Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Moto gani ? Upuuzi tuHamas watashuhudia moto toka mbinguni ambao hawajawahi hata kufikiria pigo takatifu toka USA, yaani Gaza will be Hell on Earth..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto gani ? Upuuzi tuHamas watashuhudia moto toka mbinguni ambao hawajawahi hata kufikiria pigo takatifu toka USA, yaani Gaza will be Hell on Earth..!!
IDF ndio wanajua ugumu wa vita vya hapo Gaza na kukabiliana na Hamas sio huyo mropokaji aliye WashingtonKaulize Viongozi wa magaidi kule Somalia...walivyouwawa kama panya
Ukiwa umeshiba ugali na mrenda ngumu sana kumuelewa Trump angalia adha wanaopata Palestina.IDF ndio wanajua ugumu wa vita vya hapo Gaza na kukabiliana na Hamas sio huyo mropokaji aliye Washington
yule rais wa Amerika, akisema huwa hataniiNi mpuuzi huyo hawezi ipeleka U.S popote kwa akili zake za ukurupukaji na uropokaji unafikiri anaweza kuthibitisha ushindani wa uchina unaotishia zaidi anguko la marekani kuliko hao Hamas anao hangaika nao.
DT ni mwehu
Narudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!Ni mpuuzi huyo hawezi ipeleka U.S popote kwa akili zake za ukurupukaji na uropokaji unafikiri anaweza kuthibitisha ushindani wa uchina unaotishia zaidi anguko la marekani kuliko hao Hamas anao hangaika nao.
DT ni mwehu
Utoto unakusumbua.Ukiwa umeshiba ugali na mrenda ngumu sana kumuelewa Trump angalia adha wanaopata Palestina.
Yule ni mpuuzi haijalishi ni Rais wa wapiyule rais wa Amerika, akisema huwa hatanii
Unaandika ujinga tuNarudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!
Haya tunza risiti tuone Nini kitatokea .Ngoja uone huyo mwamba hua hakopeshi akisema domo lake halivaichupi
Ushawahi kuona domo la Trump limeaachupi aka barakoaHaya tunza risiti tuone Nini kitatokea .
Maamuzi ya kivita sio rahisi kama unavyochukilia usilinganishe mambo hovyo.Narudia, Kauli kama hizi za kujifaariji zimewaponza wenzako wa USAID na mashirika mengine saivi ni majobless wanakimbizana huko kwenye mifuko ya jamii angalau wapate chochote kusitiri familia zao, zimewaponza wapalestina saivi ni homeless na wanakufa kila siku kisa tu kuwasitiri magaidi na saivi wamefika sjui elfu 50, na akiingia marekani hizo maiti zitazidishwa mara 2.., zimewaponza wahamiaji saivi ni homeless/shelterless, zimeponza nchi za kiafrika zilizokua zinapokea matrilioni ya msaada na pesa kama Tanzania na nchi nyinginezo za kiafrika saivi wanahaha kuona wata cover vipi gepu Hilo, je wawajeukie mafukara na masikini kuwabebesha mzigo wa tozo ama wabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kupitia rasilimali zilizopo, na Bado Kuna wengi wataponzwa na Kauli kama hizi za kudhania kua ni mropokaji na Hana lolote, endeleeni. Kalagabaho!
Ni kweli kwa sababu upo kwa Shem hapo umekalisha mapumbu yako yanayoning'inia kama nyama za kwenye bucha, unamdhihaki mtu Yuko white house Washington DC UNITED STATES OF AMERICA..ambaye mambo anayoyachukulia hatua kwa Sasa wewe huwez kuona impact sababu unamtegemea Shem akupe ugali ukajaze choo. Mamaeh. Ignore list ukafie mbali. [emoji706]Unaandika ujinga tu
Aisee shukran Kwa hii clipNasubiria Moto WA kuzimu, maana kasema huu mchezo WA kuachia mateka 1 mara 3 mara 2 ufe! Anataka wote!
View attachment 3233116
Kuhamisha wa palastine ni ngumu sana kwasababu kuna shirikisha nchi nyingi hapo mashariki ya kati, hiyo ni impossible kabisaSubiri atatekeleza sababu alishasema ataenda kumaliza vita gaza
Hilo ni rahisi kutekeleza ila sio la kumlliki Gaza.Kauli kama hizi zimewaponza wenzako wa USAID saivi ni majobless.
Oratory ndiyo nini?Huyu ni oratory mropokaji ila sio ntekelezaji, walisha mzoea
athari za USAID globally ni kubwa kuliko zitakazotokea GAZA akiamua kutenda alicho tishia kutenda 😀Kauli kama hizi zimewaponza wenzako wa USAID saivi ni majobless.
Pia ana ubaguzi frani hivi, anawafukuza wahamiaji wanaoomba hifadhi kama wakimbizi huko US, lakini anawakaribisha Wazungu wa South Africa kuja kuishi US kama wakimbizi walionyang'anywa aridha yao huko SA 😎Anaendesha nchi ki ghetto sana huyo mzee