Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa.

Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.
Trump ameonesha wasiwasi wake kuwa mateka wengi wameua ndio maana zoezi la kuachiliwa linasuasa.
“Ikifika Jumamosi saa sita mchana hawajachilia Hamas watajua na nyinyi mtajua”

Wachambuzi wa masuala ya vita wanatabiri kuwa hii kauli ya trump ni hatua ya utekelezaji wa kuwaondoa wapalestina wote waondoke.

Pia kama hamas watakubali kuwaachia mateka wote basi watakuwa ni waoga na watakuwa wamekubali kucheza mziki wa trump na kama watakuwa wabishi basi tutegemee Gaza kuangamia na kuelekea kuzimu



View attachment 3233087
Hamas wameua wateka wanaleta visingizio vya kinafiki inatakiwa Gaza ianzwe kupigwa upya
 
Dunia inaenda kushuhudia kichapo Cha mbwa Koko pale Gaza rasmi
Iyo Tramp alipigwa na Iran na aka ambiwa icho kibao tu sasa Jaribu tena adi Leo uiyo Tramp ataki kusikia Iran

sasa kwa ulokole wake anazani Iran atanwachia afanye kitu uku Iran wanatoa Macho tu awe Tayali kupokea Mageneza ya Wanajesh wake popote mashiliki ya kati

Baada kupigana kwa mgongo wa Israel sasa kaona aingie mwenyewe mchana kweupe awe mpole tu Wanaume wapo apo mashariki ya kati. Vita ni vita asivimbe akiona MOTO umedhidi!! GAZA ITABAKI YA watu Wa GAZA UYO TRAMP SIO mala kwanza kutoo mikwara mbuzi.
 
Shoga anaminya Button na kukuadhirisha ujue ni kwamba Allah anapigwa na Mashoga aliowajaalia Technologia.

Wewe unayefanyia ushoga chumbani hata simu ya mkononi huwezi kutengeneza.
Shoga Ni Shoga Hata Avae Dhahabu Na Lulu Endelea Kupigania Haki Zenu.
 
Huyu mzee nmeanza kumpuuza sasa aisee,ataiangamiza USA
 
Allah kamjaalia Shoga kuwa na nguvu ya kuwapiga Waisilamu na kutengeneza Teknolojia ninyi mnaoshinda misikitini ala kawatelekeza sasa mmekuwa na hasira za kijinga.
Iran Sio Waislam? Iran Hakuna Teknolojia?Au Umekariri?
 
Umpende au umchukie huyu mzee, ila the man is a performer. Ni action tu

Hakuna kupoteza muda kudiscuss na terrorists
 
Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa.

Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.
Trump ameonesha wasiwasi wake kuwa mateka wengi wameua ndio maana zoezi la kuachiliwa linasuasa.
“Ikifika Jumamosi saa sita mchana hawajachilia Hamas watajua na nyinyi mtajua”

Wachambuzi wa masuala ya vita wanatabiri kuwa hii kauli ya trump ni hatua ya utekelezaji wa kuwaondoa wapalestina wote waondoke.

Pia kama hamas watakubali kuwaachia mateka wote basi watakuwa ni waoga na watakuwa wamekubali kucheza mziki wa trump na kama watakuwa wabishi basi tutegemee Gaza kuangamia na kuelekea kuzimu



View attachment 3233087
Huyu shetani mkubwa
 
IMG_6635.jpeg
 
Back
Top Bottom