TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Unaelewa kingereza kweli. Anaijua vizuri Simba ndio mana kauliza kama mechi ilichezwa Tanzania.Angeambiwa al Ahly au mamelodi angazitambua hata kama zimechezwa mechi 100 siku hiyo.
Ila kwa kuwa ni timu ndogo ndio maana hawafahamu makolo. Kubali tu we Mbumbumbu.