Kibiriti ngoma
Member
- Feb 9, 2024
- 42
- 80
Daima mbele nyuma mwiko, yaani imekuwa kinyume chake ndo maana mnalalamika!!!??? Mbona sisi wazee wa nguvu moja Tumepoa, tuasongesha Maisha tu.Nimeingia shift hapa ,tunawatwanga za uso mpaka wakipost wafunge comment kama Diddy.