Rais wa CAF hafahamu kama Simba ilicheza na ilicheza wapi na kombe gani

Rais wa CAF hafahamu kama Simba ilicheza na ilicheza wapi na kombe gani

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
GX0hJmIWkAA1Tea.jpeg

Raisi wa Caf Patric Motsepe siku ya jana aliwaacha Waandishi wa habari midomo wazi wakibaki kustaajabu! Hii ni baada ya kuulizwa kuhusu vurugu za mchezo wa Al Ahly Tripoli Vs Simba, Rais akawa hana taarifa yeyote Kama Simba ana cheza! Wala hakuna anacho kijua au kusikia kama kulikuwa na mechi siku hiyo ikamlazimu kuuliza kwani hiyo timu imecheza lini maana inavyoonekana hafahamu kuhusu huo mchezo ni wa kombe gani tofauti na CAFCL.

Kabla hajakaa sawa akapewa majibu akaja kuuliza "kwani kacheza wapi?" akachoma zaidi na kusema walicheza Tanzania?

Rais hajui chochote na mechi imeisha siku kadhaa.

 
Raisi wa Caf Patric Motsepe siku ya jana aliwaacha Waandishi wa habari midomo wazi wakibaki kustaajabu! Hii ni baada ya kuulizwa kuhusu vurugu za mchezo wa Al Ahly Tripoli Vs Simba, Rais akawa hana taarifa yeyote Kama Simba ana cheza! Wala hakuna anacho kijua au kusikia kama kulikuwa na mechi siku hiyo ikamlazimu kuuliza kwani hiyo timu imecheza lini maana inavyoonekana hafahamu kuhusu huo mchezo ni wa kombe gani tofauti na CAFCL.

Kabla hajakaa sawa akapewa majibu akaja kuuliza "kwani kacheza wapi?" akachoma zaidi na kusema walicheza Tanzania?

Rais hajui chochote na mechi imeisha siku kadhaa.
Ana mambo yake ya kiutawala. Mechi 32 atafuatilia ipi aache ipi. Ndio maana akawaagiza wasaidizi wake wafuatilie kilichotokea
 
Mechi ngapi za CAF zimechezwa weekend hiyo, unatagemea Rais wa CAF aziangalie mechi zote, tena wakati huo huo yuko kwenye ziara Kenya?

Mbona hao waandishi hawashangai kuna mtu ana cheo cha Mwenyekiti wa chama cha vilabu ila hajawahi kuongoza hata kikao kimoja cha hiko chama chake wala hajawahi kutoa tamko kuhusu Vilabu korofi kama Al Ahly Tripoli?
 
Raisi wa Caf Patric Motsepe siku ya jana aliwaacha Waandishi wa habari midomo wazi wakibaki kustaajabu! Hii ni baada ya kuulizwa kuhusu vurugu za mchezo wa Al Ahly Tripoli Vs Simba, Rais akawa hana taarifa yeyote Kama Simba ana cheza! Wala hakuna anacho kijua au kusikia kama kulikuwa na mechi siku hiyo ikamlazimu kuuliza kwani hiyo timu imecheza lini maana inavyoonekana hafahamu kuhusu huo mchezo ni wa kombe gani tofauti na CAFCL.

Kabla hajakaa sawa akapewa majibu akaja kuuliza "kwani kacheza wapi?" akachoma zaidi na kusema walicheza Tanzania?

Rais hajui chochote na mechi imeisha siku kadhaa.
Umejaza porojo tu kwenye uzi wako! Lengo lako kuu, ni kutaka kudharirisha tu hayo mashindano aliyomo Simba! Yaani, hayaeleweki, hayana hadhi!
 
Mechi ngapi za CAF zimechezwa weekend hiyo, unatagemea Rais wa CAF aziangalie mechi zote, tena wakati huo huo yuko kwenye ziara Kenya?

Mbona hao waandishi hawashangai kuna mtu ana cheo cha Mwenyekiti wa chama cha vilabu ila hajawahi kuongoza hata kikao kimoja cha hiko chama chake wala hajawahi kutoa tamko kuhusu Vilabu korofi kama Al Hilal Tripoli?
Angeambiwa al Ahly au mamelodi angazitambua hata kama zimechezwa mechi 100 siku hiyo.

Ila kwa kuwa ni timu ndogo ndio maana hawafahamu makolo. Kubali tu we Mbumbumbu.
 
mimi yanga lkn swala la rais wa caf kushindwa kujua changamoto ya hiyo mechi si swala la simba hilo ni swala la uwajibikaji wa caf kama caf!,inaweza ikawa imewapata leo simba kesho itawapata yanga so ni swala la club zote kuwajibika kuhoji na sio swala lakuchekea.
 
View attachment 3100354
Raisi wa Caf Patric Motsepe siku ya jana aliwaacha Waandishi wa habari midomo wazi wakibaki kustaajabu! Hii ni baada ya kuulizwa kuhusu vurugu za mchezo wa Al Ahly Tripoli Vs Simba, Rais akawa hana taarifa yeyote Kama Simba ana cheza! Wala hakuna anacho kijua au kusikia kama kulikuwa na mechi siku hiyo ikamlazimu kuuliza kwani hiyo timu imecheza lini maana inavyoonekana hafahamu kuhusu huo mchezo ni wa kombe gani tofauti na CAFCL.

Kabla hajakaa sawa akapewa majibu akaja kuuliza "kwani kacheza wapi?" akachoma zaidi na kusema walicheza Tanzania?

Rais hajui chochote na mechi imeisha siku kadhaa.

View attachment 3100355
Huna akili kwa hiyo sababu yeye ni rais wa caf ndo ajue mechi zote za caf zinazochezwa kwa siku?....
 
Usikute hata Yanga haijui. Apewe habari zake amuulize msaidizi wake Yanga ni timu ya mpira?
 
Back
Top Bottom