwigulu, tutakuja kujuta.
Nakubaliana na hoja mia kwa mia. Hili gonjwa linatesa dunia kutokana na uzembe wa WHO na tabia ya china ya kuficha ukweli. China haikwepi lawama kwa kutochukua hatua za haraka baada ya daktari whistle blower kutoa taarifa za kirusi cha corona. Janga lote hili lingeepushwa kwa china kutekeleza lockdown punde baada ya daktari ambaye sadly marehemu alipotoa taarifa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee Fala sana yule,alishawahi kusema binti yake(Ivanka) ni mrembo sana na kama asingekua ni binti yake angekua ameshamuoa.
Halafu kuna raia hapa ukiwaambia hana akili wanatamani watokee kwenye screen yang ya itel wamipasue[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
Hahah huyo Bwn mdogo yuko zake Bariadi huko mkuu,hayo mambo ya kuishi kwa Trump hua ni wishfull thinkings zake tu mkuu.

Huoni kila uzi hua analazimisha aonekane anaishi huko unyamwezini.

Ngoja kwanza nimsalimie Mwadela Mayo.
Bac nlijua walau yuko pale kwa madiba asee[emoji16]

Sent using My COVID-19
 
Nakubaliana na hoja mia kwa mia. Hili gonjwa linatesa dunia kutokana na uzembe wa WHO na tabia ya china ya kuficha ukweli. China haikwepi lawama kwa kutochukua hatua za haraka baada ya daktari whistle blower kutoa taarifa za kirusi cha corona. Janga lote hili lingeepushwa kwa china kutekeleza lockdown punde baada ya daktari ambaye sadly marehemu alipotoa taarifa.
Tufanye sawa CHINA Analaumika sana na anastahili lawama lakini donald baada yakuona wenzake wanaumia na wanateseka kwa CORONA Alichukua hatua gani zaidi ya kuudogosha ule ugonjwa na kuuona kama wao hautawapata ?!.

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukute unaishi Buza kwenye chumba kimoja chenye ndoo , jiko na vyombo vya kupikia humo humo unamuita US president ni taahira

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kijana ila kwamfano tujaalie naishi kwenye chumba kimoja nakila kitu ndani ila ndio kwamba ukweli kama Turampet hana akili utafutika

Hata kama ningekua nalala nje ukweli wakwamba kale kazee kataahira utabakia milele na hautakaa ufutike.

Sent using My COVID-19
 
Obama care ilikua moja ya utahira wahuyu mzee nakujitoa katika mikataba yakimataifa kwasababu zakitaahira niutahira wake wengine

Kwan watangulizi wake wote walikua hawana akili kuwepo katika mikataba waliopo mbna hawakuwahi kujitoa ila yeye kwaukurupakaji wake ndio anaona ajinyofoe


All is Well Turampet Hajawahi Kujaaliwa Akili Ila Kajaaliwa Pesa Zakushato.

Sent using My COVID-19
Lmao! Stop calling Trump Tahira muite Rais wako hivyo tuone kama uta survive huku we're free to call him any name.
.
Yani unauliza mambo ambayo Trump anayafanya kisa Obama wa Dems AkA DEMORAT au Bush Jr hawakuyafanya? Can't you notice Trump ni mtu mwingine na marengo yake ni tofauti na waliopita?
.
Black-Americans kwenye utawala hui wa Trump tumekuwa employed kuliko utawala wowote uliopita.
Kauli mbiu ya Trump ni Make America Great Again unahisi anabahatisha?
Yani uchumi wakati wa Obama ulidorora sana hadi China ikafikia hapo ilipo.
.
Trump is doing loveable job to a lot of Americans
 
Back
Top Bottom