Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua

Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua

Kibinadamu hatuwezi kumtakia mtu mauti, lakini kwa umri huo na afya yake kuzidi kuzorota, kuna mahali tunafika hatua ya kusema Mungu imetosha mpumzishe kwa Amani!
Hata hivyo binafsi namtakia afya njema!
 
Sijui kwa nini Ile kauli ya makamba mkubwa inajirudia rudia sana kichwani mwangu.
 
Apumzike sasa.
Miaka 99 yote hiyo.

Maradhi ya uzee yatamsumbua trip hosp trip home.
Tumuombee mwisho mwema
 
Kuwa ANATUBANA?
Anamaanisha kete Moja ya pool table ikipiga mwenzake inapiga na mwenzake yaani domino effect,Yaani hiyo ikiwa hivyo na mwingine nae pia anakua hivyo,hii husaidia kufanya maamuzi mapya na mwelekeo mpya!!

Conservatives wengi hawapendi mabadiliko ya kimfumo ili kulinda Mali zao na watoto wao na hiyo no sumu Kwa Taifa!!
Tumuombee Mungu ampatie transition nzuri isiyo na mateso!!!
 
Lakini kwenye hiyo clip, kaongea wazi wazi kabisa, ishu ni kwamba familia itaomba au inaelewa namna ya kuomba kuepusha balaa?
Yes,hapa kajitahidi kiasi ...
Ila hajataka ku-mention issue ya death
Mungu anapokupa ujumbe , Kuna mawili, uombe km ye hajakusudia hayo Ili yasitokee (km ni mashambulizi kutoka Kwa adui).
Au km ni yeye anatimiza kusudi lake unapewa taarifa uwe tayari ujipange....

Hapo kwenye kuomba sasa 🤔😬
Maana hawajui ya upande huu kudeal na attack wataomba Kwa namna Yao na ndo vile tena....(najua unanielewa)
Ila Kwa sbb mhusika na kanisa lake watawaombea Mungu mwema
 
NEWS ALERT: TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA RAIS MSTAAFU ALHAJI ALI HASSAN MWINYI USIKU HUU.
1706949172499.jpg

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua.

Kwa mujibu wa taarifa ya familia, Alhaj Mwinyi anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.

"Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu.

"Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua,
Sala, na Maombi.

"Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali," imesema taarifa hiyo iliyotolewa usiku huu na Msemaji wa Familia, Mhe. Abdallah Ali Mwiny.
 
NEWS ALERT: TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA RAIS MSTAAFU ALHAJI ALI HASSAN MWINYI USIKU HUU.
View attachment 2892742
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua.

Kwa mujibu wa taarifa ya familia, Alhaj Mwinyi anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.

"Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu.

"Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua,
Sala, na Maombi.

"Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali," imesema taarifa hiyo iliyotolewa usiku huu na Msemaji wa Familia, Mhe. Abdallah Ali Mwiny.
Inshallah Allah amfanyie wepesi yeye pamoja na wagonjwa wengine.🙏🏽
 
Back
Top Bottom