Kwani alipokaswa na risasi ya kichwa ikapiga sikio si walilala kuwa ni IRAN au umesaauUna picha ya trump akilia ?
Je unakumbuka siku Tramp anasubiliwa na ulimwengu wa MEDIA baada ya Kambi zake kuchapwa na IRAN
ile siku Tramp ukimuona Usoni unajua kabisa uyu Mzee kavurugwa kwanza Walisogeza mbele muda Wa TRAMP kuongea na MEDIA
lkn ata alivokuja ndio ivo Uso wake nikama alikuwa analia umejaa presha!!! na kudai kila kitu kipo sawa lkn Uso wake Wenyewe unatupa Picha kuwa Mambo ayapo Sawa.
Inadaiwa Wanajesh 280 Walifekwa pale Al Assad kwenye Kambi ya Jesh la Marekani!!
na Ayatollah akimwambia Tramp icho ni kikofi tu Sasa Jaribu tukuoneshe Wa Iran kina nani!!!!! Tramp kala kono adi Leo!!!!