Tetesi: Rais Vladimir Putin anaweza kufariki dunia ndani ya miaka mitatu

Tetesi: Rais Vladimir Putin anaweza kufariki dunia ndani ya miaka mitatu

Kuna taarifa kwamba rais wa Russia Bw. Vladimir Putin huenda akafariki dunia katika kipindi cha miaka mitatu ijayo kutokana na maradhi yanayomwandama.

Kwa taarifa kamili unaweza ukasoma hii Link hapa chini:

Mmeshaanza kumpigia Ramli sasa tulieni awanyooshe mashoga wale😂
 
Kuna taarifa kwamba rais wa Russia Bw. Vladimir Putin huenda akafariki dunia katika kipindi cha miaka mitatu ijayo kutokana na maradhi yanayomwandama.

Kwa taarifa kamili unaweza ukasoma hii Link hapa chini:

Watu walimtabilia mamvi atakufa kabla ya muda wake kuisha, lkn kilichotokea kila mtanzania shahidi. Mungu kaamua
 
Kuna taarifa kwamba rais wa Russia Bw. Vladimir Putin huenda akafariki dunia katika kipindi cha miaka mitatu ijayo kutokana na maradhi yanayomwandama.

Kwa taarifa kamili unaweza ukasoma hii Link hapa chini:

So Polonium is at it best,it sounds so.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom