Rais Trump asitisha visa za wanafunzi wa kigeni walioandamana kuipinga Israeli baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Oktoba 7,2022

Rais Trump asitisha visa za wanafunzi wa kigeni walioandamana kuipinga Israeli baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Oktoba 7,2022

Trump haijui dunia ilivyo ndiomana anatoa matamko yasioeleweka ni wakumwangalia tu
 
Huwezi kwenye nchi za watu na kuanza kuleta vurugu kwa kisingizio cha demokrasia🤔
Hv huyu anadhani watu bila kuishi marekani damu mwilini haixunguki watubwatarudi ila na wao wasihatibu utamaduni wa kila aina za watu waliojiwekea mbona hyo poa na wao watatolewa tu nchi za watu
 
Hawa wavaa vipedo misuli na makobazi unaona nchi zao zinavyofanya? Halafu wanaandamana nchi za watu🤔
.....
#TUNISIA: TUNISIA EXTENDS STATE OF EMERGENCY UNTIL THE END OF 2025
Tunisian President Kais Saied has announced the extension of the state of emergency across the country until the end of 2025.
This decision grants the authorities exceptional powers, including carrying out home arrests and banning public gatherings, to maintain security and order.
FB_IMG_1738334991476.jpg
 
Kwa hiyo analindwa bure kwa akili zako za kuvukia barabara ...Ile dili ya petradollar wakati wanaingia ulikuwa kijijini kwenu unachunga ?
Iwe bure iwe kwa pesa issue ni kwamba je analindwa na wazungu au halindwi? Sidhan kama una akili timamu ww yan ww mwafrika mmoja mla chakula cha mifugo ya marekani unaona wazungu hawana umuhimu kwa waarabu kwamba waarabu umewazd akili kuligundua hlo ww si ni kichaa kbs ww
 
Iwe bure iwe kwa pesa issue ni kwamba je analindwa na wazungu au halindwi? Sidhan kama una akili timamu ww yan ww mwafrika mmoja mla chakula cha mifugo ya marekani unaona wazungu hawana umuhimu kwa waarabu kwamba waarabu umewazd akili kuligundua hlo ww si ni kichaa kbs ww
Sasa wewe kenge unaongea ujinga Gani? Hamna uchajua kaa kwa kutulia huko kijijini kwenu.

Ugunduzi wa waarabu si mpaka ukasome ,waarabu wanalinda tamaduni zao miaka na miaka ...Hawapeleki mjeshi nchi za wazungu kwa vile hawana shida nao .....Wazungu wapi hao wamegundua Kila kitu au tatizo elimu uliyosoma inakufanya kuwa mjinga...
Kupewa elimu ya mzungu ili uwe kibaraka basi unaamini Kila kinatoka kwa wazungu 🤣🤣 mpumbavu mkubwa !

Hao wajinga wazungu ndiyo Chanzo Cha yote ,wanamshobokea mwarabu kwa vile ana pesa ...Sio wewe kichaa ambaye hata usafi wa miwili ni shida.
 
Iwe bure iwe kwa pesa issue ni kwamba je analindwa na wazungu au halindwi? Sidhan kama una akili timamu ww yan ww mwafrika mmoja mla chakula cha mifugo ya marekani unaona wazungu hawana umuhimu kwa waarabu kwamba waarabu umewazd akili kuligundua hlo ww si ni kichaa kbs ww
1000017581.png

Nchi bora kabisa watu wake hawana shobo kama kenge wew unaacha kijijini kwenu unakimbilia mikoa ya watu🤣🤣🤣🤣...Nchi za waarabu nyingine zilikuwa na machafuko baada ya upumbavu wa demokrasia ya wazungu.
 
Rais wa Marekani, Donald Trump, alisaini agizo la kupambana na chuki dhidi ya Wayahudi na kuahidi kuwafukuza wanafunzi wa vyuo vikuu wasio raia pamoja na wengine waliokuwa sehemu ya maandamano ya kuunga mkono Palestina dhidi ya Israel.

Agizo hilo kutoka kwa Trump lilisema kuwa Wizara ya Sheria itachukua hatua za haraka ili kuzuia vitisho vya kigaidi, uchomaji moto, uharibifu wa mali na ukatili dhidi ya Wayahudi walioko nchini Marekani, huku ikitumia rasilimali zote za serikali kuu kupambana na kile kilichoitwa "mlipuko wa chuki dhidi ya Wayahudi katika vyuo vikuu na mitaani" tangu shambulio la Oktoba 7, 2023, lililofanywa na kundi la Hamas dhidi ya Israel.

"Kwa wageni waliounga mkono maandamano ya jihad, tunawatahadharisha: ifikapo 2025, tutawapata na tutawafukuza," Trump alisema katika karabrasha hilo.

"Pia nitafuta haraka visa za wanafunzi wote wanaounga mkono Hamas katika vyuo vikuu, ambavyo vimemezwa na msimamo mkali wa kisiasa kuliko wakati wowote," aliongeza, akirejelea ahadi aliyotoa wakati wa kampeni ya 2024.

Makundi ya haki za binadamu na wataalamu wa sheria wamesema hatua hiyo itakiuka haki ya uhuru wa kujieleza kikatiba na huenda ikakabiliwa na changamoto za kisheria.

My take: Hao wavaa vipedo,misuli na makobazi warudi kwenye nchi zao wakaandamane kupinga udikteta na utawala wa kiimla ambazo nyingi zinatawaliwa kwa mfumo huo🤔

FaizaFixy Ritz kimsboy

===================================================================

US President Donald Trump signed an executive order on Wednesday to combat antisemitism and pledged to deport non-citizen college students and others who took part in pro-Palestinian protests against Israel.

A fact sheet on the order promises “immediate action” by the Justice Department to prosecute “terroristic threats, arson, vandalism and violence against American Jews” and marshal all federal resources to combat what it called “the explosion of antisemitism on our campuses and streets” since the October 7, 2023, attack on Israel by Palestinian terror group Hamas.

“To all the resident aliens who joined in the pro-jihadist protests, we put you on notice: come 2025, we will find you, and we will deport you,” Trump said in the fact sheet.

“I will also quickly cancel the student visas of all Hamas sympathizers on college campuses, which have been infested with radicalism like never before,” the president said, echoing a 2024 campaign promise.

Rights groups and legal scholars said the measure would violate constitutional free speech rights and would likely draw legal challenges.
Acha kujidanganya kwa fikira finyu kuwa waliopinga mauwaji ya kigaidi ya wapalestina ktk vyuo vikuu vya marekani ni waislamu tu.
 
View attachment 3220651
Nchi bora kabisa watu wake hawana shobo kama kenge wew unaacha kijijini kwenu unakimbilia mikoa ya watu🤣🤣🤣🤣...Nchi za waarabu nyingine zilikuwa na machafuko baada ya upumbavu wa demokrasia ya wazungu.
Kumbe hao waarabu wanaokimbiliaga ulaya na marekani huko kwao kikiwaka huwa knawapeleka nn why not wasiende kwny nchi za waarabu wenzao? Mtu anayekuletea jambo na ukalipokea maana yake anakutawala sa hao waarabu walipopelekewa demokrasia toka marekani waliipokea yann sasa kama ina madhara kwao
 
Sasa wewe kenge unaongea ujinga Gani? Hamna uchajua kaa kwa kutulia huko kijijini kwenu.

Ugunduzi wa waarabu si mpaka ukasome ,waarabu wanalinda tamaduni zao miaka na miaka ...Hawapeleki mjeshi nchi za wazungu kwa vile hawana shida nao .....Wazungu wapi hao wamegundua Kila kitu au tatizo elimu uliyosoma inakufanya kuwa mjinga...
Kupewa elimu ya mzungu ili uwe kibaraka basi unaamini Kila kinatoka kwa wazungu 🤣🤣 mpumbavu mkubwa !

Hao wajinga wazungu ndiyo Chanzo Cha yote ,wanamshobokea mwarabu kwa vile ana pesa ...Sio wewe kichaa ambaye hata usafi wa miwili ni shida.
Naona unatukana tukana tu na kujichekesha chekesha kama choko la kiarabu sjui ndo madrasa mnafundshwa ivyo unatumia nguvu kubwa sn kujtetea na kutetea hao waarabu halafu ni pumba tu nilipoona emoje za kicheko hata sjasoma umeandka nn
 
Kumbe hao waarabu wanaokimbiliaga ulaya na marekani huko kwao kikiwaka huwa knawapeleka nn why not wasiende kwny nchi za waarabu wenzao? Mtu anayekuletea jambo na ukalipokea maana yake anakutawala sa hao waarabu walipopelekewa demokrasia toka marekani waliipokea yann sasa kama ina madhara kwao
Waarabu wapi? Huku arabuni hakuna wazungu🤣🤣🤣Mbona unakuwa mjinga wewe.
 
Naona unatukana tukana tu na kujichekesha chekesha kama choko la kiarabu sjui ndo madrasa mnafundshwa ivyo unatumia nguvu kubwa sn kujtetea na kutetea hao waarabu halafu ni pumba tu nilipoona emoje za kicheko hata sjasoma umeandka nn
Nakuambia wewe mjinga maana huelewi ....Mtu unatokea kijijini nn?
 
kwani saudia inalindwa bure? Ile ni business na Wamarekani ndiyo wanafaidi hasa mapesa ya Wasaudia, kwa hivyo kila mmoja anamuhitaji mwenzake
 
Back
Top Bottom