Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua

Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua

Tanzania ni nchi ya ajabu sana

Hivi habari za mtu kuumwa na kupelekwa hospitali nayo ni habari na wakati huo huo familia inasema inataka faragha sasa ndio nini😏

Mbona wengine waliumwa na hamkusema tuwaombee😏😏😏😏😏
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana

Hivi habari za mtu kuumwa na kupelekwa hospitali nayo ni habari na wakati huo huo familia inasema inataka faragha sasa ndio nini😏

Mbona wengine waliumwa na hamkusema tuwaombee😏😏😏😏😏
kila familia inautaratib wake na mtindo wake wa maisha..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ndugu Abdullal Alli Mwinyi Msemaji wa familia ya Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Mwinyi ameiomba jamii kumkumbuka mzee wetu na Rais wetu mstaafu kwa sara,dua na maombi.

Ambapo amepelekwa hospitalini kutokana na maradhi ya kifua na kuendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari wake.

Kwa hiyo watanzania wenzangu tumuombee mzee wetu na Rais wetu mstaafu ambaye ndiye muasisi wa mageuzi ya kisiasa hapa nchini.

Ni wakati wake ndio mfumo wa vyama vingi uliingia nchini na demokrasia kuanza kuchukua nafasi yake na kutoa nafasi ya watu kuzungumza kwa uhuru bila shida. Ni wakati wake ambapo mabadiliko makubwa sana ya kiuchumi yalifanyika katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini uliotopea.

Kwa waliosahau au kutoelewa ni kuwa mzee wetu huyu hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu atatimiza miaka mia moja yaani karne moja.jambo ambalo kiukweli kufikisha umri huo hapa Duniani ni lazima umshukuru Mungu na kusema imekuwa hivyo kwa neema tu ya Mungu.
Amelazwa hospital ipi?
 
Ma Dr wamemshauri apumzike Kwan kuna shughuli Gani ilikuwa inamuweka busy? Btw hatumdai kitu Mzee wetu
Kwa umri wake hata watu kwenda kumsalimia na kumwona ni kazi kubwa ya kumfanya kuwa busy.
Kwani kuna yupi mnamdai?
 
Back
Top Bottom