Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Rais Trump awapa siku tatu Hamas kuwaachia mateka wanaoshikiliwa

Magaidi wanamlaumu sana Trump kwenye hili jukwaa lakini ni wenyewe haohao waliodai kwamba Trump alimuonya Netanyahu amalize vita haraka kabla hajaingia madarakani wakifikiri Trump angeweza kufanya kosa la kuwaunga mkono Palestinians.

Hamas kama hawataki kuachilia mateka basi wauliwe tu maanake hamna namna.
 
Jumapili Mziki unaanza tena mpaka Hamas waishe.
Uyo puto wenu anakitu anaweza Fanya kauli tu moja ya YEMEN hiii inamana Iran kashotoa ruksa MOTO na uwake apo sasa ndio Utajua uyo mlokole wenu ni PUTO tu anaogopa kushindano tu.. toka kala kona kule Iran Watu Washamsoma akikaza nww kaza YEMEN kashatoa sindano!!!!!!
 
TELAVIV Wataanza upya kulala kwenye mashimo na Mipanya!! Uyu Tramp aliwai kuwatisha IRAN kumbe Iran ni zaidi ya muuni alichofanywa adi Leo Tramp analalamika Iran wapo kwenye Mpango wa kumuuwa analia Tramp!!!!! Nilitegemea ataanza na Iran !!!!
 
TELAVIV Wataanza upya kulala kwenye mashimo na Mipanya!! Uyu Tramp aliwai kuwatisha IRAN kumbe Iran ni zaidi ya muuni alichofanywa adi Leo Tramp analalamika Iran wapo kwenye Mpango wa kumuuwa analia Tramp!!!!! Nilitegemea ataanza na Iran !!!!
Una picha ya trump akilia ?
 
Rais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa.

Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.
Trump ameonesha wasiwasi wake kuwa mateka wengi wameua ndio maana zoezi la kuachiliwa linasuasa.
“Ikifika Jumamosi saa sita mchana hawajachilia Hamas watajua na nyinyi mtajua”

Wachambuzi wa masuala ya vita wanatabiri kuwa hii kauli ya trump ni hatua ya utekelezaji wa kuwaondoa wapalestina wote waondoke.

Pia kama hamas watakubali kuwaachia mateka wote basi watakuwa ni waoga na watakuwa wamekubali kucheza mziki wa trump na kama watakuwa wabishi basi tutegemee Gaza kuangamia na kuelekea kuzimu



View attachment 3233087
Imependekezwa wapelekwe huku

View: https://x.com/Seeingidoc/status/1889152964889039181
 
Uyo puto wenu anakitu anaweza Fanya kauli tu moja ya YEMEN hiii inamana Iran kashotoa ruksa MOTO na uwake apo sasa ndio Utajua uyo mlokole wenu ni PUTO tu anaogopa kisindano tu.. toka kala kona kule Iran Watu Washamsoma akikaza nww kaza YEMEN kashatoa sindano!!!!!!
Hata Magaidi wa Kihouthi nao dawa yao inatokota.
 
Mbona apigi IRAN tumuone kweli yeye ndio kiongozi wa Ile USA ya zama zileee!!
Ayatollah alileta ujuaji maandazi Biden akasogeza jirani yale madude, B-52, akalialia na kuufyata chap.

Saivi Ayatollah kawa mpole kama vile siyo yeye mfadhili na mlezi wa magaidi, anajua Mwamba huyu hacheki na kima.

Kabla hajaingia ofisini Trump alitoa tamko likamwingia Ayatollah na genge lake vizuri mnoo, hafurukuti tena...


View: https://youtube.com/shorts/5Fs4h0yNux8?si=X2___Z4ZVLn08mmh
 
Hamas hawana cha kupoteza hao jamaa sloga Yao inasema "ukitupiga unatuonea na ukituacha unatuogopa kufa kwetu ni sherehe" watu kaa Hawa ku deal nao unahitaji kuwa na roho ya Hitler au Idd Amini.
 
Masikini ya Mungu hata kuandika tu kiswahili hujui, eti unatoa ushauri wa kivita. Mudi aliwatapeli sana kudeal na elimu ya ahera kuwa mtapewa mabikra 72 so elimu dunia haina maana. Angalia ulichoandika sasa
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaa
Jamaa sijui ameishia darasa la ngapi
 
Back
Top Bottom