Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Wapumbavu ni wengi sana nchi hii[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Tunamtakia afya njema apone arejee kwenye kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu ni wengi sana nchi hii[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Tunamtakia afya njema apone arejee kwenye kawaida
Sisi wananchi tunataka tukamuone hapo wodini akiwa anapewa matibabu, ubaya uko wapi? Hadi awekewe faragha?Nadhani taarifa waliyotoa inatosha kabisa. Tena wamefanya uungwana sana maana Magufuli alikuwa rais lakini hawakutoa taarifa yoyote. Privacy wanayotaka ni katika kumuuguza, watu wasiwachokonoe kwa kuwazongazonga. Augue pole.
Kesha kula Chumvi nyingiUkiona wanasema kalazwa jiandae na mzishi ya kitaifa
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Nawee acha nongwaa, mfyuuuhAcha kiherehere
Mpwa wake nilisoma naye shule moja.....Watoto wa Mwinyi wengine tumewakaribisha kutoka Zanzibar, tumesoma nao vizuri, tumekuwa marafiki wakiwa watu wa kawaida sana mpaka tukawa tunatilia shaka kama hawa ni watoto wa rais kweli au tunadanganywa tu, kwa jinsi walivyoishi maisha ya kawaida.
No wazi walilelewa kwa maadiki ya kuthamini utu wa watu kuliko kujiona wao watoto wa rais.
Kwa hivyo huyu Mzee unaweza kumuangalia kama "Mzee Ruksa" Mwinyi ex president, lakini watu wengine huyu ni mzazi wa rafiki tuliyeishi naye vizuri kwa heshima kubwa.
Hivyo tuangalie hilo pia.
Sio kila kitu siasa.
Mambo ni fire[emoji91]....wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo.Hapa nipo hospitali eeh
Mke wangu mama siti hapa ni wapii
QR MZEE WANGU ALI H MWINYI ALLAH AKUAFU
Mola ampe nafuuRais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.
Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.
Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia
Kuna Muhuni ashatoa singo, nikupe kionjo uingie YouTube?Wasanii wajiandae kuingia studio
Wewe hi mpumbavu sanaMambo ni fire[emoji91]....wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo.
Nashauri hao wasanii watumie maandiko ya biblia kwenye korasi yao watumie haya maneno (wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo)Wasanii wajiandae kuingia studio
sengerema kweli wewe punga wa headNdugu zangu Watanzania,
Ndugu Abdullal Alli Mwinyi Msemaji wa familia ya Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Mwinyi ameiomba jamii kumkumbuka mzee wetu na Rais wetu mstaafu kwa sara,dua na maombi.
Ambapo amepelekwa hospitalini kutokana na maradhi ya kifua na kuendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari wake.
Kwa hiyo watanzania wenzangu tumuombee mzee wetu na Rais wetu mstaafu ambaye ndiye muasisi wa mageuzi ya kisiasa hapa nchini.
Ni wakati wake ndio mfumo wa vyama vingi uliingia nchini na demokrasia kuanza kuchukua nafasi yake na kutoa nafasi ya watu kuzungumza kwa uhuru bila shida. Ni wakati wake ambapo mabadiliko makubwa sana ya kiuchumi yalifanyika katika kuwaondoa watanzania katika dimbwi la umaskini uliotopea.
Kwa waliosahau au kutoelewa ni kuwa mzee wetu huyu hapo mwakani panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu atatimiza miaka mia moja yaani karne moja.jambo ambalo kiukweli kufikisha umri huo hapa Duniani ni lazima umshukuru Mungu na kusema imekuwa hivyo kwa neema tu ya Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
faki0742-676627
hana tatizo lolote la akili bali anatimiza wajibu wa kiraia wa kuchangia maoni kwa uhuruHuyo naona ana matatizo ya akili yanayomsumbua ambayo yanahitaji matibabu ya haraka sana.maana mtu mwenye akili Timamu hawezi kuandika ujinga aliouandika.
😀😀😀 hii nchi ngumu sana kupiga hatuaKazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Ya Mungu mengi, tunaweza kushangaa mzee amerudi mtaani, alafu wewe ndo tunapokea habari zako hapa JF kuwa mwana JF mwenzetu I am Groot hatunae tena duniani.Wasanii wajiandae kuingia studio
Si uzushi , kuna kitu kinafichwaAcha uzushi
KingeshasemwaSi uzushi , kuna kitu kinafichwa