The best_of _me
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 242
- 486
Yaani mwehu anayeishi nchi ambayo haieleweki eti anajiona ana akili kuliko Trump na anatabiri anguko la USA.Ni mpuuzi huyo hawezi ipeleka U.S popote kwa akili zake za ukurupukaji na uropokaji unafikiri anaweza kuthibitisha ushindani wa uchina unaotishia zaidi anguko la marekani kuliko hao Hamas anao hangaika nao.
DT ni mwehu
Ukiacha Urais Trump ni moja ya matajiri USA wewe usiye mwehu una miliki nini Tanzania.
Hivi huu ujinga watanzania tumeupata wapi?