Rais Uhuru Kenyatta, William Ruto wafuata nyayo za Rais John Magufuli

Unataka siku aliialikwa White House aende na mkalimani wa Kisukuma?😂
Maana siku hizi baada ya kutokuwa fasaha kwa kiswahili na kiingereza ameunda lugha yake ya Kiswanglish . Juzi kawaambia watu wa UN nanukuu.
"...we have surplus of food ya chakula"
 
Then aka secure deal la kuuza mazao na kusifiwa na hao UN! Kuna wa hindi wameshika post za maana sana kwenye kampuni zetu hapa na wana piga yai broken ila they make things happen and that is it! Dont be petty

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
"...we have surplus of food ya chakula" Hii ndio kusema nini mkuu?
 
Eti hajatoka zaidi ya nchi za EAC, hebu tuwe wakweli, lipo tatizo linalomfanya asiende jamani, ngeli ikiwa sabb, huko nje ile unatua uwanja wa ndege unakutana na waandishi wa CNN, BBC, CBN news, AP, Aljazeera na wengine, utatwangwa maswali acha kabisa, sasa ngeli hizi za theee, theee, unaweza kutia aibu
 
Msaada ulikua unaombwa so sioni cha maana cha kumsifia huyu jiwe eti hajasafiri anabana matumizi wakati Nchi bado inanuka njaa tu.
Iyo misaada iliyoombwa ilisaidia nn cha tofauti hukipati hizi enzi za magu.
Magu hasafiri lkn tunaona big results.
 
Hivi hii single ya kutosafari nje bado ina hit?
 
Kubana matumizi ya serikali ya kenya si kwa kupenda kwao. IMF imeamuru GoK wasitishe matumizi ya pesa kwa miradi mipya na matumizi hovyo lasivyo waondoe Foreign Exchange reserve safety net. Si kwa hiari yao kama vile JPM amefanya mwenyewe
Mbona "yao" zimekua nyingi? We si Gz. mkenya wewe? Usijitoe ufaham. Sema "serekali yetu"!!😂😂😂
 
Hujui hao wanaogopa kusafiri maana hawana uhakika wakiwa nje ya nchi yao, wanaweza kujikuta sio tena viongozi!?
 
Wewe huwezi kuelewa!
Kuna mashirika ya ndege ya nje yamepunguza safari zake na mengine yamefuta kabisa kuja Dar, Maana wateja wao wakubwa walikuwa ni watumishi wa Serikali!
Usiongee vitu ambavyo huvijui kijana mdogo walahi!
That’s all!
Unasafiri ili kuwafaidisha mashirika ya ndege ama unasafiri ili kuiletea manufaa nchi yako. Ndo maana huwa wengine nikiwahurumia huwa nawambia wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…