Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
Wakitoa takwimu wataalamu wa afya hamtaki, akisema Rais wa nchi hamtaki, akisema Waziri wa afya hamtaki, akisema Mbowe mnakubali, akisema Balozi wa Marekani mnakubali. Hivi nani kawaroga?
 
Hana akili sawa sawa huyo jamaa.
Nilitegemea aje kutuambia idadi halisi ya madaktari waliokufa kwa Corona (maana wapo), walioambukizwa nk.

Ni mtu wa kupuuzwa tu.
 
Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Sawa walete twakimu kuonesha maambukizi yamepungua.
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
We unatakaje kwani ? Unataka usikie wamekufa watu kadhaa ndo ufurahi na nafsi yako!

Ukwel ni kwamba wagonjwa wamepungua sana ukubal ,ukatae huo ndo ukwel.Tatizo mnataka kusikia habar kwamba wagonjwa wapo kadhaa na wamekufa kadhaa ili mpige siasa zenu za kishenzi!!.
 
Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Mimi alifariki jirani yangu ambaye mwanzo alikuwa amepata kiharusi ila vipimo vya mwanzo vikaonyesha amekufa kwa pneumonia mara tena serikali ikang'ang'ania mwili kwamba watazika wenyewe wakidai Covid-19 ndo ilikuwa chanzo cha kifo chake na baada ya maziko wakaja kupiga dawa nyumbani kwake.

Personally,nilijisemea kwa jinsi huu ugonjwa unavyoenezwa kwa njia rahisi sana hasa ikiwa ni ndani ya room wote majirani tukakaa roho mkononi kwamba mkewe na wanae watakuwa siyo wazima coz marehemu almost wiki nzima alipokuwa akiugua alikuwa akirudi home akitoka kuchoma sindano hivyo lazima nao watakuwa wagonjwa ajabu hakuna hata mmoja aliyeonyesha dalili za mafua yale ya vumbi.

Nadhani huu ugonjwa umeshindwa ku-copy na mazingira ya bongo ndo maana haujatupiga sana na hata hizi mbwembwe za kina Bashite na mzee mzima inawezekana wameshafanya tathimi zao as long as hii nchi mambo mengi sana yanafanyika gizani.
 
Watalaam nao wamegeuka wanasiasa. Walete takwimu sio hizi porojo.
We unataka takwimu gani ukiambiwa wamepungua?? Mbona Rais na waziri mkuu walishatoa takwimu!.kwani mwanzo takwimu zilikuwa zinatolewa na wataalamu?.
 
We unatakaje kwani ? Unataka usikie wamekufa watu kadhaa ndo ufurahi na nafsi yako! Ukwel ni kwamba wagonjwa wamepungua sana ukubal ,ukatae huo ndo ukwel.Tatizo mnataka kusikia habar kwamba wagonjwa wapo kadhaa na wamekufa kadhaa ili mpige siasa zenu za kishenzi!!.

Hakuna Siasa kwenye maswala ya ugonjwa. Walete takwimu kuonesha kweli wagonjwa wamepungua. La sivyo hii itakua ni porojo kama porojo nyingine tu
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
Kama wewe hujafa unafikiri nani kafa mpaka waseme uongo?
 
Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Mkuu ofisi kwangu nina wagonjwa wawili,wanadalili zote za covid 19,wapo nyumbani tu maana hakuna utaratibu wowote wa kupima covid hapa Tanzania. Wenzetu huwa wanasema, tume pima sampuli 2000 na hakuna kisa,Sasa wewe unasema maambukizi yamepungua na hujapima hata mtu mmoja?

Tunadhani tunasikilizwa na wanaccm tu?
 
We unataka takwimu gani ukiambiwa wamepungua?? Mbona Rais na waziri mkuu walishatoa takwimu!.kwani mwanzo takwimu zilikuwa zinatolewa na wataalamu?.
Watawapumbaza wajinga kama wewe! Bila twakimu hamna mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini huu upuuzi wao
 
Wasije wakaanza kulia lia tuwachangie PPE
Mlichangia lini PPE, Wabunge waligoma kuchangia na kuendesha kampeni ya wananchi wasichangie. Kamati za roho mbaya zikashangilia serikali kukosa misaada ya vifaa vya kupambana na Conv19 toka WHO na Marekani. Jiwe akaja na mkakati wake tuna vaa barakoa za vitenge, Tanzania tunashoa PPE zetu wameishiwa pumzi😂😂
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti

Sio kila kitu kupinga pinga tu - wewe ulitakaje? Ulitaka madaktari wahitishe press conference wazungumzie masuala ya maabukizi ya virus Nchini wakiwa na lengo la ku pre empty kauli ya Serikali ambayo ndio mwajili wao - nchi haendeshwi kihuni kama mnavyo taka.

Labda ni kuhoji swali dogo kama unafikiri maambukizi ya corona ni mengi sana nchini, ebu twambie umekwisha shuhudia misiba mingapi ya Corona katika mitaa unayo ishi, tuanzie hapo kabla hatuja jadiri horror stories zenu.
 
Mlichangia lini PPE, Wabunge waligoma kuchangia na kuendesha kampeni ya wananchi wasichangie. Kamati za roho mbaya zikashangilia serikali kukosa misaada ya vifaa vya kupambana na Conv19 toka WHO na Marekani. Jiwe akaja na mkakati wake tuna vaa barakoa za vitenge, Tanzania tunashoa PPE zetu wameishiwa pumzi😂😂
Mataga unabwabwaja huna data:
Kam unaamini kuwa jiwe ndio alitoa mwongozo Wa barakoa za vitenge Basi wewe ni kiazi, jiwe anawez kukuambia kuwa hio hewa unayopumua yye ndio anaitengeneza na ukaamini.

Pili; Kamati ya roho mbaya ni Makonda na Meko, kateua waziri mwingne kabla hata ya marehemu hajazikwa pale tosamaganga, kampiga lisu risasi n katoa kamera za area D, kamuua Ben saanane.

Kamzalisha Mke w MTU.

Na kwenye kuchangia PPE unataka zichngiwe za nini wakati nchi ni tajiri?
Ina mapesa inajenga sgr kwa pesa sake yenyewe.
 
Back
Top Bottom