Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

inaonyesha jiwe limewapata kweli...linauma eee?🤔
 
Siasa za Kenya huwezi fananisha na Tanzania.

Kila mtu anasiasa zake peke yake.
Damu ni ile ile risasi ni ile ile. Ghadaffi na Bushiri nao walisema siasa zao ni tofauti, South Africa walisemaga nchi yao ni tofauti. Binadamu ni walewale na wanataka uhuru na maendeleo bila kujali ni wapi na ndiyo maana kuna Tanzania diaspora, Kenya diaspora .. wote hao wanatafuta maisha tu.
 
Hili Kenyata ni liovu jingine! Halina moral authority kuongea whatever! Go fvck yourself! Hili lilimuuwa IT specialist wa IBEAC, Chris Msando! Bara letu limejaa criminals. Nyie mnayemshabikia humu ni pimbi tu kama pimbi wengine! Miafrika mingi ni minafiki ,fisi na nguruwe.
 
Mauaji ya Kibiti, Mkuranga, kigoma, chatto nk. Haijawahi kutokea umwagaji wa Damu wa hivi. Hatuna tofauti na Burundi Kwa Sasa. Na bado unalazimisha ushindi kwa watu waliomkataa
 
Povu kama la omo🤣🤣🤣
 
Asante saana kwa maoni yako ndugu. Kunywa soda au bia, bill kwangu.
 
Uhuru hajawahi kushinda Kwa Kura za mabegi.
 
Katiba ya Kenya inaruhusu kurudia uchaguzi endapo kuna watu wamepinga matokeo ya uchaguzi
 
Meko anaogopa uchaguzi kuliko korona. Kura za kwenye mabegi ndizo anajivunia. Wananchi hawataki hata kumskia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…