Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Zaidi ya kuzungumzia ngono hakuna kingine anachokijuaKuna yule Jesca Msambatavangu-Mbunge Iringa Mjini,lile jembe kwa upande wa wanawake kama ni zamu Yao kuwa wenezi yule anafaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya kuzungumzia ngono hakuna kingine anachokijuaKuna yule Jesca Msambatavangu-Mbunge Iringa Mjini,lile jembe kwa upande wa wanawake kama ni zamu Yao kuwa wenezi yule anafaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe una matatizo, Yani unataka apewe usemaji kisa CHADEMA?. Umpe uenezi kheri ili aikomoe CHADEMA na siyo kukijenga chama? .
Mxhumi mbobevu hata akija malaika haiondoi ukweli kwamba CCM Ni wezi na mafisadiWanaJf,
SALAAM!
Ukiona CDM, ACT, NCCR, NLD nk hawaandiki maneno ya kukosoa mwenezi Taifa ina maana aliyepo anawapa usingizi.
Kama ilivyokuwa kwa Nape, na Polepole enzi zao nafasi ya Itikadi na Uenezi ilikifanya CCM tujisikie raha sana. Kwa hiyo ktk kipindi hiki ambacho vyama vya upinzani vimeamka toka usingizini - nashauri tumpate kijana machachari anayeweza kuendana na upepo wa sasa.
Aidha, sisi tunatoa ushauri huu kwa mapenzi ya dhati tuliyonayo kwa CCM. Lkn pia ifahamike kuwa aliyepo si mtu mbaya ila speed zake haziendani na CDM, CUF, ACT nk. Lkn pia Rais wetu ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa aweza kuteua kijana yeyote amwonaye anafaa.
Msakila Kabende
Mchumi Mbobezi
Bukoba / Kakonko.
Kama vile mchungaji asivyoacha kutaja jina la shetani kanisani ndivyo hivyo Mwenezi analazimika kuitaja CDM jukwaaniWewe una matatizo, Yani unataka apewe usemaji kisa CHADEMA?. Umpe uenezi kheri ili aikomoe CHADEMA na siyo kukijenga chama? .
Tobaaa!! Unataka kurudisha ukoo wa Magu tena?WanaJf,
SALAAM!
Ukiona CDM, ACT, NCCR, NLD nk hawaandiki maneno ya kukosoa mwenezi Taifa ina maana aliyepo anawapa usingizi.
Kama ilivyokuwa kwa Nape, na Polepole enzi zao nafasi ya Itikadi na Uenezi ilikifanya CCM tujisikie raha sana. Kwa hiyo ktk kipindi hiki ambacho vyama vya upinzani vimeamka toka usingizini - nashauri tumpate kijana machachari anayeweza kuendana na upepo wa sasa.
Aidha, sisi tunatoa ushauri huu kwa mapenzi ya dhati tuliyonayo kwa CCM. Lkn pia ifahamike kuwa aliyepo si mtu mbaya ila speed zake haziendani na CDM, CUF, ACT nk. Lkn pia Rais wetu ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa aweza kuteua kijana yeyote amwonaye anafaa.
===================
Nyongeza:-
Mbali na
(a). Kheri James wengine ni
(b). Jesca Musambachavangu
(c). Christopher - Mwenezi (W) Kakonko
(d). Hamphrey Polepole.
Note
Kazi ya uenezi huhitaji MTU ambaye mishipa ya aibu ilishakatika. Asiyeweza waonea haya CDM, ACT, CUF, NCCR nk
Msakila Kabende
Mchumi Mbobezi
Bukoba / Kakonko.
Huyo James kama unampenda kimapenzi akuoe tu itatosha.Kama vile mchungaji asivyoacha kutaja jina la shetani kanisani ndivyo hivyo Mwenezi analazimika kuitaja CDM jukwaani
Anatafuta bwana huyo mbwigaWe HERI unajipigia promo!!?
Mshenzi Sana yule!Zaidi ya kuzungumzia ngono hakuna kingine anachokijua
Ccm ni majizi duniani hakuna! Mungu awalaani Sana! Amina!Mxhumi mbobevu hata akija malaika haiondoi ukweli kwamba CCM Ni wezi na mafisadi
Kwamba taasisi imara haihitaji mtu madhubuti?Ccm bado inaamni kwenye watu imara. Mimi nina amini kwenye TAASISI IMARA
Nikuulize, hapa bongo taasis gani ni Imara??????Kwamba taasisi imara haihitaji mtu madhubuti?
Yeyote machachari ilimradi usingizi kwa opposition parties upotee.Heri james alipopewa uenyekiti uvccm alichangia sana ccm kuharibika taswira. ccm hawawezi wakamrudisha tena katika nafasi ya chama. Labda kama wameamua ccm izirai tena mioyoni mwa watu. tatizo lililomo ccm ni nepotism....ukatibu mkuu na uenezi watazame uwezo wa mtu na si kujuana