Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Kama hiviSiasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hiviSiasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Nimeimia sana hivi huyu Dada pamoja na kuvaa hijabu anajisikiaje lakiniMungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
HahhaahahahhahaahhaUnaweza kuipenda nchi yako, ila ukaichukia serikali yako!
inaonyesha jiwe limewapata kweli...linauma eee?🤔MMEPEWA NAFASI KWENDA KENYA MSITUPIGIE KELELE..MAANA ALITIA FITNA NYINGI AWEKE MTU ANAYETAKA KASHIKWA PABAYA SASA ANATAPATAPA..WAKIFIKIA KUANZA KUCHINJANA TUTAENDA KUWASULUHISHA ..NA KAMA UNAHASIRA SANA KAMSEMEE MAGU KWA AMSTERDAM SAWA MAMA..UKISHINDWA KAA CHINI FANYA KAZI
Damu ni ile ile risasi ni ile ile. Ghadaffi na Bushiri nao walisema siasa zao ni tofauti, South Africa walisemaga nchi yao ni tofauti. Binadamu ni walewale na wanataka uhuru na maendeleo bila kujali ni wapi na ndiyo maana kuna Tanzania diaspora, Kenya diaspora .. wote hao wanatafuta maisha tu.Siasa za Kenya huwezi fananisha na Tanzania.
Kila mtu anasiasa zake peke yake.
kura zimetoka PugurodiSiasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Kayafa anataka atawale milele
Hivi umoja wa mataifa, ubalozi wa ujermani, Geneva na wamarekani waliingilia kati??Vipi ameongelea pia yale mauaji ya watu 1500 yaliyosababishwa na yeye ile 2007?
Jamana Printers ?kura zimetoka Pugurodi
Kura za kwenye mabegi?kuto kukubali kushindwa ni tabia ya wanaoshindwa wote hata Trump mzungu hataki kukubali itakuwa wewe, lissu na bwege?
Hamia ubelgiji au KenyaTanzania imekuwa hovyo kabisa miaka hii.
Raisi wa Kura za mabegiKesho Media zote Afrika Mashariki ni frequency za dodoma.Rais wa Afrika ataihutubia dunia kupitia bunge
Povu kama la omo🤣🤣🤣MMEPEWA NAFASI KWENDA KENYA MSITUPIGIE KELELE..MAANA ALITIA FITNA NYINGI AWEKE MTU ANAYETAKA KASHIKWA PABAYA SASA ANATAPATAPA..WAKIFIKIA KUANZA KUCHINJANA TUTAENDA KUWASULUHISHA ..NA KAMA UNAHASIRA SANA KAMSEMEE MAGU KWA AMSTERDAM SAWA MAMA..UKISHINDWA KAA CHINI FANYA KAZI
Asante saana kwa maoni yako ndugu. Kunywa soda au bia, bill kwangu.Tatizo watanzania wengi wamekosa uzalendo wa nchi yetu. Naagalia watu wengi humu mnakoment kwa mhemko. Alafu mbaya zaidi vijana wengi humu hajawahi vuka Tanzania japo mkae nje ya tanzania angalau mwaka mmoja. Kifupi tanzania ni nchi yetu sote lazima tuilinde na kuitetea.
Uhuru hajawahi kushinda Kwa Kura za mabegi.Uhuru ni hovyo mno, tena yeye kuua ni kugusa tu, kuna waziri alikuwa anaitwa Joseph Nkaissery wa mambo ya ndani , huyu alikuwa mlengo wa Raila , wakajua uchaguzi huu unakuja mambo ya kuamrisha polisi kupiga wafuasi wa Raila waziri hata kubali , walichofanya kina uhuru wakamuwekea sumu akafa mwezi mmoja kabla ya uchaguzi. Bado uchaguzi wa pili kuna dada mmoja alitorokea USA alikuwa senior wa IEBC alikuwa anatishiwa kuuwawa, alitoroka ghafla kwa mazingira ya kutatanisha, alikuwa anaitwa Rosenly Akombe, Uhuru ni hovyo mno. Yaani EAC hakuna nchi ya afadhali , marais wote wameingia kwa kuiba kura.
Katiba ya Kenya inaruhusu kurudia uchaguzi endapo kuna watu wamepinga matokeo ya uchaguziKwa Ukweli,NAMPENDA SANA RAIS KENYATA.NI MFANO BORA WA MA-RAIS AFRICA NZIMA.HAKUNA KAMA YEYE.Alishinda U-Rais akaambiwa na mahakama Uchaguzi haukuwa huru na haki,kwa Hiyo Uchaguzi urudiwe Tena,na akakubali urudiwe.HAKUNA RAIS YEYOTE MWA-FRICA ANGEKUBALI HIYO KITU.NASEMA HAKUNA.Uchaguzi ulirudiwa na akashinda tena.Mungu akubariki Sana RAIS Kenyatta,UISHI MAISHA MAREFU.Umekuwa MFANO wa kuigwa.UNASTAHILI "NISHANI".
Meko anaogopa uchaguzi kuliko korona. Kura za kwenye mabegi ndizo anajivunia. Wananchi hawataki hata kumskia.Acha ujinga mkuu! Kenyata juzi kamtimua makamu wake kisa madaraka ya 2022 hivi unajua hilo?
Kwanza unajua kama 2007 watu 1500 walikufa sababu ya kenyata na odinga?.
Kenya pale ni ukabila tupu, full uhasama, hawana choxhote cha kutwambia.
Mbowe na chadema wanashindwa kihalali kwenye box la kura katika uchaguzi wa kidemocrasi, sasa unataka nae aitwe waridhiane nini?