dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
UTULIVU! Kichaka kilichopitwa na wakati! Kwamba wewe ni mnajimu Katiba Mpya itaondoa utulivu?Nafaidika na utulivu uliopo na sijaona nitakachopata kwa katiba nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTULIVU! Kichaka kilichopitwa na wakati! Kwamba wewe ni mnajimu Katiba Mpya itaondoa utulivu?Nafaidika na utulivu uliopo na sijaona nitakachopata kwa katiba nyingine
Kwenda Mahakamani siyo sawa na kumkatia kiuno mumeo. Lazima uwe na akili za utambuziNiko tayari kukosolewa na nimejiandaa kwenda kuzuia huu mchakato mahakamani
Unauliza swali, au jibu? Unafikiri keki ya Taifa ni kwa ajili ya wajanja wachache? Keki ya Taifa inatakiwa igawanywe kwa wananchi wote, na kwa usawa.Kumbe katiba ni kwa ajili ya kugawana asali?
Mnachopigania hapo mkate lakini nawaambieni nitaweka zuio mahakamaniSukuma Gang ni wajima wanatamani tuishi zama za giza na upumbavu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mnatuingiza kwenye vurugu ili mgawane keki tafuteni keki kwa njia sio vuruguUnauliza swali, au jibu? Unafikiri keki ya Taifa ni kwa ajili ya wajanja wachache? Keki ya Taifa inatakiwa igawanywe kwa wananchi wote, na kwa usawa.
Hivyo tunataka Katiba Mpya kwa ajili ya kunufaisha wananchi wote! Na siyo kwa ajili ya kikundi cha watu wachache ndani ya ccm.
Unaweza kuwa na fikra tofauti lakini za Kipumbavu na KijuhaSio lazima tuwe na fikra Moja mtu anae waza tofauti na wewe sio mpumbavu .. mpumbavu ni yule anaedhani ni yeye TU ndie mwenye maoni sawa
Hili ni moja ya maandiko ya kijinga kabisa kuwahi kutokea.Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Weeee nawe akili zako mbovu na hao pimbi wenzio, hv unataka awasikilize na ninyi viziwi??? Wanasikilizwa wenye uhitaji tu , ww huitaji katiba sasa usikilizwe kwa lipi ??Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..
Yaani umepatia kabisa.Hata enzi za mitume kulikuwa na Vichaa
Kwahiyo katiba mpya itakuwa na kipengere Cha vita?? Yaani kutakuwa na kipengere Cha vita ni lazima na utulivu ni hatari??? Embu jaribu kuficha ujinga wako bhanaNafaidika na utulivu uliopo na sijaona nitakachopata kwa katiba nyingine
Hayo hayo maslahi ndo tunayataka ,kumbe hujaelewa eehHakuna kinachopiganiwa hapo zaidi ya maslahi ya wanasiasa
Uvccm mtasikilizwa wala ucjal!!Asalaam ndugu zangu ..nianze Kumpongeza rais kwa kusikiliza hoja za watu wa kada mbalimbali hasa wa mlengo wa kisiasa wakidai katiba mpya .. wamesikilizwa na ninasikia mchakato karibia utaanza ni jambo jema ... Lakini tupo sisi ambao hatukubaliani na mchakato huo .. hatuhitaji katiba mpya na tuna hoja na sababu za msingi ..nchi yetu imekuwa na amani kwa miaka zaidi ya 50 kwa katiba hii .. nchi yetu imekuwa na uchumi unaokuwa vizuri kwa katiba hii ... Kwa sisi tusiotaka katiba utatusikiliza lini ? Na sisi tuna haki ya kusikilizwa kama ulivyowasikiliza hao wanaotaka katiba mpya !! Mimi na wenzangu wengi TU tusiotaka katiba mpya tutasikilizwa lini ? Hatutaki kabisa katiba mpya !! Tumeona nchi jirani zilizokimbilia katiba mpya kwa minajiri ya ustawi kisiasa na maisha ya watu wetu lakini imekuwa kinyume chake! Kenya vurugu tupu! Afrika kusini vurugu tupu !! Nchi zote zilizothubutu kubadilisha katiba ziliingia kwenye migogoro isiyoisha .. please rais hakuna legacy yoyote utakayoiacha kwa kuleta katiba mpya zaidi ya fujo na vurugu ..asanteni
..