Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Ni mpuuzi huyo hawezi ipeleka U.S popote kwa akili zake za ukurupukaji na uropokaji unafikiri anaweza kuthibitisha ushindani wa uchina unaotishia zaidi anguko la marekani kuliko hao Hamas anao hangaika nao.

DT ni mwehu
Narudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!
 
Narudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!
Unaandika ujinga tu
 
Narudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!
Maamuzi ya kivita sio rahisi kama unavyochukilia usilinganishe mambo hovyo.
 
Unaandika ujinga tu
Ni kweli kwa sababu upo kwa Shem hapo umekalisha mapumbu yako yanayoning'inia kama nyama za kwenye bucha, unamdhihaki mtu Yuko white house Washington DC UNITED STATES OF AMERICA..ambaye mambo anayoyachukulia hatua kwa Sasa wewe huwez kuona impact sababu unamtegemea Shem akupe ugali ukajaze choo. Mamaeh. Ignore list ukafie mbali. [emoji706]
 
Anaendesha nchi ki ghetto sana huyo mzee
Pia ana ubaguzi frani hivi, anawafukuza wahamiaji wanaoomba hifadhi kama wakimbizi huko US, lakini anawakaribisha Wazungu wa South Africa kuja kuishi US kama wakimbizi walionyang'anywa aridha yao huko SA 😎
 
Back
Top Bottom