Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Hapo ndio kuna maswali ya kujiuliza , Why ? Time will tell soonKingeshasemwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio kuna maswali ya kujiuliza , Why ? Time will tell soonKingeshasemwa
Ila mnazushaHapo ndio kuna maswali ya kujiuliza , Why ? Time will tell soon
Changamsha akili ulizozificha bwa-mdogo. Pia ni vyema ukaficha ujinga.Safari imewadia, kodi zetu zitapumua tangu 1995
Ila mnazusha
Ndio wamesema hivyoInawezekana hao walioko jikoni wametuzushia
🙏Ndio wamesema hivyo
Vizuri kusema tofauti na bwana yule maana malaika haumwi.Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.
Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia
Mwenyezi Mungu amjalie mabikra maradufu peponi
Ikibidi na mimi najitolea wangu watano apewe hana baya 😁😁
Mungu ampe uzima...
Yasije tu yakatimia maneno ya yule nabii wa bendera nusu mlingoti wakati wa kuvuta kwa JPM maana kashatapika jambo baya juzi juzi tu hapa juu ya mzee Ruksa...
Sikiza kuanzia 1:20, then 1:50
View: https://youtu.be/KWOJsq9NpXU?si=vWfL1rxdrh-kr7ZU
Kifua tu ndio tutangaziwe ...mpaka uzee wake ameumwa vingapi hatujatangaziwa.....kuna kitu hakiwekwi wazi kwa hali yake ya saiv...
Kifo Cha Magufuli ni Mpango wa watu. Asinge tangazwa mpango kabila haujatimiaRais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.
Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia
Kodi zitapumua vipi wakati Hadija na Siti bado wanadunda! Hujasikia sheria waliyojipitishia ya mafao kwa wake zao?kodi zetu zitapumua tangu 1995
Tatizo ukweli hapa nchini huwa unafichwafichwa tu, historia inaonesha hivyo!Shetani mkubwa wewe mwenye moyo wa kishetani.
Ee Mungu Mwenyezi tunamuomba umponye Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote waliopo manyumbani na hospitaliniRais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.
Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia
Chanzo cha graduates kukosa ajiri kilianzia kwake.Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.
Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia