Lazima uone kipindi mnapokea wageni airport mlikaa kimyaa na mlikuwa mnaenda kwa nauli zenu wenyewe sasa simba wanalipiwa kila kitu siku ile engineer hersi senzo na nguruwe pori wanavaa jezi za Orlando pirates mlikaa kimyaa badala ya viongozi kukemea wao wanasapoti upuuzi kibao kimegeuka sasa zamu yenuAibu naona mimi eti!
Kwa hyo comment ya mtu mmoja ndo inakufanya uamini huyo anatoka sudan na amewakilisha mashabiki wote wa yanga kweli kule wenye akili ni wawili tu.Rais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.
Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.
Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Tena na nguruwe pori pamoja na gef lea wakasambaza propaganda ila wamesahauMashabiki wa Yanga waliokuwa wakiwapokea timu zinazocheza dhidi ya Simba na kuwashangilia hawakuwahi kupata ofa kama hii kama kweli ipo wala hawakuwahi kulalamika kama leo wanavyolalamika humu kwa simba kupata ofa hii
Kama boss katoa ofa wacha waende
Acha fujo fundi kapumzikaMwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu! ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!
Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.
Na umeamini huu Utopolo kweli? Believe this you will believe anything under the sun.Aibu naona mimi eti!
Hii ndiyo sifa yenu kubwa humu. Sijajua ni kwa namna gani Mwenyezi Mungu amewaumba pasipo na kasoro yoyote ili kwenye miili yenu kiasi cha kuwakejeli binadamu wengine.Acha fujo fundi kapumzikaView attachment 2383469
Lakini si mlishangilia? Na mlijiita kabisa eti nyinyi ni waarabu weusi! Sasa kwa nini msipate mwaliko kutoka kwa rais wa timu yenu ya kiarabu!Na umeamini huu Utopolo kweli? Believe this you will believe anything under the sun.
Unaonekana ubaguzi unakutesa sana,vipi ingekua aliyetoa hiyo ofa ni Mzungu?Mwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu!ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!
Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.
Lazima uone kipindi mnapokea wageni airport mlikaa kimyaa na mlikuwa mnaenda kwa nauli zenu wenyewe sasa simba wanalipiwa kila kitu siku ile engineer hersi senzo na nguruwe pori wanavaa jezi za Orlando pirates mlikaa kimyaa badala ya viongozi kukemea wao wanasapoti upuuzi kibao kimegeuka sasa zamu yenu
Soma hapo juu! Shabiki mwenzako anafurahia kulipiwa tiketi na Waarabu! Ila wewe unakataa.Na umeamini huu Utopolo kweli? Believe this you will believe anything under the sun.
Kama umeamini huu uzushi basi wewe ni zaidi ya mbumbumbu yaani zwazwa kabisaNa yalivyo mambumbumbu, hivi yanaweza kwenda eti!!
Huyo hua ana akili za kushikiwa,amekaa kama sponji tu,anameza kila kimiminika.Kama umeamini huu uzushi basi wewe ni zaidi ya mbumbumbu yaani zwazwa kabisa
Wao ata wakibeba mashabiki wote wa simba nchi nzima kama imeandikwa wanaondoshwa kwenye michuano wataondoka tu watake wasitake, Na wasiishie hapo wawalipie na viongozi wa simba wakawape sapoti uko lakini mbungi itapigwa mpaka watashangaa nyie tulieni, Mpaka hapo wanazidi kuchochea morali ya jeshi la wananchi bila wao kujielewa patachimbikaRais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.
Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.
Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Kwani tuliwapokea ? Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Na mtapigwa kama dufu π€£π€£π€£πππAibu naona mimi eti!
Unamuona manara anavyofanya kwenye Instagram page yake basi yule ndo ulitakiwa umpe somo kwanza.Hii ndiyo sifa yenu kubwa humu. Sijajua ni kwa namna gani Mwenyezi Mungu amewaumba pasipo na kasoro yoyote ili kwenye miili yenu kiasi cha kuwakejeli binadamu wengine.
Mbona mashabiki wa yanga walikuwa wanawapokea wageni wanaokuja kucheza na simba, hiyo imekaaje?Aibu naona mimi eti!
Akuanzae mmalize. Akumulikae mchana usiku atakuchoma na kile kiendacho kwa kuzunguka hurudi kwa kuzunguka. Ubaya mliuanza wenyewe vumilieni tu. Kitendo cha kuzipokea timu zilizokuwa zinakuja kucheza na Simba na kuzipa mbinu ndiyo sababu ya yote haya mnayoyashangaa sasa. Msumari huooo!!!Mwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu! ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!
Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.