Tatizo la Congo DR ni la siku nyingi, nchi hii imekosa kiongozi wa kuiunganisha nchi hii kubwa ya DR Congo.
Historia inaonesha ina matatizo toka ipate uhuru, marais wanajifungia Kinshasa na wakijitahidi sana wanajiimarisha tawala zao ktk majimbo ya vijiji vya mababu zao tu majimbo mengine hawayachukulii kwa uzito kama yapo ndani ya taifa la DR Congo.
Mbaya zaidi kuna wadau wa kikanda na kimataifa wanaochochea hali hii ya DR Congo isitawalike kama nchi moja ili waendelee kuchimba na kupora rasilimali kubwa za madini katika taifa kubwa kieneo la Afrika.
Tanzania imeshatuma batallani za TPDF kulinda amani chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa / UN - monusco mara nyingi kwa miaka lakini juhudi hizo zinagonga mwamba kutokana na wadau-wenye tamaa za kupora mali za madini yenye thamani kubwa Congo.
https://monusco.unmissions.org › ba...
Background | MONUSCO - UN missions
Although significant progress has been achieved in the DRC since the establishment of UN peacekeeping operation there and the situation in ....Since 1999, about US$8.74 billion has been spent to fund the UN peacekeeping effort in DRC. As of October 2017, the total strength of UN peacekeeping
W5 + 1H