Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Una picha ya trump akilia ?
Kwani alipokaswa na risasi ya kichwa ikapiga sikio si walilala kuwa ni IRAN au umesaau
Je unakumbuka siku Tramp anasubiliwa na ulimwengu wa MEDIA baada ya Kambi zake kuchapwa na IRAN

ile siku Tramp ukimuona Usoni unajua kabisa uyu Mzee kavurugwa kwanza Walisogeza mbele muda Wa TRAMP kuongea na MEDIA

lkn ata alivokuja ndio ivo Uso wake nikama alikuwa analia umejaa presha!!! na kudai kila kitu kipo sawa lkn Uso wake Wenyewe unatupa Picha kuwa Mambo ayapo Sawa.

Inadaiwa Wanajesh 280 Walifekwa pale Al Assad kwenye Kambi ya Jesh la Marekani!!

na Ayatollah akimwambia Tramp icho ni kikofi tu Sasa Jaribu tukuoneshe Wa Iran kina nani!!!!! Tramp kala kono adi Leo!!!!
 
Anaendesha nchi ki ghetto sana huyo mzee
kwa mzozo wa huko kwa waarabu na huku kwa waafrica katu usitumie diplomasi kutatua. inapaswa kutumia sheria ya TAMBA UONE tuu. Bila kutumia TAMB UONE MK23 hawataacha kupigana vita Congo Dr. diplomasia siku zote zinazaa ugaidi na kuwatunza magaidi kuendelea kuuwa watu waso na hatia. si unaona huko ulaya kila kukicha raia wanauliwa na waarabu kwa ugaidi. sasa wamekuja na mtindo wa kuunda(kusababisha ajali ya kifo) na gari watu mitaani . Lakini kama kungekuwa na raisi kama huyu wa marekani huko ulaya mwarabu asingekuwa na jeuli ya kuunda watu barabarani kama ilivyotokea leo hapo Munich. Hamas au mwarabu siku zote humchokoza muisrael kivita . Israel ikianza kumpiga kisawasawa tuu utaona ulaya na vyombo vyote vya habari wanasema au kuripoti ya kuwa wapalestina wameuwawa watoto na wanawake , watoto na wanawake, wazee, watoto na wanawake unaona jinsi waarabu wanavyozusha propaganda ya kuomba dunia isitishe vita. hata kule lebanon Hisbollah aliisha anza kulalalmika eti wanawake na watoto wamekufa sana! sera ya sasa ni moja tuu ukichokoza vita subilia kipigo au TAMBA UONE
 
Hamas hawana cha kupoteza hao jamaa sloga Yao inasema "ukitupiga unatuonea na ukituacha unatuogopa kufa kwetu ni sherehe" watu kaa Hawa ku deal nao unahitaji kuwa na roho ya Hitler au Idd Amini.
Japo umeongea kweli tatizo kuu Wanasababu ya kufia ktk Ardhi yao wale sio kama Wanajesh wa Congo!!!
 
Ayatollah alileta ujuaji maandazi Biden akasogeza jirani yale madude, B-52, akalialia na kuufyata chap.

Saivi Ayatollah kawa mpole kama vile siyo yeye mfadhili na mlezi wa magaidi, anajua Mwamba huyu hacheki na kima.

Kabla hajaingia ofisini Trump alitoa tamko likamwingia Ayatollah na genge lake vizuri mnoo, hafurukuti tena...


View: https://youtube.com/shorts/5Fs4h0yNux8?si=X2___Z4ZVLn08mmh

Sio kweli Iran inaitwa niguse Unuke Iran anaendelea kuipiga Telaviv kutokea YEMEN kila mtu anajua kuwa YEMEN ni IRAN

. Ata juzi apa Wameiyonya Israel kuwa ukipiga GAZA sisi tunapiga Telaviv, Iran ndio msimamizi wa SHOW zote za Hamas hezbollah YEMEN uko Iraq.
 
Upo mkuu? Nakuona kwa mbaalii unavyong'aang'aa macho.

Kweemaaa?


View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=64Ti01B4CdzmqcbA

badei

Sasa awa tunaaminije kuwa ni Waislam au kuvaa kanzu ndio tayali muislam kwani iyo kanzu awawezi kuvaa watu Wengine !!!

Kaka awa kweli ni Waarabu au Waislam nitajie nchi moja tu Yakislamu imeruusu kisheria USHOGA!!! Ukishindwa basi ao ni Wauni tu Mitaani wameona Wapige picha Ujinga wao!!

Mfano huu Ktk AFRICA AFRICA kusini Zimbabwe Cristian Country izo mbili zimeruusu USHOGA sasa ww nitafutie moja tu ya kislamu au uwelekeo wake Wakislam ??????? Sijaenda Ulaya nimeanzia AFRICA lkn wewe Ruksa tafuta popote Duniani????
 
Hata Magaidi wa Kihouthi nao dawa yao inatokota.
Wapi Netanyahu kachoka kulala kwenye mashimo adi kapata ugonjwa wa Tezi dume!!! YEMEN kawaambia mkisubutu kushambulia GAZA Nasisi Tunashambulia Telaviv

Netanyahu kawaza na kuwazua vile awana Air defence system ya kuzuiya Vitasa!! kutokea Yemen!!!!! Kapiga simu moja border Jamani achieni malori yapite Telaviv itakufa kabisa ikiwa Watu Waanze tena kukimbizane kwenye Mashimo ,
 
Mbona mziki ukianza wanavaa kiraia?Hayo mauniform yao wanayavaaga kwenye parade tuu?
Ndio ivo ulitaka Wavae kijesh wkt wao sio Nchi Ngoja iwe Nchi utawaona kwenye Uniform za Kijesh kwasasa Wanapigania kuudwa Nchi yao!!

Na wale wanaojifunika lazima Wajifunike pengine kutoka ukouko Marekani au UK au Misri au Iran Russian So Wanaficha Utambulisho wao.

Eti Israel inawaita adui zake magaid!!!! Sisi tunawaita wapigania UHURU na wapigania UHURU nao wanawaita IDF magaid nasisi tukichanganya maneno na matendo yao IDF tunaona ni kweli IDF ni nagaid wanauwa vichanga watoto wajawazito wamama mahospitali,,
 
Sasa awa tunaaminije kuwa ni Waislam au kuvaa kanzu ndio tayali muislam kwani iyo kanzu awawezi kuvaa watu Wengine !!!

Kaka awa kweli ni Waarabu au Waislam nitajie nchi moja tu Yakislamu imeruusu kisheria USHOGA!!! Ukishindwa basi ao ni Wauni tu Mitaani wameona Wapige picha Ujinga wao!!

Mfano huu Ktk AFRICA AFRICA kusini Zimbabwe Cristian Country izo mbili zimeruusu USHOGA sasa ww nitafutie moja tu ya kislamu au uwelekeo wake Wakislam ??????? Sijaenda Ulaya nimeanzia AFRICA lkn wewe Ruksa tafuta popote Duniani????
Inauma eeeh?

NETANYAHU AKBAR
 
Wapi Netanyahu kachoka kulala kwenye mashimo adi kapata ugonjwa wa Tezi dume!!! YEMEN kawaambia mkisubutu kushambulia GAZA Nasisi Tunashambulia Telaviv

Netanyahu kawaza na kuwazua vile awana Air defence system ya kuzuiya Vitasa!! kutokea Yemen!!!!! Kapiga simu moja border Jamani achieni malori yapite Telaviv itakufa kabisa ikiwa Watu Waanze tena kukimbizane kwenye Mashimo ,
Ayatolah anaenda kushughulikiwa na Trump baada ya sponsor kupigwa houthi nao watashughulikiwa bila huruma.
 
Ayatolah anaenda kushughulikiwa na Trump baada ya sponsor kupigwa houthi nao watashughulikiwa bila huruma.
Mlisema wasipowaachia mateka wote leo turamp atshusha kipigo kiko wapi hiko kipigo
 
Wakiisha toa mateka wote IDF inarudi Gaza kumalizana na Hamas.
Turampo na netanyahu hawakusema hivo walitoa ultimatum mpaka jmosi wawatoe wafungwa wote ndo nauliza mbona hawajafanya hvo na hakuna kilichotokea
 
Turampo na netanyahu hawakusema hivo walitoa ultimatum mpaka jmosi wawatoe wafungwa wote ndo nauliza mbona hawajafanya hvo na hakuna kilichotokea
Labda utakuwa hujaelewa kitu, Hamas walitaka kusitisha kabisa kutoa mateka lakini wameufyata na kwenye Vita hii Hamas atashindwa tu.
 
Labda utakuwa hujaelewa kitu, Hamas walitaka kusitisha kabisa kutoa mateka lakini wameufyata na kwenye Vita hii Hamas atashindwa tu.
Hamas vita vikianza ghafla wanakuwa wanawake na watoto na wanalakamika kuwa wanauwawa vita vikisitishwa wanajitokeza wakiwa na uniform zao za msaada toka Iran.
 
Hamas vita vikianza ghafla wanakuwa wanawake na watoto na wanalakamika kuwa wanauwawa vita vikisitishwa wanajitokeza wakiwa na uniform zao za msaada toka Iran.
Vita ikianza wanatupa vilemba wanakuwa raia 😆😆
 
Sasa awa tunaaminije kuwa ni Waislam au kuvaa kanzu ndio tayali muislam kwani iyo kanzu awawezi kuvaa watu Wengine !!!

Kaka awa kweli ni Waarabu au Waislam nitajie nchi moja tu Yakislamu imeruusu kisheria USHOGA!!! Ukishindwa basi ao ni Wauni tu Mitaani wameona Wapige picha Ujinga wao!!

Mfano huu Ktk AFRICA AFRICA kusini Zimbabwe Cristian Country izo mbili zimeruusu USHOGA sasa ww nitafutie moja tu ya kislamu au uwelekeo wake Wakislam ??????? Sijaenda Ulaya nimeanzia AFRICA lkn wewe Ruksa tafuta popote Duniani????
Mashoga wapo kila sehemu
 
Back
Top Bottom