Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Hakana akili ila kanawazidi ukoo wenu kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio ulipomaliza kufikiria kwan huko uajemi hakuna hao wa US wanao ongozwa ?!

Sent using My COVID-19
Waajemi ndo haohao waUS bwana mdogo lakin waUS sio haohao Waajemi. Najua utapata tabu sana kuelewa, afu nimekuambia Trump anaongoza watu wenye asili ya karibia nchi zote dunian na wote kwa pamoja wanaitwa wamarekani. Nakushangaa unaposhindwa kung'amua kitu rahisi kama hiki
 
Unaweza kunionyesha Economy growth ya kipindi chote cha miaka nane ya Obama na Economy growth ya kipindi cha miaka minne ya Trump tulinganishe?
.
China iko kwenye hali mbaya sana katika ukuaji wa uchumi wake.
 
Huwezi ukawa na akili nyingi alafu ukawa huna pesa nyingi!
.
Donald Trump senior na Jr wote wana B.S in economics what do you got?
Jr ni businessman mkubwa sana wewe na ukoo mna nini?
Senior ni Tajiri mkubwa sana nyie mna nini?
.
Nakuuliza haya maswali kwa sababu kuu moja umesema ni tahira na hana akili.
Borron William Trump unaweza ukawa unamzidi nini labda? I wonder
 
[emoji23][emoji23][emoji23]IRAN Pamoja Nakunyimwa Misaada Namikopo Kama Monetary Fund Bado Inapambana Kiume Wakati wao US Ndio Kwanza Wanachukua Maamuzi Yakujitoa WHO [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
[emoji23][emoji23][emoji23]IRAN Pamoja Nakunyimwa Misaada Namikopo Kama Monetary Fund Bado Inapambana Kiume Wakati wao US Ndio Kwanza Wanachukua Maamuzi Yakujitoa WHO [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
Hata Zimbabwe wanapambana kiume pia, US wameinyima WHO mpunga hii inakula kwa shangazi zako kule uyui afu wewe unakenua meno tu, waajemi hawana msaada wowote na hii dunia, ni washenzi sana na vipedo vyao, dunia yote amewatenga na huo ndo mwisho wa maAyatollah na Mashia.
 
Chezea Corona
Watakata mirija yote kwa kuokoa hela zao
Nasema hiviii dunia haitakuwa kama tulivyoizoea
Kila mtu apambane na hali yake
Ni mda sasa wa kuanza kubuni vya kwetu la sivyo hata visu wengine watakosa na watarudi Stone Age kutumia mawe


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Unaweza kunionyesha Economy growth ya kipindi chote cha miaka nane ya Obama na Economy growth ya kipindi cha miaka minne ya Trump tulinganishe?
.
China iko kwenye hali mbaya sana katika ukuaji wa uchumi wake.
Ishu nikwamba UCHINA Hawaja Anza Kukua Kiuchumi Jana Naleo Halaf US Wakiwa Nahali Mbaya Kiuchumi Ndio Furaha Yangu Maana Wengi Tunajifunza Namna Yakutembea Kwamiguu Yetu

Natamani ajitoe na UNHCR FAO Namashirika Yote Ili Tuone Kama Tutakufa Wote

Sent using My COVID-19
 
Wakijaisida wenyewe unatosha nawewe na hao wasiokua washenzi ndio kama hao washakata msaada nawewe ujiongeze kupambana mwenyewe maana huna tena msaada pole sana

IRAN Anawaonesha Namna Mwanaume Na Mwanaadamu Huru Anavyotakiwa Kua Nakuishi.

Sent using My COVID-19
 
Sio Buza tu hata kama anaishi Masaki huwezi kulinganisha na mtaa wowote wa US hata vijijini.
Mkuu kuna maeneo ya USA ni kawaida kabisa ya chini kuliko hata Tanzania, labda kidogo ongelea Europe hapo sawa, kuna siku nilishangaa kuona maeneo hayo afu wao mwra nyingi huonyesha ghorofa zao ndefu maeneo ya ajabu kuonyesha kwake nu mara chache au hawaonyeshi .
 
Asichokijua huyo unayebishana naye ni kuwa, wewe ni mwehu.

Kama ungekuwa na akili usingeweza kufikiri achilia mbali kumuita Trump ni Tahahira.
 
Unaweza kuyataja hayo maeneo na picha zake tafadhali kisha tulinganishe na mitaa ya Tanzania?

Waiting....
 
Marafiki zangu wa kwenye group la chuo na Facebook wanatamani Trump asitishe kabisa misaada kwa mataifa mengine yote na ijitoe UN alafu wanaandika "They'll hate us but America first"
.
Wewe unazungumza hali mbaya ya kiuchumi really? Huijui America wewe nakwambia huijui people hawashindi mitandaoni
 
Madhara wala hayaepukiki na yapo wazi kabisa inajulikana ila kwakua kashaamua kujitoa wacha ajitoe hakuna namna ss ...

Sent using My COVID-19
Appreciate mchango wa America kwa dunia.
 
Hu
Unaweza kuyataja hayo maeneo na picha zake tafadhali kisha tulinganishe na mitaa ya Tanzania?

Waiting....
Huo ushindani au huo mda natoa wap,nilishakwambia kuwa mara zote hutoa picha za maghorofa au madhari nzuri hawawezi kutoa picha mbovu za kwao huko, ni vigumu hata uki google sidhani kama utaziona, maana wanalinda Heshima ya nnchi yao.

Sasa usipoamini basi,kikubwa nimeshakwambia.
 
Boss niko Dakota county, Minnesota. nasoma chuo kimoja hamna hata population kubwa eneo hili.
.
Embu nitajie basi hiyo mitaa hata kama ni nje ya hili jimbo (japo silijui sehemu kubwa) naweza kuuliza kwa wenyeji nikapata picha nikaweka hapa
 
Turampet ndio Nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unashindwa kumuona raisi wako taahira anaewaambia msali kutokomeza corona unavuka maji na kumuona us president ndio taahira.


Una kichaa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute huna mbele Wala nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…