pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wakati marais wengine wa Afrika wakisisitiza kwamba CVO ifanyiwe utafiti kwanza, Tz na Guinea mlikurupuka na mkapiga order ya kikombe cha Babu wa Malagasy. [emoji1] Nasikia mlituma ndege hadi Antananarivo. Itabidi muinywe tu ili mpunguze hasara na aibu, angalau itawasaidia kutokomeza Malaria. [emoji1] "Other African countries such asHata wakiwa maraisi wote wa africa. Dawa hii sijaona ushahidi kuwa inatibu. Wenye uelewa wataomba documentation ( protocol na results) au wataifanyia trials wao wenyewe. Vinginevyo bado ni kikombe cha Babu.
Tanzania and Guinea-Bissau have made plans to import the tonic, which contains the artemisia plant, which is normally used to treat malaria".