Rais Vladimir Putin mpaka leo bado anatumia 'Windows XP'

Mbinu za kudanganya adui hizo!! CIA waanze kuhangaika kuhack window XP za kremlin kumbe jamaa wanatumia Os tofauti kabisa
 
Niliwahi kuwa Project Manager wa Project moja ya encryption ya kampuni moja kubwa, kampuni ilkuwa na ofisi dunia nzima.

Watu wanafanya kazi ku deploy encryption remotely, end points zina encrypt.

Wakipata issues wananiletea nazi resolve. Napeleka Project mbele na kutoa updates kwa wakuu.

Nchi mbili zilizonipa tabu sana kumaliza ile encryption zilikuwa ni Russia na Switzerland.

Russia walikuwa hawataki kuweka ile encryption, wakihofia Wamarekani watawadukua.
Putin alikuwa very suspicious.

Switzerland wao kila kitu wana extra privacy laws.

Inaonekana hata ku update OS yuko suspicious. Na hata hiyo computer ikiwa XP usifikiri ni XP ya kawaida, itakuwa very customized, na pengine customizations zao ndizo zinazowazuia ku update to a different OS.
 
Binafsi ni mara ya pili unatoa ushuhuda wa namna hii. Kazi njema
 
Putin na Windows xp...
Windows xp itakuwa ya Aliens hiyo sio ya Bill Gates yule wa Marekani.
Sema mahaba ya wana Putin hawaoni hilii 😀 😀 😀 😀 😀 😀
VIVA Eagles
 
Ss kumbe yy mwenyewe yupo kistratejia zaidi shida nn ?! ???!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni hofu kubwa ya kudukuliwa.

Huko kuwa "kistratejia" ni pamoja na research na development ya mifumo yako mwenyewe ili kuongeza Confidentiality ya taarifa zako.

Mipango ya kufikia huko ipo na inatekelezwa ila bado changamoto ni nyingi.
 
Shida ni hofu kubwa ya kudukuliwa.

Huko kuwa "kistratejia" ni pamoja na research na development ya mifumo yako mwenyewe ili kuongeza Confidentiality ya taarifa zako.

Mipango ya kufikia huko ipo na inatekelezwa ila bado changamoto ni nyingi.
Ss kmbe anafanya kwasababu maalum knashda gan

Ama unahisi hawez 2mia hizo version Nyengine !?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh mbona hii xp ni kama ile ya ATM zetu... nadhani lakini kwa haka kaujuzi kangu ka darasa la 7 itakuwa hio windows ni special kwa program zake mama. Ambazo Hazina updates kwenye Mifumo endelevu mingine..huenda lakini nisije quotiewa tofauti..
 
Hahahah! Yaan hii yote ni ili tu upate faraja Putin hatumii window XP ya Microsoft, kuhusu whatsapp ukishasema 'whatsapp messanger' iko moja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnashupaza shingo zenu, Marekani mwenyewe alikuwa anatumia KASPERSKY ANTI-VIRUS kwenya computer zake mmeshawahi jiuliza inatokea wapi hiyo kampuni!?...

Unapopigwa gap kubali kuendana nalo!..
 
Mbona mnashupaza shingo zenu, Marekani mwenyewe alikuwa anatumia KASPERSKY ANTI-VIRUS kwenya computer zake mmeshawahi jiuliza inatokea wapi hiyo kampuni!?...

Unapopigwa gap kubali kuendana nalo!..
KASPERSKY ni ya Urusi,
Eti Windows XP ambayo na Putin anatumia ni ya wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kumodify product ya mtu na kuitumia na kuingiza mambo yako pasina ruhusa ya mmiliki??
Hiyo ya Putin ni Windows XP jina tu.
Ndani kiutendaji na usalama ni tofauti sana.
Watakuwa wamesha modify vitu vingi mno kukabiliana na software bugs au back doors zozote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…