thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,556
Ukukunywa ndiyo ghasia gani!Hapo ndipo nasema ni kama wewe kujidanganya eti ukukunywa soda badala ye beer utatajirika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukukunywa ndiyo ghasia gani!Hapo ndipo nasema ni kama wewe kujidanganya eti ukukunywa soda badala ye beer utatajirika.
Pambana kwanza na lichama lenu linalowafia kuliko kuweka nguvu nyingi kwenye already impossible thingsNdio nawajua mkuu, wa kwanza wewe hapo! Jiwe aanze kukushughulikia wewe maana asipokuwa makini utampindua!
Wewe ndo umenikabidhi hilo lichama? Wanasiasa akili zenu ziko masaburini sijui maana mnafikiri kila mtu mwanasiasa kama nyiePambana kwanza na lichama lenu linalowafia kuliko kuweka nguvu nyingi kwenye already impossible things
Hata mimi naona hivo...fungua jicho la tatu.Sidhani kama tupo katika uelewa au tunazungumzia kitu kimoja
Vipi lakini kuhusu upatikanaji wa chakula?,huku chakula kimekiwa kingi mno hadi tunalazimika kufunga baadhi ya barabara ili zitumike kama hifadhi za chakula, karibu sana katika nchi ya maziwa na asaliHata mimi naona hivo...fungua jicho la tatu.
Ndio ile nchi ya LDC.Ukukunywa ndiyo ghasia gani!
NCHI AMBAYO INATUMIA BARABARA KUKAUSHIA NAFAKA INA KASORO...INA MAANA USAFIRI UPO CHINI MNO NA HOYO NI KIASHIRIA TOSHA NI NCHI MASIKINI.Vipi lakini kuhusu upatikanaji wa chakula?,huku chakula kimekiwa kingi mno hadi tunalazimika kufunga baadhi ya barabara ili zitumike kama hifadhi za chakula, karibu sana katika nchi ya maziwa na asali
Greece ilikua na debt ambayo iko 150% of GDP... sasa unalinganisha nini hapoKAMA Greece ili-colupse sembuse Kenya. Kawadanganye wenzio huko Kenya.
Kenya is a very small economy,All countries including Tanzania that have IMF relationship enjoy a precautionary Forex Reserve facity incase CBK reserves run out.To continue enjoying this facility GoK was asked to start austerity measures.Nchi ya Kenya imepita level flani ya uchumi sasa iko too big to fail. ndo maana akina IMF wanaweza kupatia Kenya precautionary loan ambayo haiguswi na mtu, iko tu pale inangojea tukipatwa na janga kuu ambayo itasababisha shilingi kushuka kwa kiasi kikuu kwa ghafla.
Hata hivyo, tumeweza kudhibiti sarufi yetu na tumekita kiuchumi, hata bila hio loan ya IMF foreign reserve ziko at an all time high
at $9B.
Kenya: Forex Deposits Hit All-Time High of Sh500 Billion
Kenya is a very small economy,All countries including Tanzania that have IMF relationship enjoy a precautionary Forex Reserve facity incase CBK reserves run out.To continue enjoying this facility GoK was asked to start austerity measures.Nchi ya Kenya imepita level flani ya uchumi sasa iko too big to fail. ndo maana akina IMF wanaweza kupatia Kenya precautionary loan ambayo haiguswi na mtu, iko tu pale inangojea tukipatwa na janga kuu ambayo itasababisha shilingi kushuka kwa kiasi kikuu kwa ghafla.
Hata hivyo, tumeweza kudhibiti sarufi yetu na tumekita kiuchumi, hata bila hio loan ya IMF foreign reserve ziko at an all time high
at $9B.
Kenya: Forex Deposits Hit All-Time High of Sh500 Billion
Hshahaha nimekuambia tunatumia Kama ghala za kuhifadhia acha kupoteza ukweli, vipi huko kuhusu njaa?, karibu nchi ya maziwa na asali.NCHI AMBAYO INATUMIA BARABARA KUKAUSHIA NAFAKA INA KASORO...INA MAANA USAFIRI UPO CHINI MNO NA HOYO NI KIASHIRIA TOSHA NI NCHI MASIKINI.
So you are admitting you've got poor infrastructure necessary to facilitate storage of grains?Hshahaha nimekuambia tunatumia Kama ghala za kuhifadhia acha kupoteza ukweli, vipi huko kuhusu njaa?, karibu nchi ya maziwa na asali.
Endelea kuwaelimisha hao nyang'au malipo yako utayakuta mbinguni, apart from tribalism, corruption and English their education system has nothing to offer.Kenya is a very small economy,All countries including Tanzania that have IMF relationship enjoy a precautionary Forex Reserve facity incase CBK reserves run out.To continue enjoying this facility GoK was asked to start austerity measures.
Note: Healthy Forex reserves are not determined by the amount of money in reserve, but rather the number of months the reserve can sustain the import bill. Quoting 500bn is useless if it can only sustain 3 month import bill. Tanzania has 7 month worth of reserves, they wount require the IMF facility for a long time to come
NCHI AMBAYO INATUMIA BARABARA KUKAUSHIA NAFAKA INA KASORO...INA MAANA USAFIRI UPO CHINI MNO NA HOYO NI KIASHIRIA TOSHA NI NCHI MASIKINI.
Tumezalisha 50pc zaidi ya kile tunachohitaji kwa ajili ya matumizi ya ndani na kuuza nje, ni sawa na kujenga bwawa lenye uwezo wa kuhifadhi lita billion moja lakini mvua zikazidi kiwango, lazima utalazimika kuayaacha maji ya ziada yazagae. Vipi njaa huko mbona hutaki kujibu?So you are admitting you've got poor infrastructure necessary to facilitate storage of grains?
Sasa LDC inajilinganisha na Ulaya 😀😀😀 miundo mbinu ndio nyinyi hamna.Ahaaa haaa haaa
Mbona huku Ulaya kuna mitaa inafungwa kupisha wafanya biashara wadogo wadogo. Hususan ni hii summer.
Bila soko la nje chakula hicho kitakwenda wapi?... Huku tumeshiba tena sana hamna aneyelia njaa hata kidogo 2018.Tumezalisha 50pc zaidi ya kile tunachohitaji kwa ajili ya matumizi ya ndani na kuuza nje, ni sawa na kujenga bwawa lenye uwezo wa kuhifadhi lita billion moja lakini mvua zikazidi kiwango, lazima utalazimika kuayaacha maji ya ziada yazagae. Vipi njaa huko mbona hutaki kujibu?
Tumepata soko WFP watajenga ghala nyingi na kubwa ili wahifadhi hapa nchini, mwakani lazima mtakumbwa na njaa tena,watawapa kama Msaada, Tanzania ndio kimbilio na tegemeo lenu.Bila soko la nje chakula hicho kitakwenda wapi?... Huku tumeshiba tena sana hamna aneyelia njaa hata kidogo 2018.
Nilifikiri hamhutaji maghala kisa kuwa mna barabara za kuhifadhia chakula...contradictory statements sawa na mdanganyika.Tumepata soko WFP watajenga ghala nyingi na kubwa ili wahifadhi hapa nchini, mwakani lazima mtakumbwa na njaa tena,watawapa kama Msaada, Tanzania ndio kimbilio na tegemeo lenu.