Rais Vladimir Putin mpaka leo bado anatumia 'Windows XP'

Rais Vladimir Putin mpaka leo bado anatumia 'Windows XP'

Ndio, angalia apps kwa mfano WhatsApp, sasa hivi ziko kama 5 hivi ambazo kampuni wanazipiga ban, lakini wahuni tena madogo wa kawaida tu wanazitengeneza sawa na app ya WhatsApp ya kawaida na wanaweka ant bans, sasa hivi hawapati tena kuzikill zile aina nyingine, PIA, angalia watu wanavyotengeneza VPN za kufilter database, yaani ni sawa na sisi kuwa tuna Mlima kilimanjaro lakini Kenya wanatumia jina hilo hilo bila sisi kujua wanaingizaje mapato makubwa kwa kupitia Mlima wetu ili hali sisi hatuwezi, Dunia ya sasa ukianza watu wanamaliza kwa kile kile ulichoanza
Unaweza kumodify product ya mtu na kuitumia na kuingiza mambo yako pasina ruhusa ya mmiliki??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaweza kuwa ni Windows XP ya kawaida kabisa ila kunakuwa na masuala ya Defense in Depth yamefanyika ili kukabiliana na Cyber threats na kuipa ugumu zaidi wa kuweza kushambuliwa.

Vilevile, katika masuala ya Ulinzi na Usalama ndani ya Urusi kuna kitu wanakiita "Maskirovka". Huenda hili likawa ni tukio jingine la ki-Maskirovka.
 
Ss kmbe anafanya kwasababu maalum knashda gan

Ama unahisi hawez 2mia hizo version Nyengine !?...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo versions nyinginezo hususani Windows 10 zinatumika ila si katika maeneo nyeti yenye kuhifadhi "siri za nchi".

Solution ni ku-develop mifumo yao wenyewe ya uendeshaji kwaajili ya masuala nyeti ya kiserikali ili kuwa na uhuru zaidi wa kuifanyia mabadiliko na updates kuendana na wakati.
 
Yaweza kuwa ni Windows XP ya kawaida kabisa ila kunakuwa na masuala ya Defense in Depth yamefanyika ili kukabiliana na Cyber threats na kuipa ugumu zaidi wa kuweza kushambuliwa.

Vilevile, katika masuala ya Ulinzi na Usalama ndani ya Urusi kuna kitu wanakiita "Maskirovka". Huenda hili likawa ni tukio jingine la ki-Maskirovka.
Pia Putin ana suspicion sana na internet, anataka kuitoa Urusi kwenye internet.

Hata kama una XP ambayo haipo connected kwenye network, it is relatively safer than a patched Windows 10 that is connected.

That is, of course, if the the whole deal is not based on deception.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa tupo nae sawa kiaina... Home pc yangu natumia xp ila laptop ndio Windows 7 Ofisini last year bado nilikuwa natumia xp But security nyingi natumia Windows 7 ten Siipendi... Ila hizi windows ni kama majini vile ukiizoea hutaki kuiacha Kama Mimi Windows nilianza na 486 ilipokuja Windows 95 Nikaipenda and ikaja 98 Nikaipenda mno hata zilipoanza kuja Windows Millenium Windows 2000 Sikuzipenda nilikuwa nakomaa na 98 ikisumbua unaipiga chini na unaiweka upya unaitumia kwa raha zote faster kwa memory kidogo tu RAM 256 Ilipokuja Windows xp niliona ina vitu vingi sana but nilipoizoea nikaipenda hadi leo... Sema kuna site tu zinazingua kwenye kudownload au kuistall apps.. but Windows xp Ni best Version ya Windows za Microsoft even hii Windows 7 ni kama wameikarabati Windows xp tu Sioni Tofauti... Labda Windows 10 iliyobanwa lakini ni Mule mule tu
Windows 7, imetulia sana, mimi 8 siielewi kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya USA na hajaona aibu kusema anaitumia!.
Mmoja ana OS bora mwingine ana system bora ya kuilinda!
Kila mmoja kamzidi mwenzie sehemu!.
Sasa kiaje ukoniquote mimi ambaye naunga mkono mada kwamba Putin anatumia XP ya US, ukanambia nawayawaya, si ungewaquote hao wanaosema hiyo XP sio ya US!. Na hayo mengine ya anti virus za yanaingiaje Russia yaliingiaje! Au ndo walewale wenye mindset ya US vs Russia?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo versions nyinginezo hususani Windows 10 zinatumika ila si katika maeneo nyeti yenye kuhifadhi "siri za nchi".

Solution ni ku-develop mifumo yao wenyewe ya uendeshaji kwaajili ya masuala nyeti ya kiserikali ili kuwa na uhuru zaidi wa kuifanyia mabadiliko na updates kuendana na wakati.
Kwahio unataka kuuaminisha umma yakwamba RUSSIA Hawana Unyeti Katika Kuhifadhi Siri Zataifa Lao Nandio Maana Wanatumia Window KUMI !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengine ni zaidi ya utoto! Putin atumie OS ya USA?? Yatakuwa maajabu ya dunia na jina urusi lisingekuwepo kwenye uso wa dunia
 
Naamini kabisa kuna mikakati mizito zaidi ya kiusalama katika matumizi ya window Xp kwao kuliko tujuavyo sisi
 
Sasa kiaje ukoniquote mimi ambaye naunga mkono mada kwamba Putin anatumia XP ya US, ukanambia nawayawaya, si ungewaquote hao wanaosema hiyo XP sio ya US!. Na hayo mengine ya anti virus za yanaingiaje Russia yaliingiaje! Au ndo walewale wenye mindset ya US vs Russia?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna aliyesema XP ya Mrussi, walisema "Russian modified XP". But i sensed sarcasm in you!.

get the picture!?.
 
Hakuna window 9 Lakini wataalamu wa IT siku moja nikashangaa vijana wadogo tu computa ilikuwa na window 8 wakaichezea ikifungua badala ya kusomeka window 8 ikawa inasoma window 9.Nikauliza mumefanyaje wakasema tulikuwa tunachokonoa chokonoa kwenye program tukaona mahali penye 8 tukabadili kuwa 9 sembuse hao Akina Putin

Unaweza kuta inasoma window XP wakati ni program lingine kabisa Wala sio windows wameliweka kujificha
 
Back
Top Bottom