Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Haijui simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumapili hiki kichaka kinaenda kufyekwa rasmi😀 sijui mtajificha wapiNa hatudhaliliki kwa sbb uzi wake hautushushi pale kileleni kwenye CAF ranks
Yanga anaijua Rais wa FIFA sembuse Motsepe 😀 mpaka akauliza matokeo ya derby kaambiwa wamelisha watu mkono 5G 😀Usikute hata Yanga haijui. Apewe habari zake amuulize msaidizi wake Yanga ni timu ya mpira?
Wenyewe wanajiona wanafuatiliwa na watu 😀 Afrika iko busy na mabingwaHaijui simba
Angeambiwa al Ahly au mamelodi angazitambua hata kama zimechezwa mechi 100 siku hiyo.
Ila kwa kuwa ni timu ndogo ndio maana hawafahamu makolo. Kubali tu we Mbumbumbu.
Hivi hakuwepo kwenye fainali ya hiyo ndondo siku ile mlipoweka historia ya kuwa timu ya kwanza kushangilia kupata medali za shaba?Motsepe hawezi kufuatilia mechi za ndondo hizo.
Hahaha, Ulimsikia mkuu? Ukute ni kaigizo kalitengenezwa.Yanga anaijua Rais wa FIFA sembuse Motsepe 😀 mpaka akauliza matokeo ya derby kaambiwa wamelisha watu mkono 5G 😀
Angalau ikifika level ya Fainali watu ndiyo wanafuatilia kidogoHivi hakuwepo kwenye fainali ya hiyo ndondo siku ile mlipoweka historia ya kuwa timu ya kwanza kushangilia kupata medali za shaba?
Kwani haukuona video mkuu? Alicheka sana kusikia watu walikula 5G 😀Hahaha, Ulimsikia mkuu? Ukute ni kaigizo kalitengenezwa.
Ile mechi ilikua na vurugu mwishoni lazima angetakiwa anajua hakuna mechi ilikua na vurugu mwishoni tofauti na hii ya simba ni lazima kama ajueHahaha, Ulimsikia mkuu? Ukute ni kaigizo kalitengenezwa.
kwa hiyo ndondo ikifika fainali inaacha kuwa ndondo?Angalau ikifika level ya Fainali watu ndiyo wanafuatilia kidogo
Angalau ukiwa bingwa wa Ndondo utaandikwa daily newskwa hiyo ndondo ikifika fainali inaacha kuwa ndondo?
Kwa hiyo simba amekubali kushiriki ndondo cup a.k.a confederationkwa hiyo ndondo ikifika fainali inaacha kuwa ndondo?
Shame on him,mechi ilikuwa na vurugu alipaswa Kuwa na taarifa nayo,Sasa kwa Kuwa wengi wetu ngozi nyeusi ni vilaza tunaona sawa tu.Kwa wenzetu kule hilo ni la kufikirisha,au mpaka Watu wangepoteza maisha?.
Tunawajibu hawa uto kwa jinsi wanavyokuja.Ile mechi ilikua na vurugu mwishoni lazima angetakiwa anajua hakuna mechi ilikua na vurugu mwishoni tofauti na hii ya simba ni lazima kama ajue
Tusiwe tunapenda kujifariji kwa mambo ya kijinga
Ndondo hiyo hiyo iliwafanya watu wafanye gwaride na kualikwa Ikulu kula wali harage, tena hapo baada ya kupata medali za shaba. Simba amecheza hiyo ndondo katika level ya fainali mbele ya Rais Mwinyi, umewahi kuona Rais anaenda kuangalia Ndondo?Kwa hiyo simba amekubali kushiriki ndondo cup a.k.a confederation
Nijibu swali kwa-hiyo cup confederation ni ndondo cupTunawajibu hawa uto kwa jinsi wanavyokuja.
Tunajua anapaswa kujua matukio makubwa ya namna hiyo na inawezekana kabisa kuwa alipata taarifa za awali ila kwa kuwa hajapata ripoti rasmi za kutoka kwa Kamisaa wa mchezo hakuwa kwenye nafasi ya kutoa kauli yoyote kwa kuangalia tu viclip vya mitandaoni.
Wewe ndo umesema ni ndondo cup sasa swali langu simba anakubalije kushiriki ndondo cupNdondo hiyo hiyo iliwafanya watu wafanye gwaride na kualikwa Ikulu kula wali harage, tena hapo baada ya kupata medali za shaba
Nijibu swali kwa-hiyo cup confederation ni ndondo cup
Umefuatilia mtiririko wa majadiliano katika uzi huu?Wewe ndo umesema ni ndondo cup sasa swali langu simba anakubalije kushiriki ndondo cup
Caf confederation mashabiki wa simba wanaliita ndondo cup ila cha ajabu timu yao inashirikiUmefuatilia mtiririko wa majadiliano katika uzi huu?
Wanajua sana kila kitu ila fahamuni kila ligi Ina wababe wake.Fikilia Simba na yanga wanavyo Fanya uhuni kwa wengine katika ligi ya bongo nao wanalipwa kwa wababe wenzako.Hata yanga alipigwa mafataki aljeria mbele ya Rais huyu wa caf Wala hawakufanya chochote.Ile mechi ilikua na vurugu mwishoni lazima angetakiwa anajua hakuna mechi ilikua na vurugu mwishoni tofauti na hii ya simba ni lazima kama ajua
Tusiwe tunapenda kujifariji kwa mambo ya kijinga