Lema huwa anaombea na kulaani watu wafe sijui hapa anasemajeAisee mbona wabongo tunapenda sana ya kumtakia mtu mabaya yamkute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema huwa anaombea na kulaani watu wafe sijui hapa anasemajeAisee mbona wabongo tunapenda sana ya kumtakia mtu mabaya yamkute
Akizikwa bara mkuranga, wazazibari watahoji kuwa kumbe huyu si wa hapa ni wa kuja, VIPI TUTAWALIWE NA WAGENI.............MEANNG MWIYI THE CURRENT PRESIDENT! HATACHAGULIWA KIPINDI CHA PILI IWE CCM AU VYAMA VINGINEMzee pia alishawahi kuwa kiongozi wa JMT, ameishi Bara, mahala pa kuzikwa siku zote ni chaguo la marehemu, haiwezekani na haitakiwi yeyote nje ya marehemu abadilishe huo msimamo.
Taarifa za Kijasusi lengo lake ni kutanabari tu na Hakuna anayelazimishwa kuamini ; muhimu hapo ni kama basi mwisho ukimfika …. Wafanye vile alivyotaka yeye … na waifanye kitu kwa manufaaa ya muda mfupi kisiasa …. Akiwa na akili tumamu ulikua ndio muda wa kumshawishi yeye abadiliAkizikwa bara mkuranga, wazazibari watahoji kuwa kumbe huyu si wa hapa ni wa kuja, VIPI TUTAWALIWE NA WAGENI.............MEANNG MWIYI THE CURRENT PRESIDENT! HATACHAGULIWA KIPINDI CHA PILI IWE CCM AU VYAMA VINGINE
Mungu ampe uzima...
Yasije tu yakatimia maneno ya yule nabii wa bendera nusu mlingoti wakati wa kuvuta kwa JPM maana kashatapika jambo baya juzi juzi tu hapa Januari 1 juu ya mzee Ruksa...
Sikiza kuanzia 1:20, then 1:50
View: https://youtu.be/KWOJsq9NpXU?si=vWfL1rxdrh-kr7ZU
Kwani ameshafariki tayari