Rais umekosea kuwakilishwa na Balozi kwenye mkutano wa EAC kuhusu Congo

Hiyo ni diplomatic gesture kwamba Tanzania haitashiriki michezo ya kuigiza. Wanadiplomasia wanaelewa vizuri maana ya downgraded delegation kwenye mkutano kama huu. Ni njia ya wazi kuwaambia EAC hawako serious. Kumbuka tuna majeshi yetu DRC chini ya UN. Hapa diplomatic tricks zimefanyakazi.
 
Congo ni vichaa, hiyo mikutano haina tija yeyote
 
Tumuache mama kachoka.
Juzi tu alikua kwa ami wake, leo tena akwee mwewe? Jet fuels nayo bei juu
 
Huo mkutano ungekuwa ughaibuni chifu angewasili akiwa wa kwanza
 
Rais wetu ametumia busara kutokwenda huko , issue ya congo imekuwa influenced the Rwanda ambaye ni mwanachama wa EAC , then unataka tukae chini kuzungumza nini ,??????
 
Mikutano ya kikanda kuhusu Drc imekuwepo miaka nenda rudi lakini hakuna tija yoyote iliyopatikana.
Hii vita wahusika wake wanajulikana. Nampongeaza sana Samia, hiki kikao ni kikao cha kinafiki. Hembu fikiri unawaalika Uganda na Rwanda waje kusikiliza mbinu zenu halafu wakirudi wanaanza kuua vijana wako huku wakiendelea kuchota raslimali za Congo.
 
Niliwaza hivyo pia.DRC inatumia bandari yetu na nadhani wananunua mazao yetu sana kupitia Kasanga Rukwa hivyo ni partners wetu. Nadhani huu mkutano ulikua muhimu sana kwa mkuu wa nchi kuliko baadhi ya safari.
Kwenye hili hatukufanya sawa wallah.
 
Jakaya alikuwa chiboko wa PK alihamasisha akatwanga na M23 wake wakatokomezwa! Alipoleta fyoko operesheni kimbunga ikamrudishia mamluki na raia waliokuja kuomba hifadhi na kujifanya wanyambo.
Sasa huyu wa kurembua twaisha mawee!
 
Mm nina maono tofauti ... Kwan balozi akienda pale anaenda kuongea ya mdomoni mwake au ni msimamo wa serikali ? Naamini alipeleka msimamo wa serikali .....


Tz imekuwa na majeshi ktk vikosi vya monusco na iyo ni ishara tosha ya kupinga vitendo vya udhalimu na uvamizi wa nchi huru kama DRC, lkn poa mm nafikir awamu hii ya uongozi wa nchi ya DRC ni kama imechagua kuwa karibu zaidi na nchi ya kenya though i am not sure ..ila ni fikra zangu tu, sasa ktk hili sioni sababu ya kujishabihisha sanaaaaaaaaaa na uonhozi wa Felix .....
 
Tanzania ndio ilikuwa iwe mstari wa mbele kwenye hili. Ni nchi ya mfano kihistoria kutokana na vita ya ukombozi, ina batalioni mzima congo hivyo inajua siri za wapi silaha za M23 zinakotoka.
Uwepo wa rais wa Tanzania ulikuwa muhimu kuliko wakati wote. Sasa, kama kutokwenda ni kutotaka kuiudhi Rwanda, Congo tunaiachaje?
 
Kwa hiyo wewe ndio unajua Sana kuliko Rais,Mwanasheria mkuu na Wizara ya mambo ya ndani?

Tayari jeshi letu liko DRC so huo mkutano kwetu sio muhimu Sana ni kupiga kura tuu ya watakachokubaliana.
Kitendo cha jeshinletunkuwa Congo ilikuwa ni ujumbe tosha wa Tanzania kuwepo kwa level ya rais. Awaambie kuwa tumechoka na vurugu za huko.
 
Kitendo cha jeshinletunkuwa Congo ilikuwa ni ujumbe tosha wa Tanzania kuwepo kwa level ya rais. Awaambie kuwa tumechoka na vurugu za huko.
Sasa huo si ni ujumbe ambao unaweza tuu kuwasilishwa na Balozi?

Kwanza sidhani kama CDF alishiriki hata mkutano wa ma CDF wa EAC wiki iliyopita.
 
Hilo jeshi la Tz ni sehemu ya Monusco, nadhani hawataingiliana kimajukumu na kikosi cha kikanda anachopendekeza Kenyatta.
mtu chake Moronight walker
 
Watakuja hapa watakushambulia vibaya sana na hutoamini
 
Mambo ya muhimu ndio hawafanyi.

Ila Royal Tour walikaa marekani wiki nane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…