Rais umekosea kuwakilishwa na Balozi kwenye mkutano wa EAC kuhusu Congo

Rais wetu ametumia busara kutokwenda huko , issue ya congo imekuwa influenced the Rwanda ambaye ni mwanachama wa EAC , then unataka tukae chini kuzungumza nini ,??????
'Whether', uamzi wake wa kutokwenda kwenye kikao hicho ni shauri ya Rwanda (nina mashaka juu ya hili), au mambo mengine yanayoendelea sasa hivi(ikiwa ni pamoja na malori), ninapongeza uamzi wa kutoshiriki kwake katika upuuzi ule.
 
Wangefanyia mkutano ulaya mama asingeweza kukosa
 
Tuna vikosi huko mkuu.juzi juzi tu hapa tumeshambuliwa na hao M23 huko Goma.Rais Samia anajua sana ndio maana kaamua kuwakilishwa na Balozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…