MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
- Thread starter
-
- #41
Fainali ya ndotoni au πππ Mwenzio kajikaza kafika fainali tena wametolewa kwa figisu nyie miaka yote mnaishiaga robo π wenzio wana medali ya CAF nyie mnaishiaga robo tu,ni kombe dogo ila angalau mpate medali ndiyo mtaalikwa ikulu na kupata headlines!Ndondo hiyo hiyo iliwafanya watu wafanye gwaride na kualikwa Ikulu kula wali harage, tena hapo baada ya kupata medali za shaba. Simba amecheza hiyo ndondo katika level ya fainali mbele ya Rais Mwinyi, umewahi kuona Rais anaenda kuangalia Ndondo?
Fainali ya ndotoni au πππ Mwenzio kajikaza kafika fainali tena wametolewa kwa figisu nyie miaka yote mnaishiaga robo π wenzio wana medali ya CAF nyie mnaishiaga robo tu,ni kombe dogo ila angalau mpate medali ndiyo mtaalikwa ikulu na kupata headlines!Ndondo hiyo hiyo iliwafanya watu wafanye gwaride na kualikwa Ikulu kula wali harage, tena hapo baada ya kupata medali za shaba. Simba amecheza hiyo ndondo katika level ya fainali mbele ya Rais Mwinyi, umewahi kuona Rais anaenda kuangalia Ndondo?
Tunaanza na jumamosi ππJumapili hiki kichaka kinaenda kufyekwa rasmiπ sijui mtajificha wapi
Mechi zilichezwa nyingi hakuna na sababu yoyote ya yeye kuifuatilia confederation cup Simba anacheza lini na ana cheza na nani.Ile mechi ilikua na vurugu mwishoni lazima angetakiwa anajua hakuna mechi ilikua na vurugu mwishoni tofauti na hii ya simba ni lazima kama ajue
Tusiwe tunapenda kujifariji kwa mambo ya kijinga
Kwa mujibu wa Kaduguda hilo kombe mnaloshiriki ni kombe LA wakina Mama.Mechi ngapi za CAF zimechezwa weekend hiyo, unatagemea Rais wa CAF aziangalie mechi zote, tena wakati huo huo yuko kwenye ziara Kenya?
Mbona hao waandishi hawashangai kuna mtu ana cheo cha Mwenyekiti wa chama cha vilabu ila hajawahi kuongoza hata kikao kimoja cha hiko chama chake wala hajawahi kutoa tamko kuhusu Vilabu korofi kama Al Hilal Tripoli?
Aliyekupa jina la Masikio Masikio hakukoseaCaf confederation mashabiki wa simba wanaliita ndondo cup ila cha ajabu timu yao inashiriki
Kipimo chenu kwenye hilo kombe la wakina Mama ni kuvunja rekodi ya Yanga yakufika fainali.Umejaza porojo tu kwenye uzi wako! Lengo lako kuu, ni kutaka kudharirisha tu hayo mashindano aliyomo Simba! Yaani, hayaeleweki, hayana hadhi!
Kaduguda ni nani pale Simba?Kwa mujibu wa Kaduguda hilo kombe mnaloshiriki ni kombe LA wakina Mama.
Hahaha, ile video haisikiki maneno pengine alikuwa anamkopa jamaa akamcheka.Kwani haukuona video mkuu? Alicheka sana kusikia watu walikula 5G π
Football ni burudani boss.Ile mechi ilikua na vurugu mwishoni lazima angetakiwa anajua hakuna mechi ilikua na vurugu mwishoni tofauti na hii ya simba ni lazima kama ajue
Tusiwe tunapenda kujifariji kwa mambo ya kijinga
Kipimo cha utimamu wa akili zenu kinaanzaga kupiga alarm mkishaanza kutamka maneno hayo.Fainali ya ndotoni au πππ Mwenzio kajikaza kafika fainali tena wametolewa kwa figisu nyie miaka yote mnaishiaga robo π wenzio wana medali ya CAF nyie mnaishiaga robo tu,ni kombe dogo ila angalau mpate medali ndiyo mtaalikwa ikulu na kupata headlines!
Kwa ule moto walioplekewa Mamelody asiijue Yanga? Hatamani tena timu yake ikutane na YangaUsikute hata Yanga haijui. Apewe habari zake amuulize msaidizi wake Yanga ni timu ya mpira?
Mlishinda ngapi mkuu?Kwa ule moto walioplekewa Mamelody asiijue Yanga? Hatamani tena timu yake ikutane na Yanga
Kamuulize MO na NgungusKaduguda ni nani pale Simba?
Na Mo na Ngugus ni nani pale Simba?Kamuulize MO na Ngungus
Tutapambana na hali zetu uzuri hatuna stress...nyie ndo mna stressπJumapili hiki kichaka kinaenda kufyekwa rasmiπ sijui mtajificha wapi
Sasa ambaye anakarobia kupitwa tena hana uhakika hiyo Jumapili ukilinganisha na aliyeshinda ugenini anakuja kumaliza kazi Zanzibar, nani mwenye stress?πππTutapambana na hali zetu uzuri hatuna stress...nyie ndo mna stressπ