Rais wa CAF, Ahmad Ahmad anashikiliwa na polisi Ufaransa kwa tuhuma za rushwa

Rais wa CAF, Ahmad Ahmad anashikiliwa na polisi Ufaransa kwa tuhuma za rushwa

Hapo kuna ugomvi wa madaraka mkuu.

Ahmad Ahmad alimwondoa mkongwe Issa Hayatou, Hayatou ni Cameroun, Ahmad Ahmad ni Madagascar.

Kuna 2 powerful blocks Africa ambazo ni Africa Magharibi na Kaskazini. Hayatou ni A Magharibi ambayo hata Bongo tulikuwa tunampa sapoti, Tenga kakataa kugombea mara mbili kutotaka kumchallenge Hayatou.

So, ili Ahmad apate sapoti alipata sapoti ya Kaskazini, lakini pia Hayatou alichemsha kwenye uchaguzi wa 2016 wa Fifa kwa kumsapoti mpinzani wa Infatino. By the time yeye ndiye alikuwa acting Presida wa Fifa. So Infatino alivyoingia alimpa sapoti Ahmad na kushinda uchaguzi.

Sasa mchezo ulivyo ni kwamba Hayatou aliacha Cameroun ndiye yuko planned ku-host AFCON 2019, ghafla Ahmad Ahmad wakasema timu zinaongezeka kutoka 16 mpaka 24, na Cameroun infrastructure zake zisingetosha kuhost 24 teams.

Cameroun wakanyanganywa na kupewa Egypt, ile kubadili idadi watu walitafsiri ni kumkomoa Hayatou, na Fifa ilibariki mabadiliko.

Kambi ya Magharibi ikaanza kuona kwamba Ahmad anapendelea Kaskazini, hivyo kwa kutumia network ya Hayatou ni kama wanataka kumtoa, na bahati nzuri Ahmad alipitisha kwamba kama siyo mjumbe wa kamati kuu hutakiwi kugombea, na Hayatou kashatolewa kwenye huo ujumbe wa FIFA.

Kwa hiyo sasa hivi ni full visasi, France ni allies wa Hayatou, 2016 kampuni ya France ilipata kuongeza mkataba wa rights za kuonesha Afcon kwa kipindi cha miaka 10. Ahmad alivyoingia alianza kuwachokonoa pia kwa kusema kulikuwa na upendeleo kwa hiyo kandarasi, sijui wamefikia wapi kwa sasa.

So kwa Ahmad kuvurunda ile juzi game ya Wydad ni kama alikuwa anatafutiwa kosa, na hilo swala la yeye kusema Wydad wakubali yaishe na anawaahidi kwamba next season watachukua wao sina uhakika wa ukweli wake, lakini inaonekana kama aliingia mtego pia.

Ngoja tusubiri kuona itakuwaje, kama ni mfatiliaji utakuwa umesikia marais kadhaa wa vyombo vya mpira Afrika wamefunguliwa funguliwa mashtaka, hao walikuwa wale wafuasi wa Hayatou ambapo Ahmad alitaka kama kuweka base yake.

It's power struggle na itamwondoa, akisevu hii uchaguzi utamwondoa.

NB: Ni maoni yangu.
hatari mkuu Don Clericuzio Afrika ni miyeyusho......ila kama kawaida vita vya panzi ni furaha kwa kunguru hatimaye kuongezeka kwa namba ya timu shiriki AFCON imefanya Tanzania nayo kupata tiketi hahahahahahahahahaha
 
Ni speculations tu kutokana na matukio yanayojitokeza.

Hawa viongozi wa mipira ni full udikteta, FIFA imejitengenezea wigo ambao demokrasia ni ngumu.

Juzi tar 5 amepita bila kupingwa, atakuwa madarakani mpaka 2023, halafu ataongeza na kuongeza.

Kumbuka Blatter ilibidi atolewe kwa kashfa, na aliyekuwa UEFA Platin naye katoka kwa mfumo huo huo.
dhahiri
 
hatari mkuu Don Clericuzio Afrika ni miyeyusho......ila kama kawaida vita vya panzi ni furaha kwa kunguru hatimaye kuongezeka kwa namba ya timu shiriki AFCON imefanya Tanzania nayo kupata tiketi hahahahahahahahahaha

Ndiyo hivyo, ulisikia juzi juzi kuna nchi sikumbuki ni ipi ilikuwa imekata rufaa kwamba Cameroon asishiriki. Maana kaingia kwa tiketi ya mwandaaji.

Naona wamechomoa.
 
CAF plunged into further crisis as general secretary resigns

The Confederation of African Football's (CAF) general secretary Mouad Hajji resigned on Monday, plunging the continent's soccer governing body into further crisis.
Hajji’s departure after less than a year in the job was confirmed by CAF, who said he was quitting for personal reasons.
He leaves amid much turbulence in the African game.
Hajji, a former Moroccan government official and a trained dentist, took over last April from Amr Fahmy, who was fired after submitting evidence to Fifa’s ethics committee of alleged misappropriation of funds by CAF president Ahmad Ahmad.
The ethics committee of soccer's world governing body confirmed investigating the allegation but more than a year later no action has been taken against Ahmad, who was also questioned by French police last June.
Ahmad has denied any wrongdoing.
Ahmad, days after being taken in for questioning in Paris about an equipment supplier deal involving a close associate and CAF, agreed to allow Fifa to send its general secretary Fatma Samoura to Cairo for six months to help restructure the organisation and sort out its finances.
An independent review of the running of CAF by Price Waterhouse Cooper (PWC), seen by Reuters last month, found "potential elements of mismanagement" and "possible abuse of power" amidst concern about widespread use of cash payments.
Fifa's Samoura restructured much of CAF, including controversially exiting a lucrative television deal which has meant that none of African football’s major matches over the last month have been shown by major broadcasters.
However, CAF did not agree to Samoura staying on when its executive committee met in Morocco last month, which angered Fifa president Gianni Infantino according to sources close to the African soccer body.
The decision not to allow Samoura to continue came after Infantino had suggested more sweeping reforms for the African game, including a super league for Africa's top clubs in what could be a test case for the future of other continents.
CAF has not yet approved any of Infantino’s plan and the sources close to the African organisation say Ahmad, who is also a Fifa vice president, is on a collision course with Infantino.
"I would like to warmly thank President Ahmad Ahmad for giving me the opportunity to serve the football of our continent at such a level of responsibility," Hajji said in a statement.
Ahmad said Hajji's work had been invaluable in driving the CAF reforms.
"I would like to salute a committed, loyal and above all passionate football player, and wish him all the success he deserves in the rest of his career," the CAF statement quoted Ahmad as saying.

Superspot.com
 
Back
Top Bottom