Rais wa Burundi asema wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kupigwa mawe na hilo halitakuwa uhalifu

Rais wa Burundi asema wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kupigwa mawe na hilo halitakuwa uhalifu

Kwa utajiri upi walionao hadi wafanye hivyo
Bora kufa maskini kuliko kukalia kimya uasi wa kiwango cha ushoga na usagaji. Na nataka nisema hapa wazungu wanaelewa pia kwamba kuna nchi za kupeleka agenda za ushoga na zingine siyo za kupeleka. ujue wanatumia pesa nyingi kusukuma hiyo agenda.so wanapeleka sehemu ambayo watapata matokeo kwa haraka kwa gharama nafuuu.Wamejifichia kwenye kichaka cha haki za binadamu.Hii imeonekana ni haki ya msingi zaidi. Tusimamie values zetu,tutaeleweka tuu.wale wenye maslahi binafsi kwenye agenda hii lazima watapinga.

Siafiki pia adhabu ya mpaka kifo,lakini siafiki pia kwamba ushoga na usagaji ni jambo la kulikalia kimya kama nchi.lazima kama nchi iwe na msimamo mkali na ionekana hivyo bila kuwa na kigugumizi kwenye kulipinga hilo.

Na hapa mchango wa taasisi za dini zote unahitajika sanaa,wasikae kimya.Ijapo hizo hela za kishoga na kisagaji zinaingizwa kwenye baadhi ya taasisi za kidini kwa wingi sana.Kwa kuanzia wamepandwa viongozi wa dini kwa baadhi ya nchi ambao ni washiriki wa mapenzi ya jinsia moja ya wazi wazi ili kulihalisha hili.
 
Kupinga mapenzi ya jinsia moja sio jambo la kisiasa, musitake watu waamini huo upuuzi wenu
Kupinga ushoga ni jambo la kisiasa.

Huyu NdayeSHIME anawazuga waburundi baada ya kushindwa kuiletea nchi yake maendeleo ya kweli akaamua kuleta janja janja za ushoga.

Ushoga au utombaji sio swala la Rais wa nchi. Watu wakiamua kutafunana vinyeo ni jambo lao la chumbanii, ukijifanya kuingilia hicho ni kiherehere au unatafuta masifa ya kisiasa ya kuwazuga watu.

Burundi ni nchi masikini kuliko zote ulimwenguni. Nchi duni iliyojichokeaa kwa mavumbi na matope. Njaa na ubabaishaji.

NdayeSHIME anatafuta pa kutokeaa akaona azame kwenye chaka la ushoga ajifichemo.
 

Attachments

  • Screenshot_20231229-231241.jpg
    Screenshot_20231229-231241.jpg
    104.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231229-231416.jpg
    Screenshot_20231229-231416.jpg
    38.2 KB · Views: 2
Ushoga ni upumbavu
Mashoga ni ya kuuwawa
Shoga akijiweka wazi huku kwetu anapigwa mapanga
Ushoga wafanyie huko Ulaya huku Africa haturuhisu huo uchafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Africa haturuhisu huo uchafu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajishebedua tu.

Watu wakitafunana vinyeo huwezi kujua, hawahitaji ruhusa yako wala ruhusa ya Afrika. Mambo yote yanaishia chumbani.

Kupambana na ushoga ni sawa na kupambana na kivuli. Hautoweza labda uwe unawachungulia watu madirishani na kupiga chabo.

Na nikikubamba unanipiga chabo nakutafuna jicho.
 
Huyu Rais uchwara wa matopeni mwenye mapele kidevuni hana intellectual capacity ya kuzungumzia jambo lolote achilia mbali ushoga.

Ndio maana nchi yake ni NCHI KAPUKU NAMBARI MOJA ulimwenguni. Anaongoza nchi ya maiti waliojifia kwa umasikini na ujinga. Hapo anawazuga tu ili kupoteza wakati.

Angekuwa kwenye nchi timamu angenyofolewa hapo kitini kisha atumbuliwe majipu kidevuni kwa kosa la kuchochea uhalifu na ghasia katika jamii.
Kweli ww ni bichwa komwe

Na ww wanakufyokonyoaga nn??
 
Bora kufa maskini kuliko kukalia kimya uasi wa kiwango cha ushoga na usagaji. Na nataka nisema hapa wazungu wanaelewa pia kwamba kuna nchi za kupeleka agenda za ushoga na zingine siyo za kupeleka. ujue wanatumia pesa nyingi kusukuma hiyo agenda.so wanapeleka sehemu ambayo watapata matokeo kwa haraka kwa gharama nafuuu.Wamejifichia kwenye kichaka cha haki za binadamu.Hii imeonekana ni haki ya msingi zaidi. Tusimamie values zetu,tutaeleweka tuu.wale wenye maslahi binafsi kwenye agenda hii lazima watapinga.

Siafiki pia adhabu ya mpaka kifo,lakini siafiki pia kwamba ushoga na usagaji ni jambo la kulikalia kimya kama nchi.lazima kama nchi iwe na msimamo mkali na ionekana hivyo bila kuwa na kigugumizi kwenye kulipinga hilo.

Na hapa mchango wa taasisi za dini zote unahitajika sanaa,wasikae kimya.Ijapo hizo hela za kishoga na kisagaji zinaingizwa kwenye baadhi ya taasisi za kidini kwa wingi sana.Kwa kuanzia wamepandwa viongozi wa dini kwa baadhi ya nchi ambao ni washiriki wa mapenzi ya jinsia moja ya wazi wazi ili kulihalisha hili.
Unajua umasikini unavyotesa au unajitamkia tuu
 
Unajishebedua tu.

Watu wakitafunana vinyeo huwezi kujua, hawahitaji ruhusa yako wala ruhusa ya Afrika. Mambo yote yanaishia chumbani.

Kupambana na ushoga ni sawa na kupambana na kivuli. Hautoweza labda uwe unawachungulia watu madirishani na kupiga chabo.

Na nikikubamba unanipiga chabo nakutafuna jicho.
Kwahiyo kisa ni ngumu kupambana nao ndo waache walane vinyeleo hadharani?

Are u mad?... Mbn unaongea kama mlevi wa ulanzi?

Kisa nchi kuwa maskini ndo ipokee upumbavu kama huu??

Itakuwa na ww washakufyatua linder ndo mana unatuandikia maneno ya kijinga et "anajishebedua"... A Man?.... Seriously?
 
Kama adhabu yao tayari ipo kisheria ya kifungo cha maisha, tena kupitia mahakama, kulikuwa na haja gani ya kuongeza adhabu nyingine ya kupigwa mawe, tena isiyopitia mahakamani?

Angekuwa na akili za kutosha angeshawishi wabunge waipitishe hiyo amri yake iwe sheria. By the way, hiyo Biblia aliyoinukuu hairuhusu wanadamu kutoa hukumu, sana sana inasisitiza msamaha, na hukumu itabaki kwa Mungu
 
Unajishebedua tu.

Watu wakitafunana vinyeo huwezi kujua, hawahitaji ruhusa yako wala ruhusa ya Afrika. Mambo yote yanaishia chumbani.

Kupambana na ushoga ni sawa na kupambana na kivuli. Hautoweza labda uwe unawachungulia watu madirishani na kupiga chabo.

Na nikikubamba unanipiga chabo nakutafuna jicho.
Waje Ngara wafanye ivo
Huo upumbavu fanyieni Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kisa ni ngumu kupambana nao ndo waache walane vinyeleo hadharani?

Are u mad?... Mbn unaongea kama mlevi wa ulanzi?

Kisa nchi kuwa maskini ndo ipokee upumbavu kama huu??

Itakuwa na ww washakufyatua linder ndo mana unatuandikia maneno ya kijinga et "anajishebedua"... A Man?.... Seriously?
NdayeSHIME ni mwehu asiye na kisomo. Alipata urais kwa kutumia uchawi na matunguli.

Rais wa nchi timamu hawezi kuchochea uhalifu na ghasia. Ni Rais hafifu wa matopeni tu kama ndayeSHIME anaweza kuwashawishi watu washambuliane wao kwa wao.

Burundi ni nchi ya matopeni, nchi isiyo na katiba wala sheria ambayo inaongozwa kwa kutumia uchawi na nguvu uchwara za mizimu.

NdayeSHIME ni mzimu, hata shule yake ni ya kubangaiza, anatapata tu, leo karukia kwenye ushoga, kesho atapigwa madole na mabeberu. Hana elimu.

Nikikutana nae namtandika makofi.
 
Kama adhabu yao tayari ipo kisheria ya kifungo cha maisha, tena kupitia mahakama, kulikuwa na haja gani ya kuongeza adhabu nyingine ya kupigwa mawe, tena isiyopitia mahakamani?

Angekuwa na akili za kutosha angeshawishi wabunge waipitishe hiyo amri yake iwe sheria. By the way, hiyo Biblia aliyoinukuu hairuhusu wanadamu kutoa hukumu, sana sana inasisitiza msamaha, na hukumu itabaki kwa Mungu
NdayeSHIME ni mzimu, alimloga Nkurunzinza ili arithi urais. Ni mchawi.

Hajui sheria za nchi yake zinasemaje kwa sababu hawezi kuzisoma mpaka asomewe. Hana elimu.

Kule burundi wanasema alifeli shule kutokana na uwezo duni darasani. Akafanya janja janja za kichawi akaingia kwenye siasa mpaka pale alipomloga Nkurunzinza.

Ukiona anaboronga ujue sio yeye. Ni elimu duni inayombababaisha hajui cha kufanya.
 
Hivi ikitokea mtoto wake mara pa!! kajulikana ni shoga atakuwa tayari kwenda kushuhudia mtoto wake akiuwawa kwa mawe au anataka watoto wa wenzie ndio wauwawe.
Sheria yetu ya kiislamu ya kupiga mawe wazinifu inapigwa vita dunia nzima, hio sheria itakubaliwa?
Kama ni hivyo aruhusu SHARIA ifanye kazi aone kazi. Ukiiba unakatwa mkono.
Wanasiasa wote wa burundi watakatwa mikono.
Nyie humu mpo tayari kushuhudia ndugu zenu wakiuwawa kisa tu wamekengeuka kuwa mashoga ? Au mnafuata mob pyschology.
Raisi alitakiwa aweke mkakati wa kujenga maadili bora kwa watoto ili wasiwe mashoga badala ya kutumia mihemko. Kwa nini asianze na MAFISADI wanaoiba hela za uma na kuwadhuru wananchi.
Afrika tuna matatizo makubwa zaidi ya ushoga tunayaweka pembeni tunajadili ushoga.
Ushoga ni matokeo ya umasikini, je anafanya nini kuundoa umasikini ili kuepusha ushoga unaotokana na umasikini ?
 
NdayeSHIME ni mzimu, alimloga Nkurunzinza ili arithi urais. Ni mchawi.

Hajui sheria za nchi yake zinasemaje kwa sababu hawezi kuzisoma mpaka asomewe. Hana elimu.

Kule burundi wanasema alifeli shule kutokana na uwezo duni darasani. Akafanya janja janja za kichawi akaingia kwenye siasa mpaka pale alipomloga Nkurunzinza.

Ukiona anaboronga ujue sio yeye. Ni elimu duni inayombababaisha hajui cha kufanya.
Haya mambo bona yanastajaabisha.
Ni kweli ?
 
Vitabu vya imani zote vimepiga vita vitendo vya mchicha mwiba hawa wahuni wenye kuyabariki haya makitu sijui wanasoma vitabu vya kiibilisi!
Wasio amini kwa Mungu kosa lao liko wapi!? Au ni lazima wote mfanane imani!?
 
Back
Top Bottom