Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
stive nyerere jiandae na kamati
uzee ni bonus kaka mungu .umri ukifika kwenye makina na misikitini mnafundishwa niniMkuu angekuwa mzazi wako usikie mtu anasema hivyo ungejisikiaje?
Ajiheshimu kabisaMkuu angekuwa mzazi wako usikie mtu anasema hivyo ungejisikiaje?
ukizeeka unasubiri nini ?. kufanya ibada na bonus ambazo ujui zitakwisha liniAjiheshimu kabisa
""Stiv ajiandae na kamati"" ukimaanisha nini mkuu..?ukizeeka unasubiri nini ?. kufanya ibada na bonus ambazo ujui zitakwisha lini
kila familia inautaratib wake na mtindo wake wa maisha..Tanzania ni nchi ya ajabu sana
Hivi habari za mtu kuumwa na kupelekwa hospitali nayo ni habari na wakati huo huo familia inasema inataka faragha sasa ndio nini😏
Mbona wengine waliumwa na hamkusema tuwaombee😏😏😏😏😏
Ndiyo mishe zake hizistive nyerere jiandae na kamati
K,,,,,,,,makoUkiona wanasema kalazwa jiandae na mzishi ya kitaifa
USSR
Ila wa Tz siwawezi etiWasanii wajiandae kuingia studio
DuhAkufe tu zee gani limedinya hadi mama mzazi
Mungu ampe uzima...
Yasije tu yakatimia maneno ya yule nabii wa bendera nusu mlingoti wakati wa kuvuta kwa JPM maana kashatapika jambo baya juzi juzi tu hapa Januari 1 juu ya mzee Ruksa...
Sikiza kuanzia 1:20, then 1:50
View: https://youtu.be/KWOJsq9NpXU?si=vWfL1rxdrh-kr7ZU
Nimemuelewa Nabii; conclusion yake juu ya utawala wa Mama ameiweka kiutu uzima sana!
Amelazwa hospital ipi?Ndugu zangu Watanzania,
Ndugu Abdullal Alli Mwinyi Msemaji wa familia ya Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Mwinyi ameiomba jamii kumkumbuka mzee wetu na Rais wetu mstaafu kwa sara,dua na maombi.
Ambapo amepelekwa hospitalini kutokana na maradhi ya kifua na kuendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari wake.
Kwa hiyo watanzania wenzangu tumuombee mzee wetu na Rais wetu mstaafu ambaye ndiye muasisi wa mageuzi ya kisiasa hapa nchini.
Ni wakati wake ndio mfumo wa vyama vingi uliingia nchini na demokrasia kuanza kuchukua nafasi yake na kutoa nafasi ya watu kuzungumza kwa uhuru bila shida. Ni wakati wake ambapo mabadiliko makubwa sana ya kiuchumi yalifanyika katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini uliotopea.
Kwa waliosahau au kutoelewa ni kuwa mzee wetu huyu hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu atatimiza miaka mia moja yaani karne moja.jambo ambalo kiukweli kufikisha umri huo hapa Duniani ni lazima umshukuru Mungu na kusema imekuwa hivyo kwa neema tu ya Mungu.
Kwa umri wake hata watu kwenda kumsalimia na kumwona ni kazi kubwa ya kumfanya kuwa busy.Ma Dr wamemshauri apumzike Kwan kuna shughuli Gani ilikuwa inamuweka busy? Btw hatumdai kitu Mzee wetu