Rais wa Al Hilal apingwa vikali baada ya kutangaza ofa kwa mashabiki wa Simba kusafirishwa kwenda Sudan

Rais wa Al Hilal apingwa vikali baada ya kutangaza ofa kwa mashabiki wa Simba kusafirishwa kwenda Sudan

Aibu naona mimi eti!
Lazima uone kipindi mnapokea wageni airport mlikaa kimyaa na mlikuwa mnaenda kwa nauli zenu wenyewe sasa simba wanalipiwa kila kitu siku ile engineer hersi senzo na nguruwe pori wanavaa jezi za Orlando pirates mlikaa kimyaa badala ya viongozi kukemea wao wanasapoti upuuzi kibao kimegeuka sasa zamu yenu
 
Rais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.

Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.

Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Kwa hyo comment ya mtu mmoja ndo inakufanya uamini huyo anatoka sudan na amewakilisha mashabiki wote wa yanga kweli kule wenye akili ni wawili tu.
 
Mashabiki wa Yanga waliokuwa wakiwapokea timu zinazocheza dhidi ya Simba na kuwashangilia hawakuwahi kupata ofa kama hii kama kweli ipo wala hawakuwahi kulalamika kama leo wanavyolalamika humu kwa simba kupata ofa hii

Kama boss katoa ofa wacha waende
Tena na nguruwe pori pamoja na gef lea wakasambaza propaganda ila wamesahau
IMG-20221010-WA0003.jpg
 
Mwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu! ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!

Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.
Acha fujo fundi kapumzika
tapatalk_-190523745_430x500.jpg
 
Na umeamini huu Utopolo kweli? Believe this you will believe anything under the sun.
Lakini si mlishangilia? Na mlijiita kabisa eti nyinyi ni waarabu weusi! Sasa kwa nini msipate mwaliko kutoka kwa rais wa timu yenu ya kiarabu!
 
Mwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu!ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!

Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.
Unaonekana ubaguzi unakutesa sana,vipi ingekua aliyetoa hiyo ofa ni Mzungu?
 
Lazima uone kipindi mnapokea wageni airport mlikaa kimyaa na mlikuwa mnaenda kwa nauli zenu wenyewe sasa simba wanalipiwa kila kitu siku ile engineer hersi senzo na nguruwe pori wanavaa jezi za Orlando pirates mlikaa kimyaa badala ya viongozi kukemea wao wanasapoti upuuzi kibao kimegeuka sasa zamu yenu
Na umeamini huu Utopolo kweli? Believe this you will believe anything under the sun.
Soma hapo juu! Shabiki mwenzako anafurahia kulipiwa tiketi na Waarabu! Ila wewe unakataa.
 
Rais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.

Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.

Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Wao ata wakibeba mashabiki wote wa simba nchi nzima kama imeandikwa wanaondoshwa kwenye michuano wataondoka tu watake wasitake, Na wasiishie hapo wawalipie na viongozi wa simba wakawape sapoti uko lakini mbungi itapigwa mpaka watashangaa nyie tulieni, Mpaka hapo wanazidi kuchochea morali ya jeshi la wananchi bila wao kujielewa patachimbika
 
Hii ndiyo sifa yenu kubwa humu. Sijajua ni kwa namna gani Mwenyezi Mungu amewaumba pasipo na kasoro yoyote ili kwenye miili yenu kiasi cha kuwakejeli binadamu wengine.
Unamuona manara anavyofanya kwenye Instagram page yake basi yule ndo ulitakiwa umpe somo kwanza.
 
Mwanaume na akili zako timamu, ulipiwe tiketi na gharama nyingine zote na Mwarabu! ili ukashangilie wageni, na kuizomea timu ya nchi yako ugenini!!

Hii kwangu ni zaidi ya dharau kwa Watanzania. Ifikie wakati Watanzania tujitambue. Hata hao wanaofunga safari kwenda uwanja wa ndege kuwapokea wageni, bila shaka nao wanahitaji kupimwa akili.
Akuanzae mmalize. Akumulikae mchana usiku atakuchoma na kile kiendacho kwa kuzunguka hurudi kwa kuzunguka. Ubaya mliuanza wenyewe vumilieni tu. Kitendo cha kuzipokea timu zilizokuwa zinakuja kucheza na Simba na kuzipa mbinu ndiyo sababu ya yote haya mnayoyashangaa sasa. Msumari huooo!!!
 
Back
Top Bottom