Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Hamna kitu kibaya kama waislam siku wakiamua kuungana na kuwa kitu kimoja hakuna us wala israel inaweza kuugusa huo moto
 
Usichojua Ni Kwamba Kumtishia Gaidi Na Kifo Ni Sawa Na Mchezaji Soka Umwambie Usipofunga Goli Kwenye Mechi Ya Kesho Nitakuadhibu Kwa Kukupa Ballon D'or.Kufa Wanaogopa Makafiri Kama Trump Na Washirika Wake.
Ati kufa wanaogopa makafiri😁😁 ngojeni muwe mbolea ya Bustani za Gaza Riviera.

Hakuna cha Bikra72 wala 70 mumedanganyana kwa miaka 1350 na kuvamia kwa mapanga Nchi za watu kwa kisingizio cha kusambaza Dini sasa ni Mziki tu kwenda mbele.😀
 
Ati kufa wanaogopa makafiri😁😁 ngojeni muwe mbolea ya Bustani za Gaza Riviera.

Hakuna cha Bikra72 wala 70 mumedanganyana kwa miaka 1350 na kuvamia kwa mapanga Nchi za watu kwa kisingizio cha kusambaza Dini sasa ni Mziki tu kwenda mbele.😀
Hakuna Mziki Wowote Kwa Hao Mashoga Wenzio.
 
Dini ya kwanza kutumia mapanga kuisambaza ni Dini ya Waisilamu.
 
Ati kufa wanaogopa makafiri😁😁 ngojeni muwe mbolea ya Bustani za Gaza Riviera.

Hakuna cha Bikra72 wala 70 mumedanganyana kwa miaka 1350 na kuvamia kwa mapanga Nchi za watu kwa kisingizio cha kusambaza Dini sasa ni Mziki tu kwenda mbele.😀
Kwa hiyo nia yao ni kuufuta uislamu, haitokuja kutokea hyo na sisi hatuna wasiwasi tunajua the time is coming when everything come to an end.
 
Kwa hiyo nia yao ni kuufuta uislamu, haitokuja kutokea hyo na sisi hatuna wasiwasi tunajua the time is coming when everything come to an end.
Danganyaneni 😆😆 Uturuki ilikiwa ni Nchi ya Kikristo hadi leo Makanisa mumeyafanya Misikiti kwa kutumia Mapanga sasa inakuja pay time.

Dunia haiishi wala nini. Uisilamu unaua intelligence ya Mwanadamu
 
Hamas watashuhudia moto toka mbinguni ambao hawajawahi hata kufikiria pigo takatifu toka USA, yaani Gaza will be Hell on Earth..!!
Hivi kuna pigo gani tena ambalo eti Hamas wataogopa? kun kitu gani hasa kilichobaki hapo Gaza ambacho Trump ataenda kukimaliza? Hivi watu wa Gaza wanaogopa kufa kama Waisrael? Huyo mpuuzi wenu anaota ndoto za mchana
 
Sasa wale waumini wa Taifa Teule tukubaliane anayepigana na Hamas ni USA na Israel ni jimbo la Marekani pale Middle East
Mbona hamas ni proxy wa Iran, Dunia ndyo ilivyo, wote watakutana GAZA, you know what will happen is terrible for innocent Palestians
 
Yeye ni nani kwanza mpaka awapangie Gaza? Yeye ana mamlaka huko USA tu apeleke majeshi Gaza basi tuone.

Ila Waisrael ni watu wa ajabu sana, yaani mababa mazima na mambupu yao eti mpaka waende kulialia huko USA ndio Trump atoe order? what a shame.. wapepewa mabomu yote waliyotaka ila wameshindwa kuwatoa mateka wao

Hakuna taifa dhaifu duniani kama Israel,.. it is a non existence state without western support
 
Hamna kitu kibaya kama waislam siku wakiamua kuungana na kuwa kitu kimoja hakuna us wala israel inaweza kuugusa huo moto
Sasa unataka Waisilamu waungane ili kumshambulia Israel?!

Hivi ni Vita vya Waisraeli na Waarabu wewe Mwafrika jitahidi kuweka Ugali mezani.
 
Hivi kuna pigo gani tena ambalo eti Hamas wataogopa? kun kitu gani hasa kilichobaki hapo Gaza ambacho Trump ataenda kukimaliza? Hivi watu wa Gaza wanaogopa kufa kama Waisrael? Huyo mpuuzi wenu anaota ndoto za mchana
But GAZA is in ruins and Israel territory is intact, prosperous, Uchumi wao uko GADO, huo ndyo ushindi wa HAMAS😇
 
Back
Top Bottom