Tena yeye wanashinda kanisani TZ wamebuni nini cha kujivunia ambacho waislam awana!!! Mlokole kajichokea uyu!!!Iran Sio Waislam? Iran Hakuna Teknolojia?Au Umekariri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena yeye wanashinda kanisani TZ wamebuni nini cha kujivunia ambacho waislam awana!!! Mlokole kajichokea uyu!!!Iran Sio Waislam? Iran Hakuna Teknolojia?Au Umekariri?
Chuma wapi PUTO tu uyo kizeee kikiona Mbunye akili yote inaama!! pale amna mtu kajaa upepo tu!! IRAN si alikula kona uyu Babu au sio uyu!!!!Chuma kimeongea
Wata pigwa mabomu muda wa wiki kutoka USA🤣🤣🤣Hamas watashuhudia moto toka mbinguni ambao hawajawahi hata kufikiria pigo takatifu toka USA, yaani Gaza will be Hell on Earth..!!
Somalia walisema kama hivyo, juzi Trump katwanga kama ngoma huko..
View: https://youtube.com/watch?v=oQd7a1d9Gcw&si=iygaZRXNjh_TVr_e
Kwa mtizamo wetu tunaweza kuona ni impossible kabisa. Lakini hebu tumpe muda...... si amesema atafanya? Cha msingi hapo ni asituombe au kutulazimisha tumpe msaada au Ushirikiano e.g. kutoa maeneo ya ardhi mahali pa kuwaweka hao wapalestina wake n.k. Baada ya hapo itajulikana kama ni impossible au sio.Kuhamisha wa palastine ni ngumu sana kwasababu kuna shirikisha nchi nyingi hapo mashariki ya kati, hiyo ni impossible kabisa
Majibu yangu pendwa😁😁😁😁😁Ukiwa umeshiba ugali na mrenda ngumu sana kumuelewa Trump angalia adha wanaopata Palestina.
Aisée🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli kwa sababu upo kwa Shem hapo umekalisha mapumbu yako yanayoning'inia kama nyama za kwenye bucha, unamdhihaki mtu Yuko white house Washington DC UNITED STATES OF AMERICA..ambaye mambo anayoyachukulia hatua kwa Sasa wewe huwez kuona impact sababu unamtegemea Shem akupe ugali ukajaze choo. Mamaeh. Ignore list ukafie mbali. [emoji706]
Wavaa kobazi huwa akili zenu mnazijua wenyewe. Ndiyo maana mnaishi duniani lakini hamtaki elimu dunia ila mnataka elimu ahera na mabikra 72 ahadi ya mudi 😂😂😂😂🤣 na ilo ndo wasilolijua makafiri yaani mtu wa jihadi umtishe na kifo kwelii ?
Ubabe,ubabe!Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa.
Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.
Trump ameonesha wasiwasi wake kuwa mateka wengi wameua ndio maana zoezi la kuachiliwa linasuasa.
“Ikifika Jumamosi saa sita mchana hawajachilia Hamas watajua na nyinyi mtajua”
Wachambuzi wa masuala ya vita wanatabiri kuwa hii kauli ya trump ni hatua ya utekelezaji wa kuwaondoa wapalestina wote waondoke.
Pia kama hamas watakubali kuwaachia mateka wote basi watakuwa ni waoga na watakuwa wamekubali kucheza mziki wa trump na kama watakuwa wabishi basi tutegemee Gaza kuangamia na kuelekea kuzimu
View attachment 3233087
Masikini ya Mungu hata kuandika tu kiswahili hujui, eti unatoa ushauri wa kivita. Mudi aliwatapeli sana kudeal na elimu ya ahera kuwa mtapewa mabikra 72 so elimu dunia haina maana. Angalia ulichoandika sasaIyo Tramp alipigwa na Iran na aka ambiwa icho kibao tu sasa Jaribu tena adi Leo uiyo Tramp ataki kusikia Iran
sasa kwa ulokole wake anazani Iran atanwachia afanye kitu uku Iran wanatoa Macho tu awe Tayali kupokea Mageneza ya Wanajesh wake popote mashiliki ya kati
Baada kupigana kwa mgongo wa Israel sasa kaona aingie mwenyewe mchana kweupe awe mpole tu Wanaume wapo apo mashariki ya kati. Vita ni vita asivimbe akiona MOTO umedhidi!! GAZA ITABAKI YA watu Wa GAZA UYO TRAMP SIO mala kwanza kutoo mikwara mbuzi.
Assume wewe ndiye mwakilishi wa hao wavaa kobazi wa mudi, hata wenzako wanaona aibuKwani uwongo Tramp akukimbia?? Mzozo tuanzie apo ?? Msikitin sijui umefata nn
Mkuu huyu ni rais wa kuigwa anaongea na anafanya.Chuma wapi PUTO tu uyo kizeee kikiona Mbunye akili yote inaama!! pale amna mtu kajaa upepo tu!! IRAN si alikula kona uyu Babu au sio uyu!!!!
Mmh! Na ww bhana; Yeye anazungumzia HAMAS huko Gaza, sasa huko Iran unakosema ww; kwani kuna HAMAS??Mbona apigi IRAN tumuone kweli yeye ndio kiongozi wa Ile USA ya zama zileee!!
Jumapili Mziki unaanza tena mpaka Hamas waishe.Atukatai lkn uwezi kuwafananisha Mpalestine yani Hamas na mwanajesh mwengine jamaaa wapo kama Taleban Wakijua haki ni kupigana ujue iyo vita itachukue ata miaka 50+
Mkuu; unataka umpangie Trump aendeshe nchi yake kwa namna unayoona ww inafaa?Pia ana ubaguzi frani hivi, anawafukuza wahamiaji wanaoomba hifadhi kama wakimbizi huko US, lakini anawakaribisha Wazungu wa South Africa kuja kuishi US kama wakimbizi walionyang'anywa aridha yao huko SA 😎
“…we have given Hamas ‘till Saturday noon to release the Israel captives, i know they will act tough guys, we will see how tough they are…” Trump! Hili ‘biti’ limekaa kibabe sanaaWanaume wa Yemen wamesema hii mbungi itaanza upya trump(fool) angaalie
#Yemen
Key points from the speech of Ansar Allah leader Sayyed Abdul-Malik Badreddine Al-Houthi:
- Some people imagine that if America wants something, it simply says "Be," and it is, and that failure is impossible for the Americans.
- Will Trump buy the Gaza Strip from its people, who have stood firm and held onto their rights for 15 months amid an unparalleled genocide and aggression?
- Sayyed Abdul-Malik Al-Houthi addressing Trump: Do you, foolish and ignorant, think that after all their unmatched resilience and immense sacrifice, the honorable people of Gaza will sell you their homeland?!
- From whom will you buy Gaza, you ignorant and reckless fool?! You treat everything as a business transaction and assume everyone is willing to bargain with you!
- The conditions are ripe for Arabs, Muslims, and Palestinians to unite in their stance against America's attempts to displace the Palestinian people from Gaza, the West Bank, or any part of Palestine.
- The "Israeli" enemy must understand that no matter how much it relies on the Americans, it will not achieve its goals if it escalates.
- The "Israeli" enemy is stalling on implementing the second phase of the agreement, and if it chooses escalation, it will be met with Palestinian steadfastness.
- If the enemy escalates, the free people of the Ummah will stand with the Palestinian people, and we will continue our stance.
- Our fingers are on the trigger, and we are ready to escalate immediately against the "Israeli" enemy if it resumes aggression on Gaza.
- If the enemy resumes escalation, it will return to the conditions and dangers of war in security, military, and economic terms, regardless of American support.
- It is not in Netanyahu's interest to launch a new aggression, thinking that things will go smoothly.
#Military_Medi “we have given them till Saturday, i know they will act
Mzee muhuni huyuAnaendesha nchi ki ghetto sana huyo mzee