Kibiriti ngoma
Member
- Feb 9, 2024
- 42
- 80
Daima mbele nyuma mwiko, yaani imekuwa kinyume chake ndo maana mnalalamika!!!??? Mbona sisi wazee wa nguvu moja Tumepoa, tuasongesha Maisha tu.Nimeingia shift hapa ,tunawatwanga za uso mpaka wakipost wafunge comment kama Diddy.
Mimi ndio nilikua chumba cha VAR niliekataa goli halikua goli mpira haukuvuka msitari wacheni ujinga wenu vya kunyonga fc barua mmeandika na ushindi hampati huyo motsepe hata mkimtukana matokeo hayabadiliki rudini mje mkune nazi!Sisi tupo nae hadi asubuhi, anajitahidi kufuta comment mamia kwa mamia kila dakika ila naona bado zinamiminika, jiandaeni kwa shift ya asubuhi, sisi tunae usiku kucha, hadi afunge hilo page lake aweke private. Page ya Mamelodi sundowns fc nayo tunaisulubu hadi asubuhi.
View: https://www.instagram.com/reel/C5eYoebNmJe/?igsh=MXhwZXo1MGUxeDNhYw==
Search: @Patricemotsepe
@Sundownsfc
Ya mchongo.Nawapongeza mamelody kwa kuingia nusu fainali